Population ya Dubai ni milioni 3.5M na Tanzania ni milioni 63, ina maana hakuna kabisa watu wa ku-design Bandari?



Tanzania hakuna wasomi wa kusimamia mambo kama hayo na inchi ikapata faida

Tanzania kuna wasomi wa kukwambia ujui kuongea kingereza, au umevaa tai ya njano na Leo ni ijumaa

Wasomi wetu ni wa makaratasi zaidi, ukiwapa site hakuna kitu


Ile bandari pale wenye viti wa bod ni wasomi ila ndio hao hao kila siku vikao ni Singapore
 
Wewe na hao waliokupa like wote ni mb waaa,, huezi kutukana kabila za watu na kujiona bora zaid...kunguni mmoja ww
 


Wenzetu Watanganyika washalitumbua jipu, sasa ni zamu yetu Wazanzibari kuukamua usaha mpaka tuufikie moyo wake na kuliponya moja kwa moja jeraha.
Ingefaa tuwaulize wenzetu, kama wao wameumia mno kwa kuona uhuru na rasilimali zao zimeingia hatarini kwa mkataba mmoja TU wa bandari, wanadhani wametuumiza kwa kiasi gani sisi wenzao kwa miaka 60 yote hii tangu walipoupora uhuru na mamlaka yetu YOTE na kutudumaza kiustawi kwa kutufungia njia kuu za kiuchumi.

Wanaumia kuona Mzanzibari anakuwa rais wa Tanzania hata kama ni kisheria na kikatiba, wakati wao wamejipa mamlaka ya kimabavu, kwa miaka yote hii ya kutupangia nani atuongoze Wazanzibari na kwa mipaka gani ya mamlaka!

Tuwathibitishie kwamba iwe iwavyo, sasa tumeshabaini bila chembe ya shaka, kwa yaliyotoka kwenye ndimi zao, kwamba wana chuki kubwa dhidi ya Uarabu na Uislamu na kwamba chuki hizo ndizo zilizochangia pia kutubana tusifurukute ndani ya 'muungano'; na ndio maana kina Lukuvi na Sitta hawakuulizwa chochote na yeyote waliponena waliyoyanena dhidi ya Uarabu na Uislamu, kwa sababu waliwasilisha na kuwakilisha mtazamo rasmi wa Tanganyika kuhusiana na Wazanzibari katika muungano.

Na kwa hapa tulipofika tukubaliane kwamba, kama ni kuuendeleza muungano, basi hakuna mbadala mwingine wa mahusiano yetu ya kisiasa na Watanganyika isipokuwa kufuta kwanza jina Tanzania na kurudi kwenye Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kuamua ama kuwa na muungano wa mkataba au wa serikali tatu. Ghairi ya hivyo ni kila nchi kurudi kwenye asili yake ya taifa na nchi kamili
 
Kabisa mkuu Yani sisi ni kama ma ng'ombe yanayo swagwa wala hayajui yanapo pelekwa.
Pana muda nikiwaangalia hao Wanyama kama Simba au Tembo wana akili kuliko Watanzania haiwezekani tunawekewa kiwango kikubwa cha Tozo huku Mali zetu wakipewa Wajinga tuu wa Nje harafu tupo kimya na kubaki kujisifia ma degree ya uongo tuu inaumiza sana...
 
Tatizo sugu liko hapa👇👇👇


Unateua Machawa, wanaokutukuza, watoto wa vigogo na waliokusaidia kwenye kampeni.

Mambo yanaenda mrama.

Bado hujui kwanini hatupigi hatua Kama nchi??!!

Unaona suluhisho ili kupata matokeo ni kubinafsisha kila kitu, right?

Hivi, ni kweli hatujui ni kwanini hatuendi mbele??!!
 
nimecheka sana hapa nilipo aisee mpaka nimepaliwa na kahawa.

3.5mil population vs 63mil.
ratio hapo ni kama 18:1 yaani mwarabu mmoja wa dubai ni sawa na watanzania 18.

Tunaweza kusema mabogus 63mil hawana akili kabisa ya kuendesha bandari miaka yote toka uhuru mpaka wasaidiwe.
 
Robert Heriel once said

Akili ni muhimu kuliko kuwa na resources nying ambazo huna akili ya kuzitumia"
 
Narudia kila siku kusema, Watanzania ni watu wasiojua nini wanataka, kije wakati gani na kiwafanyie nini. Na bado
 
Mbona umewaacha wapiga nyeto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…