Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Mimi nilipo kuna giza so siwezi kuona watu wakitabasamu. Bila umeme wa uhakika porojo zote ni bureRais samia ni mpango wa Mungu mwenyewe kuwainua wanyonge na kuwapa matumaini, furaha na tabasamu watanzania.niliko kila mtu anamtaja Rais samia kwa mema na mazuri kila saa pasipo kupumzika wala kuchoka .Rais samia anapendwa na kukubalika na watanzania haijapata kutokea
Wewe Unaona Haya Ni Maboresho Au Mapinduzi Makubwa Mkuu?Matumizi mabaya ya neno Mapinduzi...
Mkuu badilisha Sehemu ulizoandika mapinduzi...
Maana sio maana yake halisia...
Andika Maboresho
Tumia Maboresho badala ya Mapinduzi
Mapinduzi (kutoka kitenzi "kupindua" juu chini) ni mabadiliko ya haraka upande wa siasa na miundo yanayotokana na shinikizo la wananchi, linalotumia mara nyingi nguvu.
mabadiliko ya kimsingi katika shirika au kisiasa Yanayotumia Nguvu au kupindua hasa : kupinduliwa au kuachiliwa kwa serikali au mtawala mmoja na kubadilishwa kwa serikali nyingine na wanaotawaliwa.
Unajua maana ya Mapinduzi?Wewe Unaona Haya Ni Maboresho Au Mapinduzi Makubwa Mkuu?
Pole sana Ila Bado Kidogo Tanesco Kupitia Rea Wanafikia Vijiji Vyote.Mimi nilipo kuna giza so siwezi kuona watu wakitabasamu. Bila umeme wa uhakika porojo zote ni bure
Wapi huko kusimamia mambo yenu hadi mtafute mamluki au?🤸🤸🤸Wapi huko mnahangaika na madarasa hadi leo?
Na Ndio Maana Nikaandika. Wewe Madarasa Mangapi Yamejengwa Kwa Tz Nzima Hayo sio Mapinduzi?Unajua maana ya Mapinduzi?
Hajaweka nani Luka ama?[emoji41][emoji41]
Mamluki Tena??Wapi huko kusimamia mambo yenu hadi mtafute mamluki[emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Hakika Tuitunze hii Tunu.Huku kwetu pia ni Samia tu. Na reality ni kwamba, Inabidi uwe mjinga sana kuwaza kuwa Samia ana mpinzani 2025.
Basi manyaparaa🤣🤣Mamluki Tena??
Not Luka check JF I'd hapo.Hajaweka nani Luka ama?
Kwa Rais Wangu SITAKI kuwa Chawa Tyuu Hata Niwe Kupe Kwakwe kwa Kazi Kubwa Anazozifanya Nipo TayariUnajifunza U-chawa wewe!
[emoji23][emoji23][emoji23]Basi manyaparaa[emoji1787][emoji1787]
Hapo Usiseme sasa Vyoo Vya kisasa Vipo Sasa hivi sio Yale Matundu ya Enzi Zile.Mbona hujazungumzia vyoo au mnaenda kujisaidia wapi..... Huko mashuleni
Hivyo tutavisikia kigali/ugali na kwingine ila sii kwetu kila mmoja anafanya uwekezaji tumboni mwake🤪Hapo Usiseme sasa Vyoo Vya kisasa Vipo Sasa hivi sio Yale Matundu ya Enzi Zile.
We ndo yule kijana wa Gekul? Hebu twambie alikufanyaje na chupa!Kwa Rais Wangu SITAKI kuwa Chawa Tyuu Hata Niwe Kupe Kwakwe kwa Kazi Kubwa Anazozifanya Nipo Tayari