ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Lissu, Lema na Heche hawa watu ni muhimu sana kwa nchi hiiHayawi hayawi sasa yamekuwa,...
Awali ya yote nichukue nafasi hii kumpongeza Sana Mh. Lisu kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, pongezi hizi zinaenda sambamba kwa viongozi wote wanaomfuatia akiwemo Makamu Mwenyekiti wake Mh. John Heche na wote watakaofuatia .
Wadau mnaoitakia mema CHADEMA chini ya Mwenyekiti Tundu A. Lissu,
Naomba tuweze kutoa maoni yetu namna gani Chama kinaweza kujiendesha kwa tija na kutwaa madaraka kwa nafasi mbalimbali zinazokuja katika chaguzi zijazo.
relax gentleman ni haki na uhuru wao wa kikatiba, right?🐒Good for them, new era needs new peoples and leaders
Bado unaugulia maumivu. Vigogo wa Chadema ni Lissu na Heche kwa sasa. Wengine wote wakitaka kuondoka waondoke hawana impact. Kura zimeamua. Tuangalie na sisi na Ccm yetu.Hayawi hayawi sasa yamekuwa,...
Awali ya yote nichukue nafasi hii kumpongeza Sana Mh. Lisu kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, pongezi hizi zinaenda sambamba kwa viongozi wote wanaomfuatia akiwemo Makamu Mwenyekiti wake Mh. John Heche na wote watakaofuatia .
Wadau mnaoitakia mema CHADEMA chini ya Mwenyekiti Tundu A. Lissu,
Naomba tuweze kutoa maoni yetu namna gani Chama kinaweza kujiendesha kwa tija na kutwaa madaraka kwa nafasi mbalimbali zinazokuja katika chaguzi zijazo.
Waende tu, Lisu tunaye na tunaringa naye.Hayawi hayawi sasa yamekuwa,...
Awali ya yote nichukue nafasi hii kumpongeza Sana Mh. Lisu kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, pongezi hizi zinaenda sambamba kwa viongozi wote wanaomfuatia akiwemo Makamu Mwenyekiti wake Mh. John Heche na wote watakaofuatia .
Wadau mnaoitakia mema CHADEMA chini ya Mwenyekiti Tundu A. Lissu,
Naomba tuweze kutoa maoni yetu namna gani Chama kinaweza kujiendesha kwa tija na kutwaa madaraka kwa nafasi mbalimbali zinazokuja katika chaguzi zijazo.
Lema didim it very well, that man of God May he be Blessed, his chidren and His FamilyLema was a man of the show.
He has completely dismantled an old blood libel and scandalous rumor that CHADEMA is a CHAGGA Party. CCM's propaganda machine is currently disarmed and docile.
CCM has no other weapon. It's game on.
Personal Advice.
1. Focus on reforms, not election.
2. Be watchful, but never isolate Mbowe.
3. CCM is going indignant and berserk, so use MARIDHIANO to buy yourself time. Use caution, don't turn the tables completely. Be wise, be prudent, play smart.
4. Spend every party resource in rejuvenating grassroot party branches, and enhance transparency in expenditure.
5. The main agenda for CHADEMA, 2025 and beyond, should be themed upon Major Constitutional Reforms. This will help, transform CHADEMA from a mere political party into a living ideology, making a party relevant for the coming years.
Tunatesa naye, tunampendaWaende tu, Lisu tunaye na tunaringa naye.
🍞🍞kula mkate mkwanzaNimefurahishwa sana na ushindi wa Lissu kwenye uenyekiti wa CHADEMA. Kiukweli huu ni ushindi mkubwa sana kwa Chama Cha Mapinduzi kwa wiki hii.
Chama kimecheza karata yake vizuri kuhakikisha mtu asiye na busara wala uvumilivu wa kisiasa anakuwa mwenyekiti wa CHADEMA ili kuharakisha anguko la CHADEMA.
Imechukua miaka mingi na mbinu mbalimbali kumtoa madarakani jabali la siasa za upinzani Tanzania, Ndugu Mbowe ila ikawa ngumu. Fursa ilivyojitokeza wanaCCM tukaitumia vizuri.
WanaCCM tulijifanya tunamsapoti Mbowe ili Lissu apate kura za hasira toka kwa wajumbe wa mkutano mkuu na bahati nzuri mambo yameenda kama yalivyopangwa.
Kwa dhati kabisa ninawashukuru Ntobi na Yericko Nyerere kwa kuhakikisha wanatoa kauli za kuwakera wajumbe na Team Lissu ili kuongeza kura za hasira kwa Lissu. Mbowe atakuwa kapata fundisho la maisha kutojihusisha na vijana wasio na nidhamu.
Kwa hapa JF nampongeza Lucas na Tlatlaah kwa kuhakikisha wajumbe wanapata hasira na kumpiga chini jabali lililotusumbua sana.
Wewe siyo ulisoma tu kwa yale magari ya njano itakuwa ulisoma AnganiLema was a man of the show.
He has completely dismantled an old blood libel and scandalous rumor that CHADEMA is a CHAGGA Party. CCM's propaganda machine is currently disarmed and docile.
CCM has no other weapon. It's game on.
Personal Advice.
1. Focus on reforms, not election.
2. Be watchful, but never isolate Mbowe.
3. CCM is going indignant and berserk, so use MARIDHIANO to buy yourself time. Use caution, don't turn the tables completely. Be wise, be prudent, play smart.
4. Spend every party resource in rejuvenating grassroot party branches, and enhance transparency in expenditure.
5. The main agenda for CHADEMA, 2025 and beyond, should be themed upon Major Constitutional Reforms. This will help, transform CHADEMA from a mere political party into a living ideology, making a party relevant for the coming years.
Haya bubujikwa na uharo basi huku ukikimbia barabaraniNimefurahishwa sana na ushindi wa Lissu kwenye uenyekiti wa CHADEMA. Kiukweli huu ni ushindi mkubwa sana kwa Chama Cha Mapinduzi kwa wiki hii.
Chama kimecheza karata yake vizuri kuhakikisha mtu asiye na busara wala uvumilivu wa kisiasa anakuwa mwenyekiti wa CHADEMA ili kuharakisha anguko la CHADEMA.
Imechukua miaka mingi na mbinu mbalimbali kumtoa madarakani jabali la siasa za upinzani Tanzania, Ndugu Mbowe ila ikawa ngumu. Fursa ilivyojitokeza wanaCCM tukaitumia vizuri.
WanaCCM tulijifanya tunamsapoti Mbowe ili Lissu apate kura za hasira toka kwa wajumbe wa mkutano mkuu na bahati nzuri mambo yameenda kama yalivyopangwa.
Kwa dhati kabisa ninawashukuru Ntobi na Yericko Nyerere kwa kuhakikisha wanatoa kauli za kuwakera wajumbe na Team Lissu ili kuongeza kura za hasira kwa Lissu. Mbowe atakuwa kapata fundisho la maisha kutojihusisha na vijana wasio na nidhamu.
Kwa hapa JF nampongeza Lucas na Tlatlaah kwa kuhakikisha wajumbe wanapata hasira na kumpiga chini jabali lililotusumbua sana.
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sanasi kweli ndungu masumbuko, usiwapotoshe wadau,
mimi ni mtaalamu wa siasa na kwahivyo siasa haiwezi kunibabaisha ndugu yangu masumbuko [emoji205]