It's not wise to catch a falling knife, let it settle first then u'll pick it up.Jakaya ni Mwanasiasa bobezi
hata wakati wake hakuwa anaongelea mambo yakiwa ya moto …anasubiri yamepoa then a achagua upande kwa busara sio kwa mihemko
wakati Waandishi wanamsubiri aongelee ya Escrow wakashangaa a anaongelea ya Tezi dume
sasa hivi yupo na Awesu ana ratibu Mkutano wa masuala ya maji Duniani
wakati wa Richmond akawa anaongelea ya Sinema ya Mapanki
Yule Mzee amekwepa mishale mingi sana kwa style hii
la Mkataba atakuja tu kuliongelea baadae sana kama vile alivyoongelea la Babu wa Loliondo wakati wa Katiba mpya
vyote vilishasemwa marudio ya nini na ndio mana nasema huyo mzee wenu hatakuwa na jipyaNdo naana amenyamaza ili wewe mwenye akili unateweza kukngea cha maana uongee; mwaga points mkuu watanzania tunakusikiliza!!!
😂😂😂😂😆😅Kama ndo ilivyo vipi mimi ambae ni kabwela si atasema kibaka uyo kaja
Yaani hapa nazidi kudhihirisha how our minds work. When it's facing the reality ipo radhi ikwepane na ukweli na kutafuta how to escape. Na Kama ukweli umeingia Kuna emotions pains so inaharibu ku respond kwa revenge,matusi,kunl dis approve , statement Ile ambayo unampatia ukweli subconscious. Yaani conscious mind is the slave of subconscious mindMkuu bandari ni swala la kitaifa na muhim ila pia swala la mzee Kikwete kumtafuta alipo kama Mwananchi ni haki yangu,
Mzee popote ulipo jitokeze Nakutafuta , hata pitia vyombo vya habari ,sina vigezo hata vya kukanyaga hata nje ya mji wako ila kama Uliekua rais wangu kwa miaka 10 nakutafuta
Mimi namtafuta mtu ambae amekua kiongozi wangu mkuu wa nchi kwa miaka kumi ,na hoja sijamuona mda mrefu , sasa kebehi zako za nini katika uzi huu, tueshimiane
Rudi shule kilaza ww, eti "FAIL"Mzee Mwinyi alisha sema amezeeka sana , na wakati mwingine anasema moja ya watoto wake wakimtembelea ,akiambiwa mwanao flani amefika kukusalimia ,humuhuliza bibi mkubwa kwamba ivi aliekuja ndo nani vile? ( ni maneno yake mwenyewe mzee)
Kama ndo ilivyo vipi mimi ambae ni kabwela si atasema kibaka uyo kaja
Namtafuta MZEE KIKWETE AJITOKEZE VINGINEVYO NITAFUNGUA FAIL POLICE LA KUPOTELEWA NA MZEE KIKWETE( RAIS MSTAAFU WA JMT)
Mkuu sijakuelewa vizuri, mimi na wenzangu wengi tulikwepa umande mkuu, namtafuta mzee wangu JAKAYA MRISHO KIKWETE, ( RAIS MTAAFU POPOTE ALIPO TAFADHALI)Yaani hapa nazidi kudhihirisha how our minds work. When it's facing the reality ipo radhi ikwepane na ukweli na kutafuta how to escape. Na Kama ukweli umeingia Kuna emotions pains so inaharibu ku respond kwa revenge,matusi,kunl dis approve , statement Ile ambayo unampatia ukweli subconscious. Yaani conscious mind is the slave of subconscious mind
Rudi shule kilaza ww, eti "FAIL"
Vuta subiraYuko wapi? Au ndo nikafungue fail police
Namtafuta mkuu , Rais wangu mstaafu, kupitia RB ya jf ikishindika naenda police fungua jaradaVuta subira
Yeah, wathibitishie walio bado kuamini ugenius wako kwa kumwaga points za maana na tija kwa taifa badala ya kumjadili mtu.......vyote vilishasemwa marudio ya nini na ndio mana nasema huyo mzee wenu hatakuwa na jipya
nimependa hapo uliponiambia le genius 😄
Acha utoto dogo fanya Mambo yako hv huko kwenu hasa kijijini hakuna umaskini uliotopea ukaujadili mpaka utake kujua maoni ya jk kwenye issue ya bandari?Jikite kwenye mada , kwangu nimetangaza potewa na rais wangu mstaafu Mzee JAKAYA KIKWETE NATAKA AJITOKEZE BASI ,SASA SHIDA NINI TENA, Huyu Sio mali ya familia yake bali ni mali ya Watz wote ndo maana anaendelea humiwa pitia kodi yangu ,wewe, na watz wengine kwa umoja wetu
Kosa ni nini hapa
Vipi ukikuta umri wangu nakuzaa, na yapo makinda yangu yanakuzidi umri ,pesa nk , msipende kuwa wapumbavu kwani mada yangu ina lipi la ajabu uje na mazarau au matusi ,pumbavu sana , nimekwambia nakutafuta wewe, mama salma kikwete ,Ridhiwani kikwete ,?Acha utoto dogo fanya Mambo yako hv huko kwenu hasa kijijini hakuna umaskini uliotopea ukaujadili mpaka utake kujua maoni ya jk kwenye issue ya bandari?
Bandari ni suala la kawaida ti ambalo limekuzwa na wapuuziMkuu bandari ni swala la kitaifa na muhim ila pia swala la mzee Kikwete kumtafuta alipo kama Mwananchi ni haki yangu,
Mzee popote ulipo jitokeze Nakutafuta , hata pitia vyombo vya habari ,sina vigezo hata vya kukanyaga hata nje ya mji wako ila kama Uliekua rais wangu kwa miaka 10 nakutafuta
Mimi namtafuta mtu ambae amekua kiongozi wangu mkuu wa nchi kwa miaka kumi ,na hoja sijamuona mda mrefu , sasa kebehi zako za nini katika uzi huu, tueshimiane
Wewe ni YUDA wa nyakati za sasaBandari ni suala la kawaida ti ambalo limekuzwa na wapuuzi
Hivi nyie ndugu zangu jf why mnafanya hivi , jamani hata kama ni kurekebisha uzi why mkate maneno ya mtoa mada ?Sina mengi, nawasalimu wote wana JF kupitia jina kuu kila mmoja kwa imani yake
Kichwa tajwa chajieleza...
Mikataba ya ujenzi wa miundombinu miundombinu mipya inataka kufananisha na mikataba ya uuzwaji wa rasilimali bandari!!? Poor mind!Endelea kujifunza.....[emoji1787][emoji1787]
Ulimuona wapi mh.Rais Kikwete akijitokeza kuongelea ule mkataba wetu wa serikali ya awamu ya 5 na YERPI MERKEZ kutoka uturuki kwa ajili ya ujenzi wa SGR?...
Hivi polepole yupo wapiSina mengi, nawasalimu wote wana JF kupitia jina kuu kila mmoja kwa imani yake
Kichwa tajwa chajieleza...