Amepewa Probation kwanza akifuzu kombe la shirikisho ndio anaolewa 🤣🤣🤣Hongera zake, amejifungua kwa operation au kawaida? Je ameolewa au ndio sogea tukae? Aheshimu mwanaume, hatutaki baadae aje kuwa single mother
Mwendo ni ule ule watoto wanalelewa kikamanda 😀Amen. Mkuu nitawale kijeda jedaa hakuna kuleana kimayai mayai
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi ili uzae mapacha inatakiwa utumie style gani¿?[emoji22]
Maana mimi nimejaribu hadi style ya Gwajima anafufua[emoji23] lakini bado ubao unasoma 0-0
Intelligent businessman sorry na hongera kwa habari ya kweliMkuu ni kweli, wapo baadhi ya member wanajua mie binafsi na hata kuhusu hili. Sio utani
Hongera zake tunasubiri good bews pia kutoka kwako😘😘💃💃💃
Tufanye koloba mpendwa😂Hongera zake tunasubiri good bews pia kutoka kwako😘😘💃💃💃
Hongera sana kwake National Anthem Mungu akukuzie mapacha wako. Mr kenice hongera sana mkuu.Kwako ndugu na Kaka yangu National Anthem, Tumekuwa marafiki wa muda mrefu katika dunia hii ya Kufikirika.
Furaha yako imekuwa furaha yangu pia, nichukue fursa hii kukupongeza wewe na mkeo kwa kufanikiwa kupata watoto mapacha siku ya jana[emoji7][emoji7].
Kheri ikawe kwenu na kwa familia yenu, nawa ahidi sitokuja kula sana endapo Nita alikwa [emoji23]
[emoji38].
[emoji117]note: nadhani hi ni wiki ya baraka kwa team jf usiku wa manane, kwani ndugu zetu watatu trudie, Mr kenice na national anthem wamepata watoto.
[emoji117] I mean no malice to nobody, Sera zetu [emoji117] Panga mkononi
[emoji117]Roho begani
View attachment 2605160
[emoji117]Picha haihusiani na taarifa.
[emoji1]Mpe Hongera.
Mwambie Mamndenyi anatafuta kazi ya uyaya
Msajili wa vizazi- jf [emoji16]
Leo amekuwa aunt?😂National Anthem hongera sana aunt yangu
we dogo unajifungua lini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
nami nasubiria majibu😍Hivi ili uzae mapacha inatakiwa utumie style gani¿?[emoji22]
Maana mimi nimejaribu hadi style ya Gwajima anafufua[emoji23] lakini bado ubao unasoma 0-0