witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Weeee[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji26]Mimi nimeshtuka aliposema kauwa Taleban 25 wakati akiwa Afghanistan
Hii ndio safari yake kuzimu maana wanajeshi wameongea sana leo mpaka ma veterans kama sisi haha tuna hasira nae
Atayasemaje yaliyotokea front?
Hakuna mjeda anaeweza kusema kauwa wangapi hiyo ni siri mpaka kaburini
Watamuuwa hawa hawa
Lakini RF si wamempa ulinzi shirikishi ( M16) au?
Wasituuliie Harry wetu jomoni[emoji848]