Precision Air yafuta Safari zote za kwenda Kenya licha ya Kenya kuruhusu Safari zake

Precision Air yafuta Safari zote za kwenda Kenya licha ya Kenya kuruhusu Safari zake

Umeona uhuru akionesha Nia ya mazungumzo? Tunasubiri uchaguzi uishe tufanye mazungumzo na rais mpya wa JMT Tundu Antipass Lissu jamaa anaejielewa sio kile kituko,kwa taarifa yako kuanzia tarehe 29 oktoba zile buku Saba unapewa pale lumumba Sasa Basi.
Huyo kibaraka wenu ataiota ikulu ndio maana mkakimbilia kumfanyia interview
 
jambo hili halina Afya kwa uchumi wa nchi zote mbili,Watalii waliopo kenya watafikaje Tanzania?Je ni vipi tutawashawishi watalii waliokua na nia ya kutembelea Mombasa,Malindi,Zanzibar,Serengeti na nk..wasicancel route zao.Tunahitaji kufikiri Upya kama huu mgogoro unatusaidia ama la,Kenya ilitaka kutumia Covid -19 Kuharibu image ya Tanzania lakini na sisi tumechagua njia ya sumu ambayo hata sisi inatupata,haina tofauti na kuweka sumu ya panya halafu umeacha ndoo za maji wazi panya akikimbilia humo atakuafa ndio lakini ataacha sumu kwenye maji yako.We have to rethink Again.
Kila mtalii achague anapotaka kwenda
 
Kitaelewekaka tu... Kati ya TANU na KANU kipi Ni kipi ..... Historia ipo tu ukienda huko SADAC utakutana ZANU na nyingine nyingi....ngoja waendeleee kujifungia.........
 

MY TAKE: Lazima baba wa familia ya EA ajulikane na heshima iwepo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Unachekelea abiria kukosekana? Unadhani muathirika namba moja kwenye hili ni Kenya?
Nchi hii ina matatizo makubwa kuliko tunavyofikiri.
Total nao wametangaza kuuza assets zao zilizopo Tanzania. Kenya kwao (Total) ni upstream market.
Shangilia na hilo pia.
 
Mambo haya ya ubabe ni ya kishamba, nyie ni washamba, ungekuwa ni mjanja ungejaribu kuvaa viatu vya Watanzania wanaotegemea huduma za anga kibiashara, wenye mahoteli wanaotegemea wageni toka Kenya na Watanzania wanaofanya biashara Kenya.
Acheni ufala huu sio wakati wa kufurahia migogoro yrnye athari kiuchumi
Usitufokeee. Una mji wako, halafu nije nikupe masharti ya namna ya kuishi kwako wkt huo nakuchonganisha na jamii nzima. Utakubaliana na unyanyasaji huo kisa biashara?

By the way, ndege zimeanza kutua direct Tanzania, na hapo ndo wakenya wananuna
 
Back
Top Bottom