Pongezi kwake Mange Kimambi

Serikali imeamua inamtibu imeshagundua mnatapeliwa wadanganyika wakubwa nyie,kama umechangia umeliwa.Unahangaika kuchanga kijijini kwenu huaenda miaka 12 unawapa watu pesa waende Nairobi.Boya wewe.
Ni ajabu sana pale ambapo lengo lenu la kumuua limeshindikana then mnataka kujiosha dhambi zenu kwa njia ya kutaka kugharimia matibabu yake.

Hayo maneno aliyoyasema mwakilishi wenu mbona hakuyasema siku ile ya kwanza!?

Huku kunaitwa KUTAPATAPA baada ya njama zenu kufeli.
 
Mnataka mpewe posho sasa zimetumwa kwenye account ya hospitali ndio maana mmerudi bongo mlitarajia mpewe 43m mpasue starehe tumelipa direct hospitali.
 
Hua nakuheshimu Sana GENTAMYCINE
Japo sijawahi kukwambia.

Nilidhani ungekuja kuchafua hali ya hewa.
Nimekusoma na umesema wewe sio mnafiki! Nimelinganisha maoni yako nimeafikiana na unachokisema.

Big up Sana.
Ukweli usemwe pale inapobidi.
 
huyo mange alikuwa demu wangu ndio nilimwondoa ucchana wake..... now yupo na mzungu nilimtosa coz nilipata demu mkali xana Enzi zile yy alijua badae xana alivyo ona cmpatilizi tena
 
Hua nakuheshimu Sana GENTAMYCINE
Japo sijawahi kukwambia.

Nilidhani ungekuja kuchafua hali ya hewa.
Nimekusoma na umesema wewe sio mnafiki! Nimelinganisha maoni yako nimeafikiana na unachokisema.

Big up Sana.
Ukweli usemwe pale inapobidi.

Akhsante sana Mkuu kwa compliments zako nzuri na za dhati kabisa Kwangu. Tupo pamoja mno Mkuu.
 
Huyu mange sipati picha 2020 atakavyoinyoosha CCM. Maguful lazma atafanya juu chini amnyamazishe kabla ya 2020. Mange ni nyokooooooo.
 
Nenda tena you tube afu useme alikiba ana ngap na mond ana nga
 
pongezi sana dada Mange. hata Mbowe amemshukuru Mange kwa kuhamasisha watu kuchangia.
 
Acha ujinga wewe
 
Haya za Kagera nani alipewa
 
Hajanitukana mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…