Power Mabula: Mtu aliyetikisa enzi zake!


Hahhaha Sahihi kabisa. Yani mwalimu wa zamu kabla hajatangaza uwepo wa huyu bwana taarifa zilikua zishatufikia siku nyingi .
 
Na Namkumbuka,,😂😂
 
Namkumbuka sana huyu jamaa kwani alivuma sana miaka ile.
aliokoka miaka ya 95/96 na alikuwa anapita kuhubiri na kuelezea namna alivyokuwa anatumia nguvu za giza kufanikisha mambo yake.
hadi sasa bado yupo kwenye wokovu.
Jina la Bwana lihimidiwe.
Alifariki last year



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah, nimesikitika sana hakuna pic ha hao mapawa hada ya pawa mabula nashukuru kwa iliyopo japo surahaionekani. Kina wanmieleka walikua wamevimba balaa, pic ha zao zilikua zinachapishwa kwenye magazeti sambamba na kumbi za sinema nakumbuka kwenye gazeti la Uhuru, Mzalendo na Mfanyakazi
 
Huyu sio mchawi Juma wa Morogoro kweli?
 
hivi mzee morris nyunyusa bado yupo?alikuwa na issue ya kufuatilia copy right ya ule wimbo wake wa ngoma za taarifa ya habari sijui iliishia wapi. inasikitisha,inanifanya niwaze 30, 40 yrs to come nitakuwa wapi!

Ushakata 8 years, umeshajiona uko wapi?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
hivi mzee morris nyunyusa bado yupo?alikuwa na issue ya kufuatilia copy right ya ule wimbo wake wa ngoma za taarifa ya habari sijui iliishia wapi. inasikitisha,inanifanya niwaze 30, 40 yrs to come nitakuwa wapi!
Tuseme hupajui utakapokuwepo? Au unajitoa ufahamu tu?
 
Una uhakika unachogusa ni kichwa?
Usikate tamaa mkuu, anza kwa kuhesabu baraka zako (una afya njema, familia na marafiki wanaokujali na kukupenda, una akili timamu, uko huru, una mahali pa kulala). Halafu pigana kuibadili kesho yako. Yaani pambana ya ela yote mazee!
Mie tofauti mkuu, ni kama vile niliahidiwa kunyolewa kiduku lakini kila nikishika kichwa sigusi hata kipisi cha unywele,


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ngoja nikomae maana wa mwisho ndio mshindi.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sijui kama bado yupo hai yule Mzee, nimekumbuka enzi za shule na entertainment tofauti za wakati huo zilizokua zikiletwa shule
Nini ilikua Siri ya nguvu za mzee yule? Sijamsikia kitambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…