Precision Air yafuta Safari zote za kwenda Kenya licha ya Kenya kuruhusu Safari zake

Precision Air yafuta Safari zote za kwenda Kenya licha ya Kenya kuruhusu Safari zake

Ukiwa unafikiria faida ya pesa ndani ya muda mfupi unaweza kuwa sawa, ila tunachokitafuta ni heshima kwa nchi yetu na faida za muda mrefu za kiuchumi
Hakuna heshima yoyote tutakayoikosa kwa kuwapuuza hawa. Sisi ni superior hilo lipo wazi, historia yetu inatubeba. Hatuna sababu ya kuitafuta heshima. A beast is a beast. Tanzania ni beast of Africa tangu Nyerere
 
Kama ni waoga wa Corona, mbona wanataka ndege zao zije Tanzania kwenye Corona?, unazijua dalili za watu wanafiki?
Mbona serikali ya kenya haikuiweka tanzania kwenye orodha ya nchi ambazo zimeruhusiwa kuingia kenya? Kwa sababu hawakukua na Nia ya kuanza Safari za moja kwa moja Hadi tanzania na ndio maana hata leo precision airline wamecancel Safari zao maana hawana wasafiri
 
1. Unaonekana ni mkosefu wa adabu. Hujui anaye comment ni nani halafu unwita dogo. Hii inatosha kukuweka katika kundi la wale wasiojua mambo.

2. Hivi unaijua historia ya hizi nchi mbili!? Unajua chanzo cha kuvunjika kwa uhusiano miaka ya 70s.

3. Wewe unafurahia watanzania wakiingia kenya wafungiwe siku 14!? Halafu wao waje kwetu free!?
Ukiwa na akili ndogo wewe ni dogo tu
 
Mwanaume kutoa milio ya kike unamaanisha nini?

Turudi kwenye mada. Unadhani hiyo itaongeza mapato kwenye kampuni hiyo ya ndege?
hujaishi kijijini eeh, unajua kitu inaitwa ngolo au mwano!? Hiyo uuwiii hutumika kama sauti ya kuomba msaada wa haraka.
Uwiiiii inatumiwa hadi na maprodyuza kweny production ya ngoma nying za hip hop.
 
Hakuna heshima yoyote tutakayoikosa kwa kuwapuuza hawa. Sisi ni superior hilo lipo wazi, historia yetu inatubeba. Hatuna sababu ya kuitafuta heshima. A beast is a beast. Tanzania ni beast of Africa tangu Nyerere
Superior kwa uchawi sio? Ama superior kwa kutuma omba omba Kenya?
 
Tunachotaka ni respect from our all neighbors the same way we respect them, otherwise we shall retaliate accordingly the way it happen now.
Umeona uhuru akionesha Nia ya mazungumzo? Tunasubiri uchaguzi uishe tufanye mazungumzo na rais mpya wa JMT Tundu Antipass Lissu jamaa anaejielewa sio kile kituko,kwa taarifa yako kuanzia tarehe 29 oktoba zile buku Saba unapewa pale lumumba Sasa Basi.
 
Superior kwa uchawi sio? Ama superior kwa kutuma omba omba Kenya?
Uchawi na ombaomba kwa nchi kubwa kama Tz unaviweka kwenye vipaumbele vya mawazo yako na unataka tujadili hii hoja? Tuishie hapa.
 
Wakenya haitachukua Muda kuiomba msamaha Tanzania.

Ila kwa ninavo mjua huyu jamaa Magufuli, anaweza asiwajibu mpka anatoka madarakani..

Naona Tanzania ishaanza kufaidika na huu mgogoro kupitia ATCL. Habari chini ya kapeti
 
We ndo unaona hathari zake kiuchumi kuliko wasimamizi wa Tz n precision. Jua kuwa watu hawanurupuki kufanya maamuzi tathmini ifanyike
Mambo haya ya ubabe ni ya kishamba, nyie ni washamba, ungekuwa ni mjanja ungejaribu kuvaa viatu vya Watanzania wanaotegemea huduma za anga kibiashara, wenye mahoteli wanaotegemea wageni toka Kenya na Watanzania wanaofanya biashara Kenya.
Acheni ufala huu sio wakati wa kufurahia migogoro yrnye athari kiuchumi
 
hujaishi kijijini eeh, unajua kitu inaitwa ngolo au mwano!? Hiyo uuwiii hutumika kama sauti ya kuomba msaada wa haraka.
Uwiiiii inatumiwa hadi na maprodyuza kweny production ya ngoma nying za hip hop.
Hahahhaah rip fadha neli 🤣
 
Mambo haya ya ubabe ni ya kishamba, nyie ni washamba, ungekuwa ni mjanja ungejaribu kuvaa viatu vya Watanzania wanaotegemea huduma za anga kibiashara, wenye mahoteli wanaotegemea wageni toka Kenya na Watanzania wanaofanya biashara Kenya.
Acheni ufala huu sio wakati wa kufurahia migogoro yrnye athari kiuchumi
We endelea tu kuteseka ila ndo hivyo ndo ishakua na ndio chaguo la wengi madhali wengi wanafurahia uamuzi huo wa serikali bc wewe huna faida hata ukivimba ila Magufuli lazima apate mitano tena atuongezee ndege za kimataifa na ya mizigo ili tuwanyooshe vizuri na wivu wenu wa kijinga
 

MY TAKE: Lazima baba wa familia ya EA ajulikane na heshima iwepo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

jambo hili halina Afya kwa uchumi wa nchi zote mbili,Watalii waliopo kenya watafikaje Tanzania?Je ni vipi tutawashawishi watalii waliokua na nia ya kutembelea Mombasa,Malindi,Zanzibar,Serengeti na nk..wasicancel route zao.Tunahitaji kufikiri Upya kama huu mgogoro unatusaidia ama la,Kenya ilitaka kutumia Covid -19 Kuharibu image ya Tanzania lakini na sisi tumechagua njia ya sumu ambayo hata sisi inatupata,haina tofauti na kuweka sumu ya panya halafu umeacha ndoo za maji wazi panya akikimbilia humo atakuafa ndio lakini ataacha sumu kwenye maji yako.We have to rethink Again.
 
Kwani hao wakenya walipoamua kuweka vikwazo kwa watanzania kuingia Kenya hawakujua kwamba wanasumbua wafanya biashara wa Tanzania?, ulitaka tukae kimya au tuwapigie makofi?
Mwache ateseke huyo mwaswat kabadili jina tu
 
Back
Top Bottom