Ni ukweli au fununu/tetesi..?Kwako ndugu na Kaka yangu National Anthem, Tumekuwa marafiki wa muda mrefu katika dunia hii ya Kufikirika.
Furaha yako imekuwa furaha yangu pia, nichukue fursa hii kukupongeza wewe na mkeo kwa kufanikiwa kupata watoto mapacha siku ya janaππ.
Kheri ikawe kwenu na kwa familia yenu, nawa ahidi sitokuja kula sana endapo Nita alikwa π
π.
πnote: nadhani hi ni wiki ya baraka kwa team jf usiku wa manane, kwani ndugu zetu watatu trudie, Mr kenice na national anthem wamepata watoto.
π I mean no malice to nobody, Sera zetu π Panga mkononi
πRoho begani
View attachment 2605160
πPicha haihusiani na taarifa.
Kupunguza mlolongo wa kwenda leba na kulea kwa pamojs unaachana na kazi hiyo mapemaJozi sio mchezo ππ
Kweli aiseeKupunguza mlolongo wa kwenda leba na kulea kwa pamojs unaachana na kazi hiyo mapema
Muhuri umegongwa, ukigeuka nakushtakiπ€£Kweli aisee
Hongera kwake bro National Anthem... πππ...,,, Karibu chama la mapacha... πTeam jf usiku wa manane, njooni mumpongeze mlinzi mwenzenu Bantu Lady, Johnnie Walker, Dahan, Mzee wa kupambania, Ms eyes, trudie, Kanali G, Santos06, Poor Brain,
Note π nadhani hi ni wiki ya baraka kwa team jf usiku wa manane, kwani ndugu zetu watatu
π trudie
π Mr kenice
π National Anthem
Wote wamefanikiwa kupata watoto.
πI mean no malice to nobody, Sera zetu π Panga mkononi
πRoho begani
Ngoja niache uvivu ahahahahaAmebaki sasa mdogo wetu Johnnie Walker
Ongera sana kwake National AnthemTeam jf usiku wa manane, njooni mumpongeze mlinzi mwenzenu Bantu Lady, Johnnie Walker, Dahan, Mzee wa kupambania, Ms eyes, trudie, Kanali G, Santos06, Poor Brain,
Note π nadhani hi ni wiki ya baraka kwa team jf usiku wa manane, kwani ndugu zetu watatu
π trudie
π Mr kenice
π National Anthem
Wote wamefanikiwa kupata watoto.
πI mean no malice to nobody, Sera zetu π Panga mkononi
πRoho begani
Kwamba ukiwa na mke ndio unatolewa nje mkuu? Una gundu?Hongera zake sana ingawa kuna hii footage inamhusu
View attachment 2605166
Wanamtolea nje kwa ssbabu kumbe wanajua ana mke tayari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sihitaji zawadi yakooo plz.we lazima nikupe zawadi upoke usipoke shauri yako
Bado Johnnie Walker muunguza mayaiππ. I mean no malice to nobodyHongera kwake bro National Anthem... πππ...,,, Karibu chama la mapacha... π
Asante ππ, kwa niaba yakeHongera kwake
Asante ππ, kwa niaba yakeBwana National Anthem hongera, mashuti ya mbali hayo mkuuππ
Asante ππ, kwa niaba yakeOngera sana kwake National Anthem
I mean no malice to nobody, hata we ukipata niambie nikusapraiziππNilitaka kusema mkunga wa wodi ya wazazi[emoji23]
Asante ππ, kwa niaba yakeKaribu Ulimwengu wa Mapacha Baba Wawili..
National Anthem