Pongezi, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa CHADEMA chini ya Mwenyekiti Tundu Antipas Lissu

Pongezi, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa CHADEMA chini ya Mwenyekiti Tundu Antipas Lissu

Hayawi hayawi sasa yamekuwa,...

Awali ya yote nichukue nafasi hii kumpongeza Sana Mh. Lisu kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, pongezi hizi zinaenda sambamba kwa viongozi wote wanaomfuatia akiwemo Makamu Mwenyekiti wake Mh. John Heche na wote watakaofuatia .

Wadau mnaoitakia mema CHADEMA chini ya Mwenyekiti Tundu A. Lissu,

Naomba tuweze kutoa maoni yetu namna gani Chama kinaweza kujiendesha kwa tija na kutwaa madaraka kwa nafasi mbalimbali zinazokuja katika chaguzi zijazo.
Lissu, Lema na Heche hawa watu ni muhimu sana kwa nchi hii
 
Acha ushauri mwingi wewe.

Washauri Lumumba waongeze kuchapisha fomu za wagombea urais moja haitoshi na sio demokrasia.

Kisha mpige kura na kuhesabu live kana Chadema.
IMG-20250122-WA0002.jpg
 
Ni wale wenye hekima na busara ambao hawawezi kukaa kwenye mazingira ya makelele na mdomo bila mipango.

Inasekekana watajiengua Chadema kwa makundi makundi na kwa awamu tofauti tofauti watapokelewa na watajiunga na Chama Cha Mapinduzi CCM, kwa nyakati tofauti.

Kama mdau wa siasa za ndani ya Chadema, ukipima vizuri na kutathmini mambo haya kwa kina, unadhani waliopo pale Chadema, nani hapendi kelele na mdomo, na kwahivyo itakua vigumu kufanya siasa ndani ya chama hicho, na hekima itamuelekeza kujiengua?🐒

Mungu ibariki Tanzania.
 
Nimefurahishwa sana na ushindi wa Lissu kwenye uenyekiti wa CHADEMA. Kiukweli huu ni ushindi mkubwa sana kwa Chama Cha Mapinduzi kwa wiki hii.

Chama kimecheza karata yake vizuri kuhakikisha mtu asiye na busara wala uvumilivu wa kisiasa anakuwa mwenyekiti wa CHADEMA ili kuharakisha anguko la CHADEMA.

Imechukua miaka mingi na mbinu mbalimbali kumtoa madarakani jabali la siasa za upinzani Tanzania, Ndugu Mbowe ila ikawa ngumu. Fursa ilivyojitokeza wanaCCM tukaitumia vizuri.

WanaCCM tulijifanya tunamsapoti Mbowe ili Lissu apate kura za hasira toka kwa wajumbe wa mkutano mkuu na bahati nzuri mambo yameenda kama yalivyopangwa.

Kwa dhati kabisa ninawashukuru Ntobi na Yericko Nyerere kwa kuhakikisha wanatoa kauli za kuwakera wajumbe na Team Lissu ili kuongeza kura za hasira kwa Lissu. Mbowe atakuwa kapata fundisho la maisha kutojihusisha na vijana wasio na nidhamu.

Kwa hapa JF nampongeza Lucas na Tlatlaah kwa kuhakikisha wajumbe wanapata hasira na kumpiga chini jabali lililotusumbua sana.
 
Hayawi hayawi sasa yamekuwa,...

Awali ya yote nichukue nafasi hii kumpongeza Sana Mh. Lisu kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, pongezi hizi zinaenda sambamba kwa viongozi wote wanaomfuatia akiwemo Makamu Mwenyekiti wake Mh. John Heche na wote watakaofuatia .

Wadau mnaoitakia mema CHADEMA chini ya Mwenyekiti Tundu A. Lissu,

Naomba tuweze kutoa maoni yetu namna gani Chama kinaweza kujiendesha kwa tija na kutwaa madaraka kwa nafasi mbalimbali zinazokuja katika chaguzi zijazo.
Bado unaugulia maumivu. Vigogo wa Chadema ni Lissu na Heche kwa sasa. Wengine wote wakitaka kuondoka waondoke hawana impact. Kura zimeamua. Tuangalie na sisi na Ccm yetu.
 
Hayawi hayawi sasa yamekuwa,...

Awali ya yote nichukue nafasi hii kumpongeza Sana Mh. Lisu kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, pongezi hizi zinaenda sambamba kwa viongozi wote wanaomfuatia akiwemo Makamu Mwenyekiti wake Mh. John Heche na wote watakaofuatia .

Wadau mnaoitakia mema CHADEMA chini ya Mwenyekiti Tundu A. Lissu,

Naomba tuweze kutoa maoni yetu namna gani Chama kinaweza kujiendesha kwa tija na kutwaa madaraka kwa nafasi mbalimbali zinazokuja katika chaguzi zijazo.
Waende tu, Lisu tunaye na tunaringa naye.
 
Lema was a man of the show.

He has completely dismantled an old blood libel and scandalous rumor that CHADEMA is a CHAGGA Party. CCM's propaganda machine is currently disarmed and docile.

CCM has no other weapon. It's game on.

Personal Advice.
1. Focus on reforms, not election.

2. Be watchful, but never isolate Mbowe.

3. CCM is going indignant and berserk, so use MARIDHIANO to buy yourself time. Use caution, don't turn the tables completely. Be wise, be prudent, play smart.

4. Spend every party resource in rejuvenating grassroot party branches, and enhance transparency in expenditure.

5. The main agenda for CHADEMA, 2025 and beyond, should be themed upon Major Constitutional Reforms. This will help, transform CHADEMA from a mere political party into a living ideology, making a party relevant for the coming years.​
Lema didim it very well, that man of God May he be Blessed, his chidren and His Family
 
Nimefurahishwa sana na ushindi wa Lissu kwenye uenyekiti wa CHADEMA. Kiukweli huu ni ushindi mkubwa sana kwa Chama Cha Mapinduzi kwa wiki hii.

Chama kimecheza karata yake vizuri kuhakikisha mtu asiye na busara wala uvumilivu wa kisiasa anakuwa mwenyekiti wa CHADEMA ili kuharakisha anguko la CHADEMA.

Imechukua miaka mingi na mbinu mbalimbali kumtoa madarakani jabali la siasa za upinzani Tanzania, Ndugu Mbowe ila ikawa ngumu. Fursa ilivyojitokeza wanaCCM tukaitumia vizuri.

WanaCCM tulijifanya tunamsapoti Mbowe ili Lissu apate kura za hasira toka kwa wajumbe wa mkutano mkuu na bahati nzuri mambo yameenda kama yalivyopangwa.

Kwa dhati kabisa ninawashukuru Ntobi na Yericko Nyerere kwa kuhakikisha wanatoa kauli za kuwakera wajumbe na Team Lissu ili kuongeza kura za hasira kwa Lissu. Mbowe atakuwa kapata fundisho la maisha kutojihusisha na vijana wasio na nidhamu.

Kwa hapa JF nampongeza Lucas na Tlatlaah kwa kuhakikisha wajumbe wanapata hasira na kumpiga chini jabali lililotusumbua sana.
🍞🍞kula mkate mkwanza
 
Lema was a man of the show.

He has completely dismantled an old blood libel and scandalous rumor that CHADEMA is a CHAGGA Party. CCM's propaganda machine is currently disarmed and docile.

CCM has no other weapon. It's game on.

Personal Advice.
1. Focus on reforms, not election.

2. Be watchful, but never isolate Mbowe.

3. CCM is going indignant and berserk, so use MARIDHIANO to buy yourself time. Use caution, don't turn the tables completely. Be wise, be prudent, play smart.

4. Spend every party resource in rejuvenating grassroot party branches, and enhance transparency in expenditure.

5. The main agenda for CHADEMA, 2025 and beyond, should be themed upon Major Constitutional Reforms. This will help, transform CHADEMA from a mere political party into a living ideology, making a party relevant for the coming years.​
Wewe siyo ulisoma tu kwa yale magari ya njano itakuwa ulisoma Angani
 
Nimefurahishwa sana na ushindi wa Lissu kwenye uenyekiti wa CHADEMA. Kiukweli huu ni ushindi mkubwa sana kwa Chama Cha Mapinduzi kwa wiki hii.

Chama kimecheza karata yake vizuri kuhakikisha mtu asiye na busara wala uvumilivu wa kisiasa anakuwa mwenyekiti wa CHADEMA ili kuharakisha anguko la CHADEMA.

Imechukua miaka mingi na mbinu mbalimbali kumtoa madarakani jabali la siasa za upinzani Tanzania, Ndugu Mbowe ila ikawa ngumu. Fursa ilivyojitokeza wanaCCM tukaitumia vizuri.

WanaCCM tulijifanya tunamsapoti Mbowe ili Lissu apate kura za hasira toka kwa wajumbe wa mkutano mkuu na bahati nzuri mambo yameenda kama yalivyopangwa.

Kwa dhati kabisa ninawashukuru Ntobi na Yericko Nyerere kwa kuhakikisha wanatoa kauli za kuwakera wajumbe na Team Lissu ili kuongeza kura za hasira kwa Lissu. Mbowe atakuwa kapata fundisho la maisha kutojihusisha na vijana wasio na nidhamu.

Kwa hapa JF nampongeza Lucas na Tlatlaah kwa kuhakikisha wajumbe wanapata hasira na kumpiga chini jabali lililotusumbua sana.
Haya bubujikwa na uharo basi huku ukikimbia barabarani
 
si kweli ndungu masumbuko, usiwapotoshe wadau,

mimi ni mtaalamu wa siasa na kwahivyo siasa haiwezi kunibabaisha ndugu yangu masumbuko [emoji205]
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana
 
Back
Top Bottom