Primi Mushi aendelea kudhulumu familia ya Bigwa

No, ni opposite na kwakina Mansu li
Hapo kwenye chocholo la kwenda kanisani? Kwa Yule mshikaji zamani alikuwa dereva wa tax kijiweni? Ana chonga chonga sanaaaa..? Kama Ni huyo nilisoma naye mugabe miaka ya tisini huko,

Huyo jamaa prima ndio mwenye hotel mkomilo karibu na vatcan city..?

Kama Ni huyo jamaa wameingia chaka bovu jamaa Ni mafia, hapo sinza kila nyumba inayouzwa anataka kununua yeye kwa lazima,pia anatafuta familia isiyo na msimamo anawaloga na kuwalubuni na viela vidogo dogo mpaka wanauza..

Mwingine Kuna mchaga mmoja anaitwa KIMBOLI hapo sinza, jamaa naye ana vitabia Kama ya uyu mwamba ,sinza kijiweni karibu na deluxe hotel kaamisha mtaa mzima kiajabu ajabu
 
Mkuu, imagine haya mambo umeyaandika wewe...

1. Hapo sinza kila nyumba inayouzwa anataka kununua yeye kwa lazima.

Ananunuaje nyumba "kwa lazima" ?

2. Pia anatafuta familia isiyo na msimamo "anawaloga" na kuwalubuni na viela vidogo dogo mpaka wanauza..

Yaani unarogwa hadi unauza nyumba ?
Kwahiyo waliomuuzia nyumba ndio walikwambia kwamba wamerogwa ndipo wakauza hizo nyumba ?
Au ni wewe tu mwenyewe ndio uligundua kwamba hawa jamaa wamwerogwa ndio maana wameuza nyumba ? Kama hivi ndivyo (uligundua mwenyewe), wewe ulijuaje (how) ?

Mengineyo:
A. Hakuna ubaya wala hakuna kosa lolote "kuwarubuni" watu wazima na wenye akili timamu (kwa vipesa vidogo vidogo au kwa namna yoyote ile) na wakakubali kukuuzia nyumba (as long as wamekuuzia, hukuwapora wala kuwanyang'anya).

B. Hakuna ubaya wala kosa lolote Kununua kila nyumba inayouzwa Sinza (au sehemu nyingine yoyote).
 

Kachukua nyumba kwa nguvu? Na huyo unayemtetea a lichukua mkopo kwa hiyari
 
Taarifa za upande mmoja pekee haIwezi kuthibitisha usahihi wa mtoa taarifa.

Kikubwa vipo vyombo vya kushughulikia haki. Ukienda huko watamuita na kubalansi story
 
KUNA KITU MTOA MADA HAWEKI WAZI, KUNA TAASISI NA BENKI NYINGI ZIZATOA MIKOPO KWA KWENYE HATI YA MAKAZI AU LESENI YA MAKAZI. MIKOPO YA BENKI SIO YA KWENDA KUANZISHA BIASHARA, NI KUENDELEZA. KWAMBA BIASHARA UNAYO, UNA UZOEFU NAYO,MBINU, MTANDAO, NK.
KUNA WADAU WANAKOPA TENA HUKU WAKIONYESHA NI WAMILIKI WA BAISHARA FLANI, PESA UNAPEWA. HALAFU NDIO UNA ANZA SASA KUFIKIRIA UTAFANYIA NINI. KWANZA NITOE 14M HIVI NINUNUE TOYOTA WISH, GARI LA FAMILIA. ZINAZOBAKI NITAFANYIA HIVI NA VILE.

UKISHINDWA KULIPA BANK, INATANGAZA MNADA.HAPA NDIPO MCHEZO WOTE UPO. KWENYE KUNA TIMU YA WATU 8-10. TUNAJIPANGA KABISA. BEI YA HII ISIZIDI 150M. HIVYO KAMA NYUMBA INA THAMANI YA 400MILION, UNAPEWA MKOPO WA 300MILION. UKISHINDWA INAKUJA KUUZWA KWA 80MILION HIVI. KWAHIYO NI MTANDAO WA WAFANYAKAZI BANKI, WATOZA USHURU,MAHAKAMA(KUMBUKA KUNA MADALALI WA MAHAKAMA).

HIVYO JAMAA YEYE ANACHEZA MCHEZO HALALI.
 
Loo kimboli kadhulumu sana watu ...Almanusura wamuue...naishia hapa...ila primi sizan...Tumbo Tumbo ni mafia zaid...yule jamaa akiona mauza uza Tz anakimbilia Congo na kule ana ussue zake za madini..kuna kipindi TRA walimletea noma ya pesa mingi kuwa anazikwepa...hakuamin caz alisikia kama tetes gafla na barua ikatua ofisin kwake...akachukua konyagi kubwa akagugua alivyo imaliza huyoo...congo.. ila hawa jamaa wanaishi kwa stress kubwa sana
 
”Wabara” kama wanavyowaita wenyewe "Wanadarisalama” wanawakimbiza wenye mji wao.

Mtalia lia mwisho mjikute mpo Kilwa wengine Mkata maana kote mlikozembea kuendeleza wabara wanakutamani.
Mbaya zaidi wabara wana hela na mitaji ya nguvu na wanatamaa kali na ardhi.

Waendelee kukata viuno kwenye vigodoro kuja kushitukia wako selue au nyumba za kupanga za wabara ndani ya jiji la duslam.

#MaendeleoHayanaChama
 
wewe unawajua g7 mkuu kundi la wachagga wafanyabiashara wakubwa k/koo ndio wanampa kiburi mkuu hawa jamaa wameanza kama cha kusaidiana lilkn sasa ili uingie ada ni million zaidi ya hamsini wanalinda san mkuu kupeana diliza
Sio kweli mi ni memba yote unayoongea ni uongo. Nakushaur tu kama we ndio bingwa cku nyingine ukichukua mkopo benki jitahdi kuwa na nidhamu ya hela na sio kujaza bia bar.
 
Kiongozi ungekua umekaaa kkooo ndo ungejua watu wanavyo fanyiwa umafia kwenye hizi nyumba wala usingeshangaa ukisikia nyumba ile imeuzwa kitapeli tapeli tu ...hawa matajili ni watu hovyo sana .Kuna nyumba moja ya mshikaji wangu kuna mkinga aliwachezea kwa uchawi yaan kila siku matatizo hayaishi mala huyu anaumwa figo mala huyu kafa harafu jamaa ndo mpangaji anaeonesha kuwajali ile mbaya na kuwakopesha hela mpaka wanakuja kushtuka anawadai km milioni mia hamsin na akawa km mbogo anaitaka ahame na wale hawana...ni story ndefu Mungu tu alisaidia hawakudhulumiwa.
 
Wacha awaamishe
 
Jamani jamani Mbona pale pamebomolewa muda tu
Wameanza kujenga ndo nongwa zimeanza?!

Prima mwenyewe maisha yanamwendea hajui hata Kama kuna mtu anamuonea kijicho [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inashangaza. Tena kifusi chake kilipelekwa sehemu fulani. Nikahoji kimetoka wapi, nikaambiwa kimetoka Mugabe.

Huyu Mushi ndiye mwenye makontena ya kuivisha ndizi siyo?
 
Dawa ya deni ni kulipa.
 
Ni kinyume cha sheria kulazimisha makubaliano. Kama wahusika wamelazimishwa wangeenda polisi. Sasa huku JF hapatoshi
 

Mkuu unaamini kabisa mtu anaweza kukuloga ukamuuzia nyumba?

Waafrika bhana mnapenda hadithi za abunuasi Sana.
Ni Sawa na Mtu anayeamini kwenye kuomba Mungu zaidi ya kufanya kazi na kutumia Akili.

Ila ni kawaida Watu wazembe na wavivu wa kufikiri kuamini mambo ya Uchawi na miujiza
 

Mi mwenyewe nilitaka kufukuzia fremu pale kipindi cha mwanzo kabla hawajabomoa
Nikaambiwa nisubiri nyumba ipo kwenye majadiliano ya kuuzwa, imeuzwa na maisha mengine yameendelea

Sijui Jamaa kafanywa nini na Prima,
 

Usiamini Sana Uchawi. Ni Uongo mkubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…