Pongezi kwa CDF Jenerali Venance Salvatory Mabeyo

Jenerali MHALIFU huyu anashiriki kwenye ULAGHAI wa kutengeneza mashahidi kama akina Denis Urio, nani atamuamini tena? Labda wewe huko kanisani kwenu.
 
Hoja kwamba yule si Jenerali.

Hoja katumia cheo cha Ujenerali kwenye kitabu cha dini.

Anachanganya Ujenerali na dini.
Sasa mkuu ulitaka ajiandikaje wakati hiko ndio cheo chake ?

Yule sio mwananchi wa kawaida.
 
Sasa mkuu ulitaka ajiandikaje wakati hiko ndio cheo chake ?

Yule sio mwananchi wa kawaida.
Cheo chake kwenye nini?

Angejiandika kwa cheo chake cha kidini, kwenye kitabu cha kidini.

Sasa cheo cha kijeshi kwenye kitabu cha kidini kinakuja vipi?

Angeandika cheo chake cha kidini, kwani Jenerali ni cheo chake cha kidini?
 
Tatizo ni uelewa, rais akiingia kanisani au msikitini anaugua urais kwanza? Jenerali kaandika kitabu kuhusu dini yake, tatizo si yeye bali ni nyie
Kitabu cha dini, kwa nini hakutumia cheo chake cha kidini hapo kwenye cover kahusisha jeshi na mambo ya dini?

Waislamu wakisema jeshi linaingiziwa udini mtakataa?
 
 
Hata mwanajeshi anaweza kuwa na dini , hivyo yeye ni jenerali kijeshi na amenandika kitabu cha dini ambacho hazuiwi na mtu au sheria yeyote ile kuiamini

Yeye ni jenerali kijeshi au kidini?

Kwa nini aweke ujenerali wa kijeshi kwenye kitabu cha kidini?
 
Yeye ni jenerali kijeshi au kidini?

Kwa nini aweke ujenerali wa kijeshi kwenye kitabu cha kidini?
Yule ata kwenye dini bado anaitwa jenerali na hata ikitokea samia amealikwa kwenye ishu ya kidini bado atabaki kuitwa raisi sio huku unaitwa hivi na huku unaitwa hivi eti kisa dini,,, sasa unaposema jeshi limeingizwa udini yaan kivip kimsing gani yan
 
Yule ata kwenye dini bado anaitwa jenerali na hata ikitokea samia amealikwa kwenye ishu ya kidini bado atabaki kuitwa raisi sio huku unaitwa hivi na huku unaitwa hivi eti kisa dini,,, sasa unaposema jeshi limeingizwa udini yaan kivip kimsing gani yan
Hatujui kutenganisha maisha ya mtu binafsi na kazi za serikali.

Moja ya sababu ya umasikini.
 
Kitabu cha dini, kwa nini hakutumia cheo chake cha kidini hapo kwenye cover kahusisha jeshi na mambo ya dini?

Waislamu wakisema jeshi linaingiziwa udini mtakataa?
Kumbe nanishana na taliban
 
Hatujui kutenganisha maisha ya mtu binafsi na kazi za serikali.

Moja ya sababu ya umasikini.
Wew jamaa uelewa wako mdogo saana..mbona jpm alikuwa anaenda kanisani na camera zinamchukua akihutubia..vipi nae alikuwa anachanganya dini na serikali au??.
 
Mipango yenu ilikuwa ya uovu toka mwanzo. Pamoja na kumuwahisha kabla ya muda ila hamtakuwa na amani hata kama mnakula nchi kwa ruhusa yake hangaya.
Jamaa aliwabana Sana .
 
Hajielewi.
 
Hata kwa Mungu pia bado yeye ni General. Qualities za hali ya juu sana ambazo kawaida watu tulio wengi hatuna!
 
Una wenge sana wewe
 
Kitabu alichoandika, hajaandika kwa niaba ya Serikali au jeshi, ameandika kama yeye mwenyewe binafsi. Ni kitabu ambacho hakina uhusiano na cheo chake alichonacho, lakini bado anahitajika kuweka CV yake kwenye kitabu hicho, kutujulisha yeye ni nani. Sasa wewe ulitaka hata asiweke CV yake fupi kwenye kitabu alichoandika?
 
Unajua ukishajinadi kuwa huna dini na huamini kuwa Mungu yupo, halafu tena wakati huo huo unakuwa muda wote huna amani rohoni kwa kutokuwa na dini pamoja na kutomwamini Mungu matokeo yake ndiyo haya.
Kiranga nikupe principle moja ya maisha ambayo naona mpaka sasa bado huijjui: UKISHAONA UNAFANYA KITU AU UNA MSIMAMO AMBAO MUDA WOTE UNAKUWEKA KATIKA HALI YA KUKOSA AMANI ROHONI, UJUE KUNA MAHALI UMEKOSEA, TENA VIBAYA SANA
 
Now there you are! ........ it must also APPEAR to be done!
Had it been said the opposite like ........"separation of religion and state must not APPEAR to be done, it must be done. , then your argument would have been okay,
 
Hivyo ni vya Colombia au Mexico?

Hao ni wakuu wa majeshi? Majenerali?

Unaelewa Chaplain ni nini katika jeshi la Marekani?

Tanzania tuna Chaplain?

Kuna mtu kataja Yesu katika covers za hivyo vitabu?
Mkuu achana nayo hayo hayatakuelewa yamelewa udini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…