mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 6,290
- 8,600
Ucjali unaenda kuwa naibu waziri Gekuli ametenguliwa aka mama chupaNdio Ulipoishia Kutafakari Ndugu?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ucjali unaenda kuwa naibu waziri Gekuli ametenguliwa aka mama chupaNdio Ulipoishia Kutafakari Ndugu?
[emoji23][emoji23] Tuzidi Ombeana Mema. Na Kuendelea kuchapa kazi na Kuyasema Yote Mazuri tulijionea Ili Kumtia Nguvu Mhe. Rais kwa Haya Yote maana Kila Siku Anawaza Ili Tuwe sehemu Gani MbeleUcjali unaenda kuwa naibu waziri Gekuli ametenguliwa aka mama chupa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo kufa kufaana[emoji23][emoji23] Tuzidi Ombeana Mema. Na Kuendelea kuchapa kazi na Kuyasema Yote Mazuri tulijionea Ili Kumtia Nguvu Mhe. Rais kwa Haya Yote maana Kila Siku Anawaza Ili Tuwe sehemu Gani Mbele
Kipande Cha Dsm Moro very soon Mzigo Unaanza Lakini Pia Mapinduzi kwa Kuongeza Kipande Kutoka Dodoma Mpaka Itaenda Kuungana na Nchi Jirani Yaani Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Mapinduzi haya Yataenda Kuifungua Nchi Kiuchumi na Uwekezaji katika Sekta Ya Usafirishaji na Uchukuzi.[emoji91][emoji91]SGR inaanza kufanya kazi lini?
[emoji41][emoji41]Mbona hujaweka namba ya simu?
Msemo wa Wahenga Kufa Kufaana. Huu ni Msemo Lakini Hizi nafasi ni Koti Tyuu la Kuazima kwahiyo Linaweza Valiwa na Mtu yeyete LitakaloMtosha.Kwa hiyo kufa kufaana
Umefurahiii Gekuli kutenguliwa sio?
Pukuta vumbi ile suti yako sasa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wapi Huko Mkuu Tupajue??Huku ukitaja hilo jina hakikisha umejiandaa kisaikolojia kabisa kutukanwa
Hatari sana Mpaka natamani Ingekuwa Enzi zetu hizi ndio Zama Za Awamu ya Sita.[emoji23][emoji23]shule ambayo ulikuwa unashinda njaa hakuna msosi
Wenzio tumekula kande na wali mseto shule ya msingi
Saivi ukitembelea Ile shule ni kama ya kizungu
Tangu lini humu JF tumeanza kutaja mahali tulipo 🤔🤔Wapi Huko Mkuu Tupajue??
Aaah Basi kama Huwezi kupasema Ni Wapi Huko Hamjafikiwa na Utumishi UlioTukuka wa Mhe. RaisTangu lini humu JF tumeanza kutaja mahali tulipo [emoji848][emoji848]
Endelea kuimba mapambio pengine watakufikiria na wewe, usisahau kawawekea namba za simu wakupate kwa harakaAaah Basi kama Huwezi kupasema Ni Wapi Huko Hamjafikiwa na Utumishi UlioTukuka wa Mhe. Rais
Hujaona Madara ya Samia kupitia Mradi wa Covid Nini?Nonsense
Dogo uliugua utapoamlo utotoni?Rais Samia Amekuwa Rais Wa Mvuto sana Kwa Watanzania katika Jitihada zake Za Kukipambania Taifa Letu Kwa Kuendeleza Miradi Mikubwa Mijini na Vijijini Leo Napita Shule ya Msingi niliposoma Kijijini Kwangu Nakuta Kuna Umeme Nashaangaa Kidogo Nakuta Tena Madarasa Yenye Malumalu na Madirisha Ya Alminium na Madawati Mazuri. Ahsante sana Mheshimiwa Rais Hakika Tunadeni la Kukulipa 2025.
#2025 Tumepata Suluhuhisho na Samia.
#2025 Mimi na Kijiji Changu Tutakulipa.
#2025 Samia Tena
Ulitaka Niandike Nini Kaka Mkubwa?Dogo uliugua utapoamlo utotoni?
Habari za kijinga unaadika
Matumizi mabaya ya neno Mapinduzi...Kipande Cha Dsm Moro very soon Mzigo Unaanza Lakini Pia Mapinduzi kwa Kuongeza Kipande Kutoka Dodoma Mpaka Itaenda Kuungana na Nchi Jirani Yaani Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Mapinduzi haya Yataenda Kuifungua Nchi Kiuchumi na Uwekezaji katika Sekta Ya Usafirishaji na Uchukuzi.![]()
![]()