Precision Air yafuta Safari zote za kwenda Kenya licha ya Kenya kuruhusu Safari zake

Precision Air yafuta Safari zote za kwenda Kenya licha ya Kenya kuruhusu Safari zake

Mbona serikali ya kenya haikuiweka tanzania kwenye orodha ya nchi ambazo zimeruhusiwa kuingia kenya? Kwa sababu hawakukua na Nia ya kuanza Safari za moja kwa moja Hadi tanzania na ndio maana hata leo precision airline wamecancel Safari zao maana hawana wasafiri
Hahahaha, sasa mbona KQ waliandika kutaka waruhusie kuja Tanzania, mbona hayo mashirika mengine likiwemo fly540 yamekua yakifanya biashara hadi tulipowasimamisha na bado wanaomba kuruhisiwa kuendelea na Niagara?, hivi unajua idadi ya watalii kati ya Nairobi na Kilimanjaro na Kati ya Mombasa na Zanzibar?
 
Kama ni waoga wa Corona, mbona wanataka ndege zao zije Tanzania kwenye Corona?, unazijua dalili za watu wanafiki?
Tuachaneni nae jama mwezi mchanga huyu ajui hata anachokiongea , hivi uwe na uoga wa kitu halafu ukifate!!. Yani wakifuatwa wanaogopa ila wakifata wao hawaogopi huyu jamaa ajitambui
 
Umeona uhuru akionesha Nia ya mazungumzo? Tunasubiri uchaguzi uishe tufanye mazungumzo na rais mpya wa JMT Tundu Antipass Lissu jamaa anaejielewa sio kile kituko,kwa taarifa yako kuanzia tarehe 29 oktoba zile buku Saba unapewa pale lumumba Sasa Basi.
Tanzanians are smarter can't elect stupid leaders like Uhuni Kenyatta, we are not corrupt neither tribalism like Kenyans.. Magufuli 95% victory
 
Waulize Fly540 kama walikua hawapati abiria kwanini wanaomba mgogoro umalizike haraka ili waendelee na biashara?
Kama kweli abiria walikuepo mbona Sasa precision airline wasichukue hao abiria ili shughuli zao ziendelee? Inakuaje precision airline wanaachiwa ruti lakini pia wanakosa abiria?.
 
Kama kweli abiria walikuepo mbona Sasa precision airline wasichukue hao abiria ili shughuli zao ziendelee? Inakuaje precision airline wanaachiwa ruti lakini pia wanakosa abiria?.
Serikali ya Tanzania imetoa onyo kwa shirika lolote la ndege linalotoa huduma kati ya Kenya na Tanzania kusimamisha hizo Safari kwa sasa zikiwemo kampuni za ndege za kukodisha, vinginevyo zitafutiwa usajili wao.

Wewe hushangai kuona kwamba makampuni matatu toka Kenya yalikua yanafanya biashara na wanapata wateja, iweje kampuni moja likiwa peke yake likose Abiria?
 
Tanzanians are smarter can't elect stupid leaders like Uhuni Kenyatta, we are not corrupt neither tribalism like Kenyans.. Magufuli 95% victory
Hupati Tena buku Saba tutayazima hayo ,,2020 Ni yeye. Mulizani risasi zitaunyamazisha upinzani Ila umepata umaarufu zaidi, kutumia mabillion kutoka kwa mfuko wa umma kujijengea kiwanja Cha ndege kijijini kwako si ufisadi huo? Hebu leta hapa taarifa inayoonyesha ndege za atcl zikiwa na ruti yoyote ya chato , Kama sio yule jamaa wa kujimwambafai mwambafai yeye ndio anaenda huko na ndege ilihali uwanja umejengwa kutumia pesa za umma. Munawaengua wagombea kutoka vyama pinzani kuhuni kihuni eti ndio mshinde? This is 2020 my friend hayo Mambo hatukubali ,majimbo yote ambayo wapinzani wameenguliwa haswa Jimbo la ruangwa Hatutakubali mtu kupita kwa meza hio Ni kunyima wananchi haki Yao ya kikatiba.
 
Serikali ya Tanzania imetoa onyo kwa shirika lolote la ndege linalotoa huduma kati ya Kenya na Tanzania kusimamisha hizo Safari kwa sasa zikiwemo kampuni za ndege za kukodisha, vinginevyo zitafutiwa usajili wao.

Wewe hushangai kuona kwamba makampuni matatu toka Kenya yalikua yanafanya biashara na wanapata wateja, iweje kampuni moja likiwa peke yake likose Abiria?
Leta hio onyo hapa hatutaki maneno ya Katarina hapa.
 
Hupati Tena buku Saba tutayazima hayo ,,2020 Ni yeye. Mulizani risasi zitaunyamazisha upinzani Ila umepata umaarufu zaidi, kutumia mabillion kutoka kwa mfuko wa umma kujijengea kiwanja Cha ndege kijijini kwako si ufisadi huo? Hebu leta hapa taarifa inayoonyesha ndege za atcl zikiwa na ruti yoyote ya chato , Kama sio yule jamaa wa kujimwambafai mwambafai yeye ndio anaenda huko na ndege ilihali uwanja umejengwa kutumia pesa za umma. Munawaengua wagombea kutoka vyama pinzani kuhuni kihuni eti ndio mshinde? This is 2020 my friend hayo Mambo hatukubali ,majimbo yote ambayo wapinzani wameenguliwa haswa Jimbo la ruangwa Hatutakubali mtu kupita kwa meza hio Ni kunyima wananchi haki Yao ya kikatiba.
Hahahaha, kwanza tumalize hili la ndege ambalo tayari limewazidi nguvu, usijaribu kuvuruga mada, nimekustukia [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawa hapa Nyang'au wameanza kujipendekeza..










MY TAKE
Trick za kitoto sana...Our demands r pretty simple!
  1. No Air tanzania to Kenya's Nairobi, Mombasa, Eldoret and Kisumu no any airline from Kunyaland to be allowed to land in Tanzania!
  2. No free movement of tanzanians in Kunyaland no any airline from Kunyaland is to be allowed to land in Tanzania


nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican,Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
 
Hakuna heshima yoyote tutakayoikosa kwa kuwapuuza hawa. Sisi ni superior hilo lipo wazi, historia yetu inatubeba. Hatuna sababu ya kuitafuta heshima. A beast is a beast. Tanzania ni beast of Africa tangu Nyerere

Haya ni mawazo mafupi sana, with all due respect. So far all actions we have taken are by the rule book - beating them in their own game... It's called reciprocity.

Chokochoko zote wanaanza wao, sisi tunareact tu. Sijui kipi huelewi
 
jambo hili halina Afya kwa uchumi wa nchi zote mbili,Watalii waliopo kenya watafikaje Tanzania?Je ni vipi tutawashawishi watalii waliokua na nia ya kutembelea Mombasa,Malindi,Zanzibar,Serengeti na nk..wasicancel route zao.Tunahitaji kufikiri Upya kama huu mgogoro unatusaidia ama la,Kenya ilitaka kutumia Covid -19 Kuharibu image ya Tanzania lakini na sisi tumechagua njia ya sumu ambayo hata sisi inatupata,haina tofauti na kuweka sumu ya panya halafu umeacha ndoo za maji wazi panya akikimbilia humo atakuafa ndio lakini ataacha sumu kwenye maji yako.We have to rethink Again.

Hizi nchi mbili zina wateja tofauti kabisa wa utalii. Jiulize kwanini Kenya Wana idadi kubwa zaidi yetu ya watalii lakini tunawazidi kwa mapato?
 
jambo hili halina Afya kwa uchumi wa nchi zote mbili,Watalii waliopo kenya watafikaje Tanzania?Je ni vipi tutawashawishi watalii waliokua na nia ya kutembelea Mombasa,Malindi,Zanzibar,Serengeti na nk..wasicancel route zao.Tunahitaji kufikiri Upya kama huu mgogoro unatusaidia ama la,Kenya ilitaka kutumia Covid -19 Kuharibu image ya Tanzania lakini na sisi tumechagua njia ya sumu ambayo hata sisi inatupata,haina tofauti na kuweka sumu ya panya halafu umeacha ndoo za maji wazi panya akikimbilia humo atakuafa ndio lakini ataacha sumu kwenye maji yako.We have to rethink Again.
Ok leta ushauri siyo kulalamika tu...Kenya wamepanga kuiangamiza Tanzania kiuchumi kwa kutumia Corona...wameruhusu watu wa nchi 130 wasiwekwe karantini lakini Tanzania hatumo...wana uhuru was kufanya hivyo kwani ni nchi huru...na sisi TZ tuna uhuru wa kufanya maamuzi kwa maslahi ya nchi yetu...TZ haiwezi kufa kwa 'sumu'....Wanaotumia 'sumu' kutaka kutuangamiza ndio watakaoumia na ikibidi hata kufa.....Kenya ni washenzi Sana...they can go to hell...
 
Tanzania is tough,
huwa hatupendi kujaribiwa wala kutikiswa, utatikisika mwenyewe na mwisho utaangukia pua
 
Back
Top Bottom