Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mushi anaishi kwasiri mkuu akai sehemu dakika mbili kwahiyo huwezi kupata picha yake mkuu
Kwahiyo ndani ya dk 60 anakaa sehemu 30 tofauti?mushi anaishi kwasiri mkuu akai sehemu dakika mbili kwahiyo huwezi kupata picha yake mkuu
Kwahiyo hii habari ni upotoshaji mkubwa?Mbona jamaa wamekabidhiana kiungwana tu? Maana nilikuwa nilipie frem mpya ya wife pale Mugabe last two week mtu tukawa tunasubir atoke
Mwenye nyumba wa zaman akawa amepokea hela ya udalali ila lst week akatukabidhi kwa huyo Mushi kuwa ndo owner mpya na tukasain mkataba na mushi na kumlipa kodi huku hela ya udalali akichukua owner wa zaman
Tena wanaongea vzr tu ndg
Halafu sio imechukuliwa na primi bali Bank aliyokopa na huyo Primi kanunua kwa mnada kutoka Bank.Mtu kashindwa kulipa deni nyumba zimechukuliwa alafu wewe hutaki...
Hii dunia ina watu wa ajabu sana.
Iyo nyumba Ni kwa kina masu li? Yule msanii wa hip popPrimi Mushi amechukua kwa nguvu nyumba ya familia ya Bigwa iliopo Mugabe njia panda ya kwenda Mawasiliano kulia ukitokea Shekilango yenye fremu wanauza nguo na kuwapa mikataba mipya wapangaji wote, waliogoma wameondolewa na mabaunsa akidai hela yake kwamba gorofa la K/Koo halijatosha kufidia pesa zake ni baada ya kuita na kubandika kibao kwenye gorofa la /Koo kuwa Mkomilo tower nahisi ni kijiji anachotoka huko Kibosho huku akitaka kuanza ujenzi kwenye kiwanja cha Kipata na Myamwezi ujenzi wa gorofa huku kesi ikiwa mahakamani
Walalamikaji hawana la kumfanya hapo hapo Mugabe kama unaenda mawasiliano kwenye mataa kona upande wa kushoto ukitokea Shekilango anajenga gorofa tatu kwenda juu kuna uzio wa mabati.
Je, huyu jamaa ameshindikana kabisa? Tunaomba Serikali kuingilia kati kuepusha Serikali kuchafuka.
Mbona unamsema vibaya mushi bana, tunatoka sehemu moja na ni mpambanaji kitambo akiwa na Massawe tumbo hawana shida yoyote, picha yake ninayo ila sio busara kupost picha za watumushi anaishi kwasiri mkuu akai sehemu dakika mbili kwahiyo huwezi kupata picha yake mkuu
Huyo ni primi mushi[emoji23][emoji23][emoji23] kwa mujibu wa mleta uziKwahiyo ndani ya dk 60 anakaa sehemu 30 tofauti?
Ndani ya masaa 24 anakaa sehemu 720 tofauti?
Huyo mtu wa aina gani?
AhahahaaaHalafu sio imechukuliwa na primi bali Bank aliyokopa na huyo Primi kanunua kwa mnada kutoka Bank.
Yani kosa Lake kwanini aliinunua kwenye mnada?
Wale waswahili walikopa wakafanyia umalaya na kununua subaru sasa ni wakati wa kulala kwenye subaru gereji
Hawezi kuwa kichaaPrimi Mushi amechukua kwa nguvu nyumba ya familia ya Bigwa iliopo Mugabe njia panda ya kwenda Mawasiliano kulia ukitokea Shekilango yenye fremu wanauza nguo na kuwapa mikataba mipya wapangaji wote, waliogoma wameondolewa na mabaunsa akidai hela yake kwamba gorofa la K/Koo halijatosha kufidia pesa zake ni baada ya kuita na kubandika kibao kwenye gorofa la /Koo kuwa Mkomilo tower nahisi ni kijiji anachotoka huko Kibosho huku akitaka kuanza ujenzi kwenye kiwanja cha Kipata na Myamwezi ujenzi wa gorofa huku kesi ikiwa mahakamani
Walalamikaji hawana la kumfanya hapo hapo Mugabe kama unaenda mawasiliano kwenye mataa kona upande wa kushoto ukitokea Shekilango anajenga gorofa tatu kwenda juu kuna uzio wa mabati.
Je, huyu jamaa ameshindikana kabisa? Tunaomba Serikali kuingilia kati kuepusha Serikali kuchafuka.
Hii kampuni naomba kuijua zaidi, kampuni inamlalamikia mtu mtandaoni kwa threads kadhaa sasa inaenda mbele inataja ka bila fulani, kuna kitu na connect dotswewe unawajua g7 mkuu kundi la wachagga wafanyabiashara wakubwa k/koo ndio wanampa kiburi mkuu hawa jamaa wameanza kama cha kusaidiana lilkn sasa ili uingie ada ni million zaidi ya hamsini wanalinda san mkuu kupeana diliza
Kununua subaru...... 🤣🤣🤣Sasa wewe wakati unakopa unaweka nyumba rehani ulikuwa unawaza nini?
Yaani Mushi atafute hela kwa jasho akukopeshe wewe ukanunue subaru na kufunga ndoa halafu ushindwe kulipa akuchekee tu?
Haupo serious..
No, ni opposite na kwakina Mansu liIyo nyumba Ni kwa kina masu li? Yule msanii wa hip pop