Precision Air yafuta Safari zote za kwenda Kenya licha ya Kenya kuruhusu Safari zake

Precision Air yafuta Safari zote za kwenda Kenya licha ya Kenya kuruhusu Safari zake

Tunaziba chocho zote za angani,tukitoka huko tunahamia ardhini,work permit kwa mungiki yoyote nataka iwe usd 5000,kama hana hiyo pesa kwao,yan mpaka wanyooke
PW wamestuka maana wangejidai kimbelembele wangepigwa nao pin ibaki Bombardier inatamba peke Yake nchi nzima. Hakika wamevuka mtego wa Mahindi kwenye sufuria
 
Sio tu kuvaa kata mbuga nimezaliwa uchi bila hata kata mbuga.
Wewe uliyezaliwa na suti nakushangaa umejaa ujinga huu.

vita havijaanza apa bro, hivi ni vita vya tangia 2014, na wakenya ndo walianza, kumekua na mazungumzo mengi lakini hakuna usuluhisho umepatikana, mfano wale madereva wanaopita kwenda kenya haiwezekani wewe kila ukienda ruti moja urudi ufanyiwe kipimo, yawezekana hujui kipimo kikoje, pale usipotoka dam ikaingia kwenye mapafu basi lazima ubaki na kovu kwenye mrija wa chakula kile kipimo kinauma asikwambie mtu, sasa sisi hatutaki na kiubindam huwezi kumfanyia mtu ivi because at the end of the day atakufa

-back kwenye mada, nmekwmbia hii vita haijaanza leo, wkumbuka tushaibiwa mpaka mlima? kama hukumbuki basi huezi elewa hii battle inaondelea,
-pia ikumbuke Tanzania ni corona free nation. lakini ukienda lazima ukae quarantine of which ni upuuzi at the same time mchina akitua kenya haendi quarantine

are you trying to get the concept? china ugonjwa ulipoanzia no quarantine, corona free country quarantine: same time sisi tumewaruhusu wafanye safari zao kama kawaida and yet wana corona! hope unaelewa
 
vita havijaanza apa bro, hivi ni vita vya tangia 2014, na wakenya ndo walianza, kumekua na mazungumzo mengi lakini hakuna usuluhisho umepatikana, mfano wale madereva wanaopita kwenda kenya haiwezekani wewe kila ukienda ruti moja urudi ufanyiwe kipimo, yawezekana hujui kipimo kikoje, pale usipotoka dam ikaingia kwenye mapafu basi lazima ubaki na kovu kwenye mrija wa chakula kile kipimo kinauma asikwambie mtu, sasa sisi hawataki na kiubindam huwezi kumfanyia mtu ivi because at the end of the day atakufa

-back kwenye mada, nmekwmbia hii vita haijaanza leo, wkumbuka tushaibiwa mpaka mlima? kama hukumbuki basi huezi elewa hii battle inaondelea
Nakuelewa sana.
Maneno yangu ni machache tu.
"Nchi zetu ni changa viongozi walijue hili kuwa tunapaswa kuishi kwa upendo sababu tunahitajiana kibiashara na kijamii"
 
Kama kweli abiria walikuepo mbona Sasa precision airline wasichukue hao abiria ili shughuli zao ziendelee? Inakuaje precision airline wanaachiwa ruti lakini pia wanakosa abiria?.


precision air ni shirika linamilikiwa na kenya airwarys ila lnafanya kazi tanzania, jiulize kwann wamekuja tanzania instead kufanya kenya
 
Nakuelewa sana.
Maneno yangu ni machache tu.
"Nchi zetu ni changa viongozi walijue hili kuwa tunapaswa kuishi kwa upendo sababu tunahitajiana kibiashara na kijamii"


sasa hii ndo pointi ila sasa bado kunakua hakuna uwelewano kati yetu, haiwezekani tanzania ikae quarantine ni corona free wakati china ilipoanzia corona hawakai quarantine, wewe just fikiria utaona something is wrong
 
sasa hii ndo pointi ila sasa bado kunakua hakuna uwelewano kati yetu, haiwezekani tanzania ikae quarantine ni corona free wakati china ilipoanzia corona hawakai quarantine, wewe just fikiria utaona something is wrong
Wameshaondoa kikwazo hicho mbona?
 
Unachekelea abiria kukosekana? Unadhani muathirika namba moja kwenye hili ni Kenya?
Nchi hii ina matatizo makubwa kuliko tunavyofikiri.
Total nao wametangaza kuuza assets zao zilizopo Tanzania. Kenya kwao (Total) ni upstream market.
Shangilia na hilo pia.
Kuna biashara nzuri kama ya mafuta? Na wewe kwa akili yako unafikiri serikali itashtuka? Kuna mamilioni ya companies kama total yanamezea mate soko la mafuta Tanzania

Tena saivi Tanzania tuna company ya serikali ya kuuza mafuta na inakuja kwa kasi mbaya, wameshafungua filling stations kama 20 tayari
 
Major Airlines Increase Flight Trips to Dar

By Edward Q Orro in Arusha

TANZANIA'S resilience to the novel Coronavirus disease is now paying off after three major airlines increased their flight frequencies to the country.

Ethiopian Airlines becomes the first among the three, to increase its frequency to 14 flights a week, from the initial four landing and departures from Tanzania.

The bold move by the Ethiopia's flag carrier is necessitated by Tanzania's decision of opening its skies in June this year and the high demand of air travel in the country.

"Thanks to the government's efforts of containing the deadly virus, some of the major airlines are now increasing their routes at all major airports in the country," revealed the elated Kilimanjaro Airports Development Company (KADCO) Acting Managing Director Christine Mwakatobe, while receiving an Ethiopian Airline Dreamliner, christened ET- ATJ at the Kilimanjaro International Airport (KIA).

Other major airlines that will be following a similar suit, according to Ms Mwakatobe include the KLM Royal Dutch Airlines, which added a number of its flights from one to four a week, while Qatar Airways increased its flights from two to 14 a week.

"These airlines have sent a strong message to the world that Tanzania is now free of the killer virus," explained the KADCO official.


She equally urged tour operators and their overseas agents to seize the moment in wooing in more tourists to the country and marketing destination Tanzania.

Echoing similar sentiments, Regional Commissioner Anna Mghwira described the move as an important step in boosting the tourism sector, saying Tanzanians had every reasons of holding their heads high, adding that the country had proven to the naysayers that the country was indeed now a safe destination.

Mod watafuta huu uzi hivi punde kama walivyofanya awali .. .... ... ... ..... . Thanks to vibaka!
 
Kuna biashara nzuri kama ya mafuta? Na wewe kwa akili yako unafikiri serikali itashtuka? Kuna mamilioni ya companies kama total yanamezea mate soko la mafuta Tanzania

Tena saivi Tanzania tuna company ya serikali ya kuuza mafuta na inakuja kwa kasi mbaya, wameshafungua filling stations kama 20 tayari

Samahani, na wewe umo kwenye kundi lililotutangazia kuwa Trump kamsifia Magufuli na pia kuwa kuna nchi nyingi zinazomtaka akawe Rais wao?
 
Back
Top Bottom