Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kwelindio Ivuga nna watoto wanne kila mmoja na baba ake
Hio ni zaidi ya u single mam
Kuna umalaya ndani yake
Sio kweli
Hapana.Umeona kumepoa nyuzi za single moms hazijaanzishwa muda umeamua kuja na mada ya kinyumenyume....mradi watu watokwe povu ushangilie kimoyomoyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Waliozaa baada ya kukimbiwa na waliowapa mimba wamejiwekea amani Na furaha ya maisha yao ya baadae,.Single mom tuna Upendo hatuwezi kuua ndio maana tulivyobeba mimba hatukupenda kutoa na tukalea.
Na wengi wao wanaoponda single mom unakuta hajalelewa na Baba yake mzazi palipo single mom jua kuna single father.
Nimeshuhudia wadada wengi wakitoa ujauzito bila huruma so kwa niaba ya single mom wala msione Haya wala kujisikia vibaya walochomoa ni mama wa marehemu sisi wa kwetu wapo hai.
Single mom kuolewa wanaolewa sana Na tunapendwa sana tu
Wanaotusema vibaya ni wapumbavu hawajiewi
Hujaelewa nini?Sijakuelewa kidogo
Hujaelewa nini?
Sijambo jirani. Uko mzima?Hujambo
Hawana hela wanamalizia stress Jf
ukiona mwanaume anaongea ongea sana jua tu hana hela or ni kibamia
Sijambo jirani. Uko mzima?
Umefanya nirudi mwanzo wa uzi jirani. 🤣🤣🤣Npo mzima... naona leo mama zetu mmekmbukwa
Umefanya nirudi mwanzo wa uzi jirani. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio leo tu jirani si umeona post ya kwanza ilivyoshiba kwa muunganiko wa Posts za members kibao wakitupa pongezi.
Ahsanteni kwa hilo. Japo iwe kimoyoni moyoni sasa jirani sio kimaandishini pekee.Naaam... tumewapa pongezi tunawajali nakuwapenda.
Sawa sawa. Tutajitahidi. Ndio kwanza tumeanza kwa hili..... ila tukiwaoa basi msirud kule kwa wazamaniAhsanteni kwa hilo. Japo iwe kimoyoni moyoni sasa jirani sio kimaandishini pekee.