Precision Air yafuta Safari zote za kwenda Kenya licha ya Kenya kuruhusu Safari zake

Precision Air yafuta Safari zote za kwenda Kenya licha ya Kenya kuruhusu Safari zake

Mambo haya ya ubabe ni ya kishamba, nyie ni washamba, ungekuwa ni mjanja ungejaribu kuvaa viatu vya Watanzania wanaotegemea huduma za anga kibiashara, wenye mahoteli wanaotegemea wageni toka Kenya na Watanzania wanaofanya biashara Kenya.
Acheni ufala huu sio wakati wa kufurahia migogoro yrnye athari kiuchumi
Tunaziba chocho zote za angani,tukitoka huko tunahamia ardhini,work permit kwa mungiki yoyote nataka iwe usd 5000,kama hana hiyo pesa kwao,yan mpaka wanyooke
Mwanaume kutoa milio ya kike unamaanisha nini?

Turudi kwenye mada. Unadhani hiyo itaongeza mapato kwenye kampuni hiyo ya ndege?
Waelewe kuwa Hatutishwi
Tutaisha maisha Yeyote yale
Kuliko Kuendelea kumchekea Adui mwenye Roho mbaya na Wivu
Hahahaha!!! Wakenya watakufa mwaka huu.

MY TAKE: Lazima baba wa familia ya EA ajulikane na heshima iwepo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mambo haya ya ubabe ni ya kishamba, nyie ni washamba, ungekuwa ni mjanja ungejaribu kuvaa viatu vya Watanzania wanaotegemea huduma za anga kibiashara, wenye mahoteli wanaotegemea wageni toka Kenya na Watanzania wanaofanya biashara Kenya.
Acheni ufala huu sio wakati wa kufurahia migogoro yrnye athari kiuchumi
Kwani hao wakenya walipoamua kuweka vikwazo kwa watanzania kuingia Kenya hawakujua kwamba wanasumbua wafanya biashara wa Tanzania?, ulitaka tukae kimya au tuwapigie makofi?
 
Kwani hao wakenya walipoamua kuweka vikwazo kwa watanzania kuingia Kenya hawakujua kwamba wanasumbua wafanya biashara wa Tanzania?, ulitaka tukae kimya au tuwapigie makofi?
Ulipaswa usikitike, pili ufahsmu wao ni waoga wa korona na si vinginevyo
 
Mambo haya ya ubabe ni ya kishamba, nyie ni washamba, ungekuwa ni mjanja ungejaribu kuvaa viatu vya Watanzania wanaotegemea huduma za anga kibiashara, wenye mahoteli wanaotegemea wageni toka Kenya na Watanzania wanaofanya biashara Kenya.
Acheni ufala huu sio wakati wa kufurahia migogoro yrnye athari kiuchumi
Wewe ujanja umeupata wapi.
Tangu unavaa katambuga tunakujua. Tangu ujue kuongea kizungu ujajiona mjanja. 🤣 🤣
 
Mkuu kama wewe ni mwanaume na umetahiriwa hata kama ni hospitali na sio porini siku nyingine usidhubutu kutoa mlio kama huu, unatuabisha wanaume. Ila kama ni mdada sawa.
Hakuna mlio wa kike na wakiume,labda utufunze wakiume maana sisi hatujui.
 
Funguka macho dogo nchi zetu bado changa kutunishisna misuli ni kuumiza watu wetu.
Mimi sio mkenya lkn siungi mkono ujinga huu
Sasa mjinga ni Yule aliyesema kwamba anataka kwenda kwa mwenzake akiwa huru lakini mwenzake asiende kwake, au huyu anayesema kama ni hivyo kila mtu abaki kwake hadi ugonjwa utakapo pungua?
 
Sio kazi yetu kazi yetu kuona [emoji205] anajibiwa sawa na swali lake na sio kinyume shenzi , mpaka waseme ATCL tumeiruhusu bila ya kukaa karantini wasijifanye kuzunguka zunguka hapa kuchagua shirika kenye hisa yao inamana wakipanda ndege ambayo wanahisa yao tu korona inakua hamna ? Yaki rombaya na chuki zingine za kitoto
Actl yenyewe haina Safari za Nairobi itaruhusiwa vipi ? Lazima iombe kibali hata kabla ya korona actl haikukua na Safari za Nairobi.
 
Tushinde, tuwagaragaze ama tuwakomoe still nimeshaanza kuona hakuna faida yoyote kwetu kuwanyoosha hawa jirani.
 
Actl yenyewe haina Safari za Nairobi itaruhusiwa vipi ? Lazima iombe kibali hata kabla ya korona actl haikukua na Safari za Nairobi.
Tunachotaka ni respect from our all neighbors the same way we respect them, otherwise we shall retaliate accordingly the way it happen now.
 
Tushinde, tuwagaragaze ama tuwakomoe still nimeshaanza kuona hakuna faida yoyote kwetu kuwanyoosha hawa jirani.
Ukiwa unafikiria faida ya pesa ndani ya muda mfupi unaweza kuwa sawa, ila tunachokitafuta ni heshima kwa nchi yetu na faida za muda mrefu za kiuchumi
 
Funguka macho dogo nchi zetu bado changa kutunishisna misuli ni kuumiza watu wetu.
Mimi sio mkenya lkn siungi mkono ujinga huu
1. Unaonekana ni mkosefu wa adabu. Hujui anaye comment ni nani halafu unwita dogo. Hii inatosha kukuweka katika kundi la wale wasiojua mambo.

2. Hivi unaijua historia ya hizi nchi mbili!? Unajua chanzo cha kuvunjika kwa uhusiano miaka ya 70s.

3. Wewe unafurahia watanzania wakiingia kenya wafungiwe siku 14!? Halafu wao waje kwetu free!?
 
Back
Top Bottom