Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Birds of the same feathers flock togetherAliiva zaidi na Iddi Amin
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Birds of the same feathers flock togetherAliiva zaidi na Iddi Amin
Hawana tofauti na Wachagga. Mangi T. Marealle bendera yake ina/ilikuwa na chuiKwa RDC mnyama chui ,wanamchukulia kuwa ni mtawala
Kwanini alimchukia ?Mobutu seseseko kuku ngwendu wa zabanga wa Zaire
Nyerere alumchukia sana lakini alimkaribisha moshi Kilimanjaro enzi hizo na motorcade
Hahaha, mie sio muandishi mzuri wa thread zaidi nitachangia tu ,MTU akianzisha Uzi waomtu chake lucas mobutu Sky Eclat mkimaliza hili na kuku wa zabanga tuleteeni habari za wanamuziki tuanze na Werasson
Hahahaa Wazabanga nomaaa.Hii kofia yake ni ngozi ya chui kabisa aliamini akiivaa anaogopewa kama chui
Karibu mkuuAsante mkuu..nipo hapa
...nimefika mkuu,..asante sana kwa chakula hiki cha ubongo kionhozi
Nenda MMU kanijibu swali languAliiva zaidi na Iddi Amin
Ndo vileMakono kwa hewa
Da kumbe wanafananaBobi la dawa aliolewa pamoja na identical twin wake. Ingawa alikuwa ameolewa wakati Mobutu anamuona ilibidi mumewe amuachie mwenye nguvu achukue mke.
Yes ni jadi kwa madikteta wakoloni weusi wote.Ndumba ni ibada ambao imechangia kupunguza uwezo wao wa kufikiri.Duuuu Jamaa alikuwa mzee wa numba na ngayi.
True kisasi ni part ya madikteta wote,soma kitabu kinaitwa .the philosophy of dictators.Akiwa anajiandaa kwa mtihani wa darasa la 12, alitoroka shule kwenda kumuona girlfriend wake. Sina uhakika kama ni Maria Anoitte. Shule ilikuwa ni seminary ya Wakatoliki. Wakati anarudi mapadre walimkamata na adhabu yake iliamuriwa asiende form V kwakua ni mkaidi aende jeshini. Aliumia sana kutokwenda form V wakati Kibeligiji alikijua mno.
Alioa akiwa ofisi wa ngazi ya chini jeshini na mshahara wake wote alimudu kununua sanduku moja la bia ndiyo receptionist na alikuwa bado na usongo na ma padre alipata juoa kanisani
Ukiwa dictator lzm uwe na element za ukatili sababu ya shida ya saikoloji zaidiNimiongoni mwa viongozi makatili duniani.
Na bokasa pia wa central Africa,Aliiva zaidi na Iddi Amin