Popote alipo namtafuta Mzee Jakaya Kikwete aweke neno kuhusu haya

Popote alipo namtafuta Mzee Jakaya Kikwete aweke neno kuhusu haya

Jakaya ni Mwanasiasa bobezi

hata wakati wake hakuwa anaongelea mambo yakiwa ya moto …anasubiri yamepoa then a achagua upande kwa busara sio kwa mihemko

wakati Waandishi wanamsubiri aongelee ya Escrow wakashangaa a anaongelea ya Tezi dume

sasa hivi yupo na Awesu ana ratibu Mkutano wa masuala ya maji Duniani

wakati wa Richmond akawa anaongelea ya Sinema ya Mapanki

Yule Mzee amekwepa mishale mingi sana kwa style hii

la Mkataba atakuja tu kuliongelea baadae sana kama vile alivyoongelea la Babu wa Loliondo wakati wa Katiba mpya
It's not wise to catch a falling knife, let it settle first then u'll pick it up.
 
Ndo naana amenyamaza ili wewe mwenye akili unateweza kukngea cha maana uongee; mwaga points mkuu watanzania tunakusikiliza!!!
vyote vilishasemwa marudio ya nini na ndio mana nasema huyo mzee wenu hatakuwa na jipya

nimependa hapo uliponiambia le genius 😄
 
Mkuu bandari ni swala la kitaifa na muhim ila pia swala la mzee Kikwete kumtafuta alipo kama Mwananchi ni haki yangu,
Mzee popote ulipo jitokeze Nakutafuta , hata pitia vyombo vya habari ,sina vigezo hata vya kukanyaga hata nje ya mji wako ila kama Uliekua rais wangu kwa miaka 10 nakutafuta

Mimi namtafuta mtu ambae amekua kiongozi wangu mkuu wa nchi kwa miaka kumi ,na hoja sijamuona mda mrefu , sasa kebehi zako za nini katika uzi huu, tueshimiane
Yaani hapa nazidi kudhihirisha how our minds work. When it's facing the reality ipo radhi ikwepane na ukweli na kutafuta how to escape. Na Kama ukweli umeingia Kuna emotions pains so inaharibu ku respond kwa revenge,matusi,kunl dis approve , statement Ile ambayo unampatia ukweli subconscious. Yaani conscious mind is the slave of subconscious mind
 
Mzee Mwinyi alisha sema amezeeka sana , na wakati mwingine anasema moja ya watoto wake wakimtembelea ,akiambiwa mwanao flani amefika kukusalimia ,humuhuliza bibi mkubwa kwamba ivi aliekuja ndo nani vile? ( ni maneno yake mwenyewe mzee)

Kama ndo ilivyo vipi mimi ambae ni kabwela si atasema kibaka uyo kaja

Namtafuta MZEE KIKWETE AJITOKEZE VINGINEVYO NITAFUNGUA FAIL POLICE LA KUPOTELEWA NA MZEE KIKWETE( RAIS MSTAAFU WA JMT)
Rudi shule kilaza ww, eti "FAIL"
 
M
Yaani hapa nazidi kudhihirisha how our minds work. When it's facing the reality ipo radhi ikwepane na ukweli na kutafuta how to escape. Na Kama ukweli umeingia Kuna emotions pains so inaharibu ku respond kwa revenge,matusi,kunl dis approve , statement Ile ambayo unampatia ukweli subconscious. Yaani conscious mind is the slave of subconscious mind
Mkuu sijakuelewa vizuri, mimi na wenzangu wengi tulikwepa umande mkuu, namtafuta mzee wangu JAKAYA MRISHO KIKWETE, ( RAIS MTAAFU POPOTE ALIPO TAFADHALI)
 
Sikwenda shule mkuu so nitarudi shule jifunza nini? Hivi mimi kumtaka nimuone Rais wangu mstaafu popote alipo ni kosa ? Sikia mie sio wa matusi , ila kuwa makini pitia hii jf unapigwa na ndani ya mwaka mmoja unakua wa kuulizana , 47 mbatizaji ni mjinga mtaani ila Mungu anamtumia apendavyo ,sio mchungaji ,hana kanisa so nakuonya kwa mara ya kwanza
 
Aisee hana lolote huyo..wote wauza nchi..gasi yetu ipo wap...kama ule mpango wake ulikuwa na manufaa kwa watanzania mbona gasi zimepanda sana mtaani zaidi kuliko hata kabla ya huo mapango wake wakitapeli kama huu wa bandari.

Hawa watu ni waswahili hawana uwezo wa kusimamia mambo..ni wauza nchi
 
vyote vilishasemwa marudio ya nini na ndio mana nasema huyo mzee wenu hatakuwa na jipya

nimependa hapo uliponiambia le genius 😄
Yeah, wathibitishie walio bado kuamini ugenius wako kwa kumwaga points za maana na tija kwa taifa badala ya kumjadili mtu.......

Kam ni marudio sasa mnamtaka aseme nn?!!!!!!
 
Jikite kwenye mada , kwangu nimetangaza potewa na rais wangu mstaafu Mzee JAKAYA KIKWETE NATAKA AJITOKEZE BASI ,SASA SHIDA NINI TENA, Huyu Sio mali ya familia yake bali ni mali ya Watz wote ndo maana anaendelea humiwa pitia kodi yangu ,wewe, na watz wengine kwa umoja wetu

Kosa ni nini hapa
Acha utoto dogo fanya Mambo yako hv huko kwenu hasa kijijini hakuna umaskini uliotopea ukaujadili mpaka utake kujua maoni ya jk kwenye issue ya bandari?
 
Acha utoto dogo fanya Mambo yako hv huko kwenu hasa kijijini hakuna umaskini uliotopea ukaujadili mpaka utake kujua maoni ya jk kwenye issue ya bandari?
Vipi ukikuta umri wangu nakuzaa, na yapo makinda yangu yanakuzidi umri ,pesa nk , msipende kuwa wapumbavu kwani mada yangu ina lipi la ajabu uje na mazarau au matusi ,pumbavu sana , nimekwambia nakutafuta wewe, mama salma kikwete ,Ridhiwani kikwete ,?

Nimepotelewa ana aliekua Rais wangu Jmt mzee Jakaya Mrisho kikwete , so tekeleza msemo wa aliekua mkuu wa wilaya IRINGA ,PUMBAVU
 
Mkuu bandari ni swala la kitaifa na muhim ila pia swala la mzee Kikwete kumtafuta alipo kama Mwananchi ni haki yangu,
Mzee popote ulipo jitokeze Nakutafuta , hata pitia vyombo vya habari ,sina vigezo hata vya kukanyaga hata nje ya mji wako ila kama Uliekua rais wangu kwa miaka 10 nakutafuta

Mimi namtafuta mtu ambae amekua kiongozi wangu mkuu wa nchi kwa miaka kumi ,na hoja sijamuona mda mrefu , sasa kebehi zako za nini katika uzi huu, tueshimiane
Bandari ni suala la kawaida ti ambalo limekuzwa na wapuuzi
 
Sina mengi, nawasalimu wote wana JF kupitia jina kuu kila mmoja kwa imani yake

Kichwa tajwa chajieleza...
Hivi nyie ndugu zangu jf why mnafanya hivi , jamani hata kama ni kurekebisha uzi why mkate maneno ya mtoa mada ?

Uzi wangu nilimaliza kwa kusema
Mwisho
Asipojitokeza nitaenda fungua fail na why nibadilishia kichwa cha habari hii sio sawa, nalipenda jukwaa lenu ila hii sio haki mmenitendea
 
Endelea kujifunza.....[emoji1787][emoji1787]

Ulimuona wapi mh.Rais Kikwete akijitokeza kuongelea ule mkataba wetu wa serikali ya awamu ya 5 na YERPI MERKEZ kutoka uturuki kwa ajili ya ujenzi wa SGR?...
Mikataba ya ujenzi wa miundombinu miundombinu mipya inataka kufananisha na mikataba ya uuzwaji wa rasilimali bandari!!? Poor mind!
 
Bora huyo kuliko ambaye kasema anaziba masikio asisikie maoni ya raia. Yeye anafanya tu, mtake msitake.
 
Back
Top Bottom