Hapo kwenye chocholo la kwenda kanisani? Kwa Yule mshikaji zamani alikuwa dereva wa tax kijiweni? Ana chonga chonga sanaaaa..? Kama Ni huyo nilisoma naye mugabe miaka ya tisini huko,
Huyo jamaa prima ndio mwenye hotel mkomilo karibu na vatcan city..?
Kama Ni huyo jamaa wameingia chaka bovu jamaa Ni mafia, hapo sinza kila nyumba inayouzwa anataka kununua yeye kwa lazima,pia anatafuta familia isiyo na msimamo anawaloga na kuwalubuni na viela vidogo dogo mpaka wanauza..
Mwingine Kuna mchaga mmoja anaitwa KIMBOLI hapo sinza, jamaa naye ana vitabia Kama ya uyu mwamba ,sinza kijiweni karibu na deluxe hotel kaamisha mtaa mzima kiajabu ajabu