mnyonge wa hali ya chini
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 920
- 1,148
Ni ajabu sana pale ambapo lengo lenu la kumuua limeshindikana then mnataka kujiosha dhambi zenu kwa njia ya kutaka kugharimia matibabu yake.Serikali imeamua inamtibu imeshagundua mnatapeliwa wadanganyika wakubwa nyie,kama umechangia umeliwa.Unahangaika kuchanga kijijini kwenu huaenda miaka 12 unawapa watu pesa waende Nairobi.Boya wewe.
Mnataka mpewe posho sasa zimetumwa kwenye account ya hospitali ndio maana mmerudi bongo mlitarajia mpewe 43m mpasue starehe tumelipa direct hospitali.Ni ajabu sana pale ambapo lengo lenu la kumuua limeshindikana then mnataka kujiosha dhambi zenu kwa njia ya kutaka kugharimia matibabu yake.
Hayo maneno aliyoyasema mwakilishi wenu mbona hakuyasema siku ile ya kwanza!?
Huku kunaitwa KUTAPATAPA baada ya njama zenu kufeli.
Hua nakuheshimu Sana GENTAMYCINEIli akamilishe hizo ' Sifa ' zako zote ulizompa hapo inambidi pia awe ' Mzalendo ' wa kweli kwa nchi yake ya Tanzania kwa kuitangaza vyema pia huko huko alipo na siyo ' kutegea ' tu mambo ' negative ' yanayotokea huku ' Bongo Land ' kisha anayatumia kwa ' maslahi ' yake ya Kiharakati na Kisiasa CHADEMA zaidi.
Yes ni ' Mwerevu ' na ni mfano mzuri wa ' Kuigwa ' hasa kwa Watu wanaopenda kufikiri outside the box ila ana mapungufu ya Kimsingi ya kutokuwa Mzalendo, Mvumilivu, hana Staha na amewekeza sana kwa kupenda kuwa emotional hata katika mambo ambayo hayahitaji nguvu au akili nyingi kuyakabili.
Mwisho mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni na kama kawaida yangu sijaumbwa kuwa ' Mnafiki ' na huwa ' nanyooshaga ' tu maelezo ni kwamba pamoja na hayo ' mapungufu ' yake ila Mange Kimambi amesaidia sana kuwafanya ' Watendaji ' wengi kuwa makini na 'Utendaji ' wao, amesaidia kuwafanya Watanzania wawe na uwezo wa Kuhoji, Kutathmini na Kuchambua mambo kwa mapana yake lakini pia amesaidia kutufanya Sisi wana Jamii tuishi kwa nidhamu na uangalifu mkubwa ili tusije kuharibu ' Heshima ' zetu katika Jamii.
Mtazamo wangu Kwake ni kwamba Mange Kimambi ana faida nyingi kuliko hasara na ni ' mtaji ' mzuri sana kwa Serikali au Jamii inayohitaji ' maendeleo ' hasa yanayoanzia katika ' Fikra ' na kwenda katika ' Utekelezaji ' na kama akitumika kama ngazi ya kuipeleka Tanzania katika ' mafanikio ' itapendeza mno kuliko kuonekana kama ' adui ' namba moja wa nchi / taifa / Serikali.
Yangu ni hayo tu Mkuu
Akhsante na tuko pamoja Mkuu.
wew ni ndugu yake na bashite eeehNataka nimuoe alfu nimrudishe bongo mange
Hua nakuheshimu Sana GENTAMYCINE
Japo sijawahi kukwambia.
Nilidhani ungekuja kuchafua hali ya hewa.
Nimekusoma na umesema wewe sio mnafiki! Nimelinganisha maoni yako nimeafikiana na unachokisema.
Big up Sana.
Ukweli usemwe pale inapobidi.
Acha ujinga weweHii michango inanishangaza saana mimi?sishangazwi na huyu dada na ushawishi wake,nashangazwa na wanaochanga?je zitafikia lengo?naona utapeli hapa,watanzania 5000000 wakichangia 1000 moja tu ni pesa kiasi hicho,je ni za matibabu tu ya lissu,au ni dili la makengeza?
Wewe huwezi chochote zaidi ya kygegedwaYale matusi anayotukana ndo yaliyompa umaarufu, na ndo u unique wake ambao Madada wengine hatuwezi kufanya
Haya za Kagera nani alipewaMe nimeamua sichagi mpaka nijue nani anayekabidhiwa hizi pesa,tumlete hapa jukwaani tuanzishe uzi wakujadili maisha yake ya kabla na utaunzaji wake wa fedha kabla hutajampa hizi tunazochanga!
Ndio mana nahoji kabla hatujachanga.Hao unaosema walifuatilia na kupiga risasi pia waliomba michango humu?kama waliomba samahani sikuona huo uzi mkuu.
Hajanitukana mimiAnamtukana rais wetu matusi, rais ni icon ya taifa so kwa kumtukana tu rais anaitukana tanzania nzima akiwemo na yy sababu ni mtanzania. And rais tulimchagua kwa majority vote hivyo ni rais wa wote walomchagua na wasio mchagua. So wewe kama upo nje ya nchi then unamtukana rais, hapo unatukana taifa zima la tanzania.
And the vise VerserWewe huwezi chochote zaidi ya kygegedwa