Pongezi, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa CHADEMA chini ya Mwenyekiti Tundu Antipas Lissu

Pongezi, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa CHADEMA chini ya Mwenyekiti Tundu Antipas Lissu

Mh Tundu Lissu sikitika sana kwa maana kuwa yajayo yanafurahisha, sio kazi rahisi kuongoza Chama pinzani hasa wasomi, hakuna msomi aliyeko tayari kufundishwa

Unapokuwa kiongozi wa Chama pinzani lazima akili ipate moto kwasababu ya kuongoza wasomi, wasomi ni watu wabishi sana na wasiofaa kufundisha kwasababu wanaamini kuwa wanafahamu kila jambo

Kitendo cha kuwa Mwenyekiti utashuhudia mengi na hata wakati mwingine utakata tamaa kwasababu ya usumbufu wa vikwazo na kukosolewa

Nakusikitikia sana kwa jukumu kubwa ulilovishwa hilo ni kaa la moto kumbuka kuwa wewe ndiye kiongozi mkuu pinzani wa vyama vya siasa hivyobasi vita yako ni kubwa sana

Yajayo yanafurahisha
 
Lema was a man of the show.

He has completely dismantled an old blood libel and scandalous rumor that CHADEMA is a CHAGGA Party. CCM's propaganda machine is currently disarmed and docile.

CCM has no other weapon. It's game on.

Personal Advice.
1. Focus on reforms, not election.

2. Be watchful, but never isolate Mbowe.

3. CCM is going indignant and berserk, so use MARIDHIANO to buy yourself time. Use caution, don't turn the tables completely. Be wise, be prudent, play smart.

4. Spend every party resource in rejuvenating grassroot party branches, and enhance transparency in expenditure.

5. The main agenda for CHADEMA, 2025 and beyond, should be themed upon Major Constitutional Reforms. This will help, transform CHADEMA from a mere political party into a living ideology, making a party relevant for the coming years.​
🌤️🙋‍♂️✍️🎯👌👍👊🤝🙏💐🎁🗼🎖️🛡️
 
mbowe nilikuwa namshangaa sana

(1)anashindanaje na mtu kutoka darasa latatu alijitambua na kugoma kufanya kazi za kikoloni kama kuwahi shule na hajawahi pigwa

(2) Amerushuwa risasi zaidi ya 36 16 zimepiga mwili na bado mzima ?
Jamaa kweli ni mpango wa Mungu !
Lissu ni muujiza unaotembea !
Ngoja Tusubiri tuone !
 
Mana of the match.
20250122_202243.jpg
 
Hayawi hayawi sasa yamekuwa,...

Awali ya yote nichukue nafasi hii kumpongeza Sana Mh. Lisu kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, pongezi hizi zinaenda sambamba kwa viongozi wote wanaomfuatia akiwemo Makamu Mwenyekiti wake Mh. John Heche na wote watakaofuatia .

Wadau mnaoitakia mema CHADEMA chini ya Mwenyekiti Tundu A. Lissu,

Naomba tuweze kutoa maoni yetu namna gani Chama kinaweza kujiendesha kwa tija na kutwaa madaraka kwa nafasi mbalimbali zinazokuja katika chaguzi zijazo.
Uandikishaji wa kidogitali ushike kasi hasa wakati hui ambao hamasa ni ya moto zaidi.
 
Sio Siri viongozi wengi wanapata nafasi za kituongoza sio kwamba tunawapenda bali ni mfumo unatuchagulia, yaani nipo hapa kijijini sijuhi mbunge wangu ambaye mimi ni mwajili wake alipitishwa na nani hadi nikaambiwa nimpigie Kura kwasababu nalinda heshima ya chama changu!

Chonde chonde Chadema msiige huu pumbavu wa miaka mingi wa CCM wa kuwaona wenye pesa ndio wenye sauti, tupeni nafasi huku mashinani tuwaletee viongozi ambao kwa wingi wetu tunawakubali!
 
Wewe naye ulikuwa wapi? Hayo yalishapita, sasa hivi tuko kwenye sherehe. Aliyeshindwa kakubali matokeo. Wewe unatokea wapi kuyasema haya sasa? Hakuna atakayeombwa msamaha, TAL ana kazi ya kujenga Chama kiwe imara hana muda na majungu, BYEEE✌️✌️✌️
TAL ana kazi ya kujenga Chama kiwe imara hana muda na majungu, BYEEE✌️✌️✌️
 
Wakuu jf amani ya Bwana ikawe juu yenu kila mmoja kwa imani yake.

Mh Mwenyekiti / Makam Mwenyekiti Taifa (Lissu / Heche) hongereni kwa ushindi uliotukuka, na amani ya Bwana ikawe juu yenu ,katika tekeleza majukum yenu, na imekua chini ya Mungu wetu ,atupae Pumzi.

Rejea mada tajwa hapo juu,

Msitishwe kwamba mtaendeshaje chama , wenye chama ni wanachama ambao mie ni mmoja wapo , pesa zipo kwetu , ni jukum lenu tangaza utaratibu wa mapema kwanza na haraka iwezekanavyo tuanze wapatia mapesa ili muendeshe chama bila stress.

kazi yunu ni moja tu ,kutupatia namna ya kuwakilisha michango , mimi kama mbangaizaji nipo na laki na hamsini mfukoni ,kama kianzio cha mchango wangu binafsi ,sina utaratibu naitumaje kwenye chama.

Tafadhali sana tupeni utaratibu.

Thanks
 
Wakuu jf amani ya Bwana ikawe juu yenu kila mmoja kwa imani yake.

Mh Mwenyekiti / Makam Mwenyekiti Taifa (Lissu / Heche) hongereni kwa ushindi uliotukuka, na amani ya Bwana ikawe juu yenu ,katika tekeleza majukum yenu, na imekua chini ya Mungu wetu ,atupae Pumzi.

Rejea mada tajwa hapo juu,

Msitishwe kwamba mtaendeshaje chama , wenye chama ni wanachama ambao mie ni mmoja wapo , pesa zipo kwetu , ni jukum lenu tangaza utaratibu wa mapema kwanza na haraka iwezekanavyo tuanze wapatia mapesa ili muendeshe chama bila stress.

kazi yunu ni moja tu ,kutupatia namna ya kuwakilisha michango , mimi kama mbangaizaji nipo na laki na hamsini mfukoni ,kama kianzio cha mchango wangu binafsi ,sina utaratibu naitumaje kwenye chama.

Tafadhali sana tupeni utaratibu.

Thanks
Itapendeza sana CAHDEMA ikiacha kumtegemea Mbowe kifedha
 
Wakuu jf amani ya Bwana ikawe juu yenu kila mmoja kwa imani yake.

Mh Mwenyekiti / Makam Mwenyekiti Taifa (Lissu / Heche) hongereni kwa ushindi uliotukuka, na amani ya Bwana ikawe juu yenu ,katika tekeleza majukum yenu, na imekua chini ya Mungu wetu ,atupae Pumzi.

Rejea mada tajwa hapo juu,

Msitishwe kwamba mtaendeshaje chama , wenye chama ni wanachama ambao mie ni mmoja wapo , pesa zipo kwetu , ni jukum lenu tangaza utaratibu wa mapema kwanza na haraka iwezekanavyo tuanze wapatia mapesa ili muendeshe chama bila stress.

kazi yunu ni moja tu ,kutupatia namna ya kuwakilisha michango , mimi kama mbangaizaji nipo na laki na hamsini mfukoni ,kama kianzio cha mchango wangu binafsi ,sina utaratibu naitumaje kwenye chama.

Tafadhali sana tupeni utaratibu.

Thanks
Tupo tayari wekeni mpango kazi tuanze kazi.
Tunahitaji kazi ya kufufua imani na ari ya mapambano ianze mara moja
 
Back
Top Bottom