LDA COMPANY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 340
- 622
- Thread starter
-
- #81
mkuu fremu ipi iyo kwasababu fremu iliyoka waz ni moja tu apale na ndio inapigwa rangiMbona jamaa wamekabidhiana kiungwana tu? Maana nilikuwa nilipie frem mpya ya wife pale Mugabe last two week mtu tukawa tunasubir atoke
Mwenye nyumba wa zaman akawa amepokea hela ya udalali ila lst week akatukabidhi kwa huyo Mushi kuwa ndo owner mpya na tukasain mkataba na mushi na kumlipa kodi huku hela ya udalali akichukua owner wa zaman
Tena wanaongea vzr tu ndg
mwenye mkomilo royal hotel ni mwingine mkuu huyu yuko ana yard ya magari karibu na lion hotel sinzaHapo kwenye chocholo la kwenda kanisani? Kwa Yule mshikaji zamani alikuwa dereva wa tax kijiweni? Ana chonga chonga sanaaaa..? Kama Ni huyo nilisoma naye mugabe miaka ya tisini huko,
Huyo jamaa prima ndio mwenye hotel mkomilo karibu na vatcan city..?
Kama Ni huyo jamaa wameingia chaka bovu jamaa Ni mafia, hapo sinza kila nyumba inayouzwa anataka kununua yeye kwa lazima,pia anatafuta familia isiyo na msimamo anawaloga na kuwalubuni na viela vidogo dogo mpaka wanauza..
Mwingine Kuna mchaga mmoja anaitwa KIMBOLI hapo sinza, jamaa naye ana vitabia Kama ya uyu mwamba ,sinza kijiweni karibu na deluxe hotel kaamisha mtaa mzima kiajabu ajabu
kimbori hana tatizo mkuu tatizo k/koo ni mushi na massawe tumbo na morio pamoja na kuringe kimbori juzi juzi kauza gorofa yake manyema billion saba kwa mkinga kaenda mwanza kanunuanymba kama kumi ktk ya mjiMbona kimboli ni mtu poa sana alafu kimboli anafika bei nyumba alafu anakupa na ofa ya kukujengea nyumba kali ya kuishi
We eleza mkasa wenyewe habari ya g7 achana nayo. Hakuna raia 1 ktk nchi mwenye nguvu kuliko serikali hilo halipo.wewe unawajua g7 mkuu kundi la wachagga wafanyabiashara wakubwa k/koo ndio wanampa kiburi mkuu hawa jamaa wameanza kama cha kusaidiana lilkn sasa ili uingie ada ni million zaidi ya hamsini wanalinda san mkuu kupeana diliza
kimbori yuko vizuri mkuu ndio mwenye rising electronics anauza congo zambia nkUnamsemea Msele yule white sio, kwenye harakati za utafutaji kuna ups and down man so Kimbori hawezi kufail totally, Tembo hawezi kukonda akawa kama mbuzi never
leo tumeweza kuzuia mushi kuanza ujenzi kwenye kiwanja chake cha kipaat na nyamwezi ndio kaz imeanza hivyoLipeni deni lote kwa mujibu wa makubakiano muone kama mali zeny zote hazijarudishwa.
Kwa dege la pwani?mwenye mkomilo royal hotel ni mwingine mkuu huyu yuko ana yard ya magari karibu na lion hotel sinza
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Daaah sasa akikimbia mali zake TRA hawawezi kuzikamata?Loo kimboli kadhulumu sana watu ...Almanusura wamuue...naishia hapa...ila primi sizan...Tumbo Tumbo ni mafia zaid...yule jamaa akiona mauza uza Tz anakimbilia Congo na kule ana ussue zake za madini..kuna kipindi TRA walimletea noma ya pesa mingi kuwa anazikwepa...hakuamin caz alisikia kama tetes gafla na barua ikatua ofisin kwake...akachukua konyagi kubwa akagugua alivyo imaliza huyoo...congo.. ila hawa jamaa wanaishi kwa stress kubwa sana
Sasa hapo kama kweli walipokuwa na shida mpangaji wao alikuwa anawasaidia fedha, ulitaka pesa zake asizidai? Mfano kuna kipindi huko Turiani niliwahi kukodisha shamba ekari 10 @ ekari 50,000/= kwa msimu. Mwenye eneo anamiliki karibia ekari 50,nyingine ni mapori. Hii pesa ya kukodi huwa tunalipa kwa awamu mbili, mimi wakati mwingine nikawa namlipa yote laki tano ili kuepuka usumbufu nikiwa sina pesa. Kuna kipindi ikawa mwenye shamba akipata tatizo anaomba nimuazime pesa, kuna kipindi ikafika milioni 2 na ikawa uwezo wa kunilipa haupo. Hivyo ilibidi tuelewane aniuzie shamba ninalolilima.Kiongozi ungekua umekaaa kkooo ndo ungejua watu wanavyo fanyiwa umafia kwenye hizi nyumba wala usingeshangaa ukisikia nyumba ile imeuzwa kitapeli tapeli tu ...hawa matajili ni watu hovyo sana .Kuna nyumba moja ya mshikaji wangu kuna mkinga aliwachezea kwa uchawi yaan kila siku matatizo hayaishi mala huyu anaumwa figo mala huyu kafa harafu jamaa ndo mpangaji anaeonesha kuwajali ile mbaya na kuwakopesha hela mpaka wanakuja kushtuka anawadai km milioni mia hamsin na akawa km mbogo anaitaka ahame na wale hawana...ni story ndefu Mungu tu alisaidia hawakudhulumiwa.
Anaziiivishaje mkuu?Inashangaza. Tena kifusi chake kilipelekwa sehemu fulani. Nikahoji kimetoka wapi, nikaambiwa kimetoka Mugabe.
Huyu Mushi ndiye mwenye makontena ya kuivisha ndizi siyo?
Kariakoo ana magorofa zaidi ya 20Primi Mushi amechukua kwa nguvu nyumba ya familia ya Bigwa iliopo Mugabe njia panda ya kwenda Mawasiliano kulia ukitokea Shekilango yenye fremu wanauza nguo na kuwapa mikataba mipya wapangaji wote, waliogoma wameondolewa na mabaunsa akidai hela yake kwamba gorofa la K/Koo halijatosha kufidia pesa zake ni baada ya kuita na kubandika kibao kwenye gorofa la /Koo kuwa Mkomilo tower nahisi ni kijiji anachotoka huko Kibosho huku akitaka kuanza ujenzi kwenye kiwanja cha Kipata na Myamwezi ujenzi wa gorofa huku kesi ikiwa mahakamani
Walalamikaji hawana la kumfanya hapo hapo Mugabe kama unaenda mawasiliano kwenye mataa kona upande wa kushoto ukitokea Shekilango anajenga gorofa tatu kwenda juu kuna uzio wa mabati.
Je, huyu jamaa ameshindikana kabisa? Tunaomba Serikali kuingilia kati kuepusha Serikali kuchafuka.
mkuu fremu ipi iyo kwasababu fremu iliyoka waz ni moja tu apale na ndio inapigwa rangi
Mkuu unaamini kabisa mtu anaweza kukuloga ukamuuzia nyumba?
Waafrika bhana mnapenda hadithi za abunuasi Sana.
Ni Sawa na Mtu anayeamini kwenye kuomba Mungu zaidi ya kufanya kazi na kutumia Akili.
Ila ni kawaida Watu wazembe na wavivu wa kufikiri kuamini mambo ya Uchawi na miujiza
Zinakatwa vichane, zinaoshwa, wadazipanga kwenye tenga (kama zile za nyanya), zinapangwa ndani ya cooling contena (contena la umeme)Anaziiivishaje mkuu?
Wewe ni bipolar??