Pongezi mwanaJF "National Anthem, kwa kupata watoto mapacha

Congratulations ๐ŸŽ‰๐Ÿ‘๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰ kwake #ASAP
Mm pia soon ๐Ÿ”œ๐Ÿ”œ mwakani ntakupa mrejesho inshallah.....na Mimi uni post...
๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜„๐Ÿค“๐Ÿค“
I pray for you, na nitapost๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚. I mean no malice to nobody
 
Asante sana mkuu. Shukrani kwa kujali. Nilee sasa
 
Kwa unataka kusema nn mpendwa wetu
Jf ni ulimwengu mwingine, mfano wewe roho yako ikienda sayari nyingine yenye viumbe kama aliens halafu roho yako ikafanyika au kutokea katika namna ya mwili kama wao basi huo mwili utaitwa avatar, thats your avatar.

Hivyo hapa jf ni ulimwengu mwingine, mtu anaweza akaamka asubuhi akaandika post Nataka nijiue mke wangu kaninyima unyumba, kumbe yuko kwenye dark room anawasikilizia aki enjoy comments zenu.

NB: Its not a guarantee kila andiko halina uhalisia.
 
Watu mnaochukulia mambo siriaz humu mnachekesha sana!
Yanii mtu iwe kadanganya au ni kweli wee unaumia nini sasa ?? Don't takes things so serious wakuu kufatiliana mambo ya kishoga hayoo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ