Popote alipo namtafuta Mzee Jakaya Kikwete aweke neno kuhusu haya

It's not wise to catch a falling knife, let it settle first then u'll pick it up.
 
Ndo naana amenyamaza ili wewe mwenye akili unateweza kukngea cha maana uongee; mwaga points mkuu watanzania tunakusikiliza!!!
vyote vilishasemwa marudio ya nini na ndio mana nasema huyo mzee wenu hatakuwa na jipya

nimependa hapo uliponiambia le genius 😄
 
Yaani hapa nazidi kudhihirisha how our minds work. When it's facing the reality ipo radhi ikwepane na ukweli na kutafuta how to escape. Na Kama ukweli umeingia Kuna emotions pains so inaharibu ku respond kwa revenge,matusi,kunl dis approve , statement Ile ambayo unampatia ukweli subconscious. Yaani conscious mind is the slave of subconscious mind
 
Rudi shule kilaza ww, eti "FAIL"
 
M
Mkuu sijakuelewa vizuri, mimi na wenzangu wengi tulikwepa umande mkuu, namtafuta mzee wangu JAKAYA MRISHO KIKWETE, ( RAIS MTAAFU POPOTE ALIPO TAFADHALI)
 
Sikwenda shule mkuu so nitarudi shule jifunza nini? Hivi mimi kumtaka nimuone Rais wangu mstaafu popote alipo ni kosa ? Sikia mie sio wa matusi , ila kuwa makini pitia hii jf unapigwa na ndani ya mwaka mmoja unakua wa kuulizana , 47 mbatizaji ni mjinga mtaani ila Mungu anamtumia apendavyo ,sio mchungaji ,hana kanisa so nakuonya kwa mara ya kwanza
 
Aisee hana lolote huyo..wote wauza nchi..gasi yetu ipo wap...kama ule mpango wake ulikuwa na manufaa kwa watanzania mbona gasi zimepanda sana mtaani zaidi kuliko hata kabla ya huo mapango wake wakitapeli kama huu wa bandari.

Hawa watu ni waswahili hawana uwezo wa kusimamia mambo..ni wauza nchi
 
vyote vilishasemwa marudio ya nini na ndio mana nasema huyo mzee wenu hatakuwa na jipya

nimependa hapo uliponiambia le genius 😄
Yeah, wathibitishie walio bado kuamini ugenius wako kwa kumwaga points za maana na tija kwa taifa badala ya kumjadili mtu.......

Kam ni marudio sasa mnamtaka aseme nn?!!!!!!
 
Acha utoto dogo fanya Mambo yako hv huko kwenu hasa kijijini hakuna umaskini uliotopea ukaujadili mpaka utake kujua maoni ya jk kwenye issue ya bandari?
 
Acha utoto dogo fanya Mambo yako hv huko kwenu hasa kijijini hakuna umaskini uliotopea ukaujadili mpaka utake kujua maoni ya jk kwenye issue ya bandari?
Vipi ukikuta umri wangu nakuzaa, na yapo makinda yangu yanakuzidi umri ,pesa nk , msipende kuwa wapumbavu kwani mada yangu ina lipi la ajabu uje na mazarau au matusi ,pumbavu sana , nimekwambia nakutafuta wewe, mama salma kikwete ,Ridhiwani kikwete ,?

Nimepotelewa ana aliekua Rais wangu Jmt mzee Jakaya Mrisho kikwete , so tekeleza msemo wa aliekua mkuu wa wilaya IRINGA ,PUMBAVU
 
Bandari ni suala la kawaida ti ambalo limekuzwa na wapuuzi
 
Sina mengi, nawasalimu wote wana JF kupitia jina kuu kila mmoja kwa imani yake

Kichwa tajwa chajieleza...
Hivi nyie ndugu zangu jf why mnafanya hivi , jamani hata kama ni kurekebisha uzi why mkate maneno ya mtoa mada ?

Uzi wangu nilimaliza kwa kusema
Mwisho
Asipojitokeza nitaenda fungua fail na why nibadilishia kichwa cha habari hii sio sawa, nalipenda jukwaa lenu ila hii sio haki mmenitendea
 
Endelea kujifunza.....[emoji1787][emoji1787]

Ulimuona wapi mh.Rais Kikwete akijitokeza kuongelea ule mkataba wetu wa serikali ya awamu ya 5 na YERPI MERKEZ kutoka uturuki kwa ajili ya ujenzi wa SGR?...
Mikataba ya ujenzi wa miundombinu miundombinu mipya inataka kufananisha na mikataba ya uuzwaji wa rasilimali bandari!!? Poor mind!
 
Bora huyo kuliko ambaye kasema anaziba masikio asisikie maoni ya raia. Yeye anafanya tu, mtake msitake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…