PW wamestuka maana wangejidai kimbelembele wangepigwa nao pin ibaki Bombardier inatamba peke Yake nchi nzima. Hakika wamevuka mtego wa Mahindi kwenye sufuriaTunaziba chocho zote za angani,tukitoka huko tunahamia ardhini,work permit kwa mungiki yoyote nataka iwe usd 5000,kama hana hiyo pesa kwao,yan mpaka wanyooke
Sio tu kuvaa kata mbuga nimezaliwa uchi bila hata kata mbuga.
Wewe uliyezaliwa na suti nakushangaa umejaa ujinga huu.
Nakuelewa sana.vita havijaanza apa bro, hivi ni vita vya tangia 2014, na wakenya ndo walianza, kumekua na mazungumzo mengi lakini hakuna usuluhisho umepatikana, mfano wale madereva wanaopita kwenda kenya haiwezekani wewe kila ukienda ruti moja urudi ufanyiwe kipimo, yawezekana hujui kipimo kikoje, pale usipotoka dam ikaingia kwenye mapafu basi lazima ubaki na kovu kwenye mrija wa chakula kile kipimo kinauma asikwambie mtu, sasa sisi hawataki na kiubindam huwezi kumfanyia mtu ivi because at the end of the day atakufa
-back kwenye mada, nmekwmbia hii vita haijaanza leo, wkumbuka tushaibiwa mpaka mlima? kama hukumbuki basi huezi elewa hii battle inaondelea
Kama kweli abiria walikuepo mbona Sasa precision airline wasichukue hao abiria ili shughuli zao ziendelee? Inakuaje precision airline wanaachiwa ruti lakini pia wanakosa abiria?.
Nakuelewa sana.
Maneno yangu ni machache tu.
"Nchi zetu ni changa viongozi walijue hili kuwa tunapaswa kuishi kwa upendo sababu tunahitajiana kibiashara na kijamii"
Wameshaondoa kikwazo hicho mbona?sasa hii ndo pointi ila sasa bado kunakua hakuna uwelewano kati yetu, haiwezekani tanzania ikae quarantine ni corona free wakati china ilipoanzia corona hawakai quarantine, wewe just fikiria utaona something is wrong
Kuna biashara nzuri kama ya mafuta? Na wewe kwa akili yako unafikiri serikali itashtuka? Kuna mamilioni ya companies kama total yanamezea mate soko la mafuta TanzaniaUnachekelea abiria kukosekana? Unadhani muathirika namba moja kwenye hili ni Kenya?
Nchi hii ina matatizo makubwa kuliko tunavyofikiri.
Total nao wametangaza kuuza assets zao zilizopo Tanzania. Kenya kwao (Total) ni upstream market.
Shangilia na hilo pia.
Heri kenda kamili kuliko kumi nenda rudi....Our national diginity comes first.Mwanaume kutoa milio ya kike unamaanisha nini?
Turudi kwenye mada. Unadhani hiyo itaongeza mapato kwenye kampuni hiyo ya ndege?
Kwahiyo wao wakituletea korona Ni sawa tu!si hatuogopi?ila wao si sawa,wanaogopa !!!au?Ulipaswa usikitike, pili ufahsmu wao ni waoga wa korona na si vinginevyo
Wameshaondoa kikwazo hicho mbona?
Watanzania miili imekuwa sugu kwa suluba hiyo ni kinga tosha ya coronaKwahiyo wao wakituletea korona Ni sawa tu!si hatuogopi?ila wao si sawa,wanaogopa !!!au?
Kuna biashara nzuri kama ya mafuta? Na wewe kwa akili yako unafikiri serikali itashtuka? Kuna mamilioni ya companies kama total yanamezea mate soko la mafuta Tanzania
Tena saivi Tanzania tuna company ya serikali ya kuuza mafuta na inakuja kwa kasi mbaya, wameshafungua filling stations kama 20 tayari