POSTPONED (PP): Yanga SC VS Simba SC | Ligi Kuu NBC | Benjamin Mkapa Stadium | 08.03.2025

Mliopo taifa vipi watu wameshaanza kuingia uwanjani su ndio mechi haipo
 
Kipigwe
 

Attachments

  • Screenshot_20250308-111733.png
    684.9 KB · Views: 2
Kama simba hawatapeleka timu uwanjani si washushe dalaja, ili iwe fundisho kwa wengine na heshima kwa ligi yetu.?
 
Rudia kusoma maandiko yako ujione ulivyo mjinga
Timu yenyewe haina hata uwanja, inataka kitu cha watu kiwe kama chake, si ajenge kama ni rahisi awe anapigia mazoezi, yake adhubutu, kufanya ujinga wake ataona??
 
mechi imekua na tabia za kidemu (last born)

sitaki na taka
 
Huwa huniangushi, sasa nakupa siri za simu za bwana shemeji maana inaelekea kupona leo πŸ˜… πŸ˜…
Kaza moyo maana kuna nyumba tisa amejenga sijui unajuaa siri ya kwanza hiyo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…