Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Rais samia ni mpango wa Mungu mwenyewe kuwainua wanyonge na kuwapa matumaini, furaha na tabasamu watanzania.niliko kila mtu anamtaja Rais samia kwa mema na mazuri kila saa pasipo kupumzika wala kuchoka .Rais samia anapendwa na kukubalika na watanzania haijapata kutokea