President Mobutu Sese Seko of Zaire

President Mobutu Sese Seko of Zaire

Mobutu seseseko kuku ngwendu wa zabanga wa Zaire

Nyerere alumchukia sana lakini alimkaribisha moshi Kilimanjaro enzi hizo na motorcade
Kwanini alimchukia ?
Kuna picha nimewaona pamoja huko zaire
 
mh kufa si anakufa mnyama jamani bora utumie kufariki ama ndo kifupi chake[emoji2]
 
Akiwa anajiandaa kwa mtihani wa darasa la 12, alitoroka shule kwenda kumuona girlfriend wake. Sina uhakika kama ni Maria Anoitte. Shule ilikuwa ni seminary ya Wakatoliki. Wakati anarudi mapadre walimkamata na adhabu yake iliamuriwa asiende form V kwakua ni mkaidi aende jeshini. Aliumia sana kutokwenda form V wakati Kibeligiji alikijua mno.

Alioa akiwa ofisi wa ngazi ya chini jeshini na mshahara wake wote alimudu kununua sanduku moja la bia ndiyo receptionist na alikuwa bado na usongo na ma padre alipata juoa kanisani
True kisasi ni part ya madikteta wote,soma kitabu kinaitwa .the philosophy of dictators.
 
Back
Top Bottom