Killmonger
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 2,021
- 2,242
kweli mtu kama power mabula-those days alihit sana-kama kuna mwenye picha yake japo atuwekee hapa tumuone tena
nakumbuka kulikuwa na nyimbo zake kama............mabula yeeee.....nyie MNAJIBU ...yeeeee......*4-
alikuwa akifika shuleni-hiyo siku vipindi vyote vinakufa-hakuna kinachofanyika tena.....ni kuchek shoo tu
Hahhaha Sahihi kabisa. Yani mwalimu wa zamu kabla hajatangaza uwepo wa huyu bwana taarifa zilikua zishatufikia siku nyingi .