luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Hahaha mkuu unapenda. VagiHongera Magufuli, bado karwanda kanajitutumua kupambana na TZ. Hamtashinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha mkuu unapenda. VagiHongera Magufuli, bado karwanda kanajitutumua kupambana na TZ. Hamtashinda
Kiswahili chako ni cha kunyaland halafu unajifanya mtz kumbe unaipenda TanzaniaNdio wanakufanania wewe
Tumebarikiwa kuwa na nchi nzuri sana lakini wakaazi wake wengi wamejaza mavi kichwani kama weweKiswahili chako ni cha kunyaland halafu unajifanya mtz kumbe unaipenda Tanzania
Kenya ingekuwa nchi nzuri isingetangaza vivutio vya watalii vipo kwaoTumenarikiwa kuwa na nchi nzuri sana lakini wakaazi wake wamejaza mavi kichwani kama wewe
Hakuna mkenya mjinga kama weweKenya ingekuwa nchi nzuri isingetangaza vivutio vya watalii vipo kwao
Huyo kibaraka wenu ataiota ikulu ndio maana mkakimbilia kumfanyia interviewUmeona uhuru akionesha Nia ya mazungumzo? Tunasubiri uchaguzi uishe tufanye mazungumzo na rais mpya wa JMT Tundu Antipass Lissu jamaa anaejielewa sio kile kituko,kwa taarifa yako kuanzia tarehe 29 oktoba zile buku Saba unapewa pale lumumba Sasa Basi.
Kila mtalii achague anapotaka kwendajambo hili halina Afya kwa uchumi wa nchi zote mbili,Watalii waliopo kenya watafikaje Tanzania?Je ni vipi tutawashawishi watalii waliokua na nia ya kutembelea Mombasa,Malindi,Zanzibar,Serengeti na nk..wasicancel route zao.Tunahitaji kufikiri Upya kama huu mgogoro unatusaidia ama la,Kenya ilitaka kutumia Covid -19 Kuharibu image ya Tanzania lakini na sisi tumechagua njia ya sumu ambayo hata sisi inatupata,haina tofauti na kuweka sumu ya panya halafu umeacha ndoo za maji wazi panya akikimbilia humo atakuafa ndio lakini ataacha sumu kwenye maji yako.We have to rethink Again.
Sasa uoga wao wanataka kutuhusisha na sisi?Ulipaswa usikitike, pili ufahsmu wao ni waoga wa korona na si vinginevyo
Ongea kiswahili kizuri ansika ndio niniUmeathirila na magadi wewe, huoni ulichoansika hapo juu?
Ccm hata mwenyekiti wenu akijamba mnajilamba tuSasa uoga wao wanataka kutuhusisha na sisi?
Wewe acha kutupotezea muda sisi nenda kwa rais wako Kenyata mkavute miraaCcm hata mwenyeliti wenu akijamba mnajilamba tu
Wewe naye wale wale kumbe.
[/QUOTE
Una matatizo ya kiakili weye,jichunguze.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbona kama unameza mate vile?Wewe acha kutupotezea muda sisi nenda kwa rais wako Kenyata mkavute miraa
Shirima 48Hivi mnafahamu hata wamiliki wa hiyo kampuni?
MY TAKE: Lazima baba wa familia ya EA ajulikane na heshima iwepo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usitufokeee. Una mji wako, halafu nije nikupe masharti ya namna ya kuishi kwako wkt huo nakuchonganisha na jamii nzima. Utakubaliana na unyanyasaji huo kisa biashara?Mambo haya ya ubabe ni ya kishamba, nyie ni washamba, ungekuwa ni mjanja ungejaribu kuvaa viatu vya Watanzania wanaotegemea huduma za anga kibiashara, wenye mahoteli wanaotegemea wageni toka Kenya na Watanzania wanaofanya biashara Kenya.
Acheni ufala huu sio wakati wa kufurahia migogoro yrnye athari kiuchumi