Pongezi kwenu Single Mothers
Sijawahi kudharau na kuja kudharau na waheshimu sana kwa hustle zao pia...
 
Single mom tuna Upendo hatuwezi kuua ndio maana tulivyobeba mimba hatukupenda kutoa na tukalea.

Na wengi wao wanaoponda single mom unakuta hajalelewa na Baba yake mzazi palipo single mom jua kuna single father.

Nimeshuhudia wadada wengi wakitoa ujauzito bila huruma so kwa niaba ya single mom wala msione Haya wala kujisikia vibaya walochomoa ni mama wa marehemu sisi wa kwetu wapo hai.

Single mom kuolewa wanaolewa sana Na tunapendwa sana tu

Wanaotusema vibaya ni wapumbavu hawajiewi
Waliozaa baada ya kukimbiwa na waliowapa mimba wamejiwekea amani Na furaha ya maisha yao ya baadae,.

Ole wako ww utoae mimba sasa utambue ya kwamba hutakuwa sister duu miaka yote.
Iko siku utabaki peke yako na uwezo Wa kuzaa hutakuwa nao na furaha yako ambayo umeiweka kwa wanaume itapotea. Wanaume hawatakufuta miaka yote. Iko siku watakukimbia kwakuwa huna mvuto, uzee umekujaa hapo ndio utawakumbuka wale watoto uliokuwa unawachoropoa.

Faraja yako ni mtoto wako pekee, huyo ndio atakufariji wakat Wa shida Na raha!!!

Big up single mama kwa kutambua maisha ya baadae
 
Npo mzima... naona leo mama zetu mmekmbukwa
Umefanya nirudi mwanzo wa uzi jirani. 🤣🤣🤣

Sio leo tu jirani si umeona post ya kwanza ilivyoshiba kwa muunganiko wa Posts za members kibao wakitupa pongezi.
 
Naaam... tumewapa pongezi tunawajali nakuwapenda.
Umefanya nirudi mwanzo wa uzi jirani. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sio leo tu jirani si umeona post ya kwanza ilivyoshiba kwa muunganiko wa Posts za members kibao wakitupa pongezi.
 
Back
Top Bottom