Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,723
- 7,408
Kaongea ivyo ili aonewe huruma. Sasa kayakanyaga mwenyewe, dunia uwanja wa fujo atalazimishwa kwenda mbinguni kwa lazimaKaongelea swala la kuua Taliban 25
Hii itamsababishia matatizo huko mbeleni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaongea ivyo ili aonewe huruma. Sasa kayakanyaga mwenyewe, dunia uwanja wa fujo atalazimishwa kwenda mbinguni kwa lazimaKaongelea swala la kuua Taliban 25
Hii itamsababishia matatizo huko mbeleni
Yaani vitani kule afghanistan kauwa talebani 25. Anajiona kaua watu wengi mbona ni kawaida sana. Kama unamaliza vitani mwaka mzima ni watu wachache sana,Mimi nimeshtuka aliposema kauwa Taleban 25 wakati akiwa Afghanistan
Hii ndio safari yake kuzimu maana wanajeshi wameongea sana leo mpaka ma veterans kama sisi haha tuna hasira nae
Atayasemaje yaliyotokea front?
Hakuna mjeda anaeweza kusema kauwa wangapi hiyo ni siri mpaka kaburini
Watamuuwa hawa hawa
Huyu kinachomsumbua ni matumizi ya coccaine tuuuu. Ni changamoto sana,Ameandika na kuongea mengi sana sijui utapata soft copy ya kitabu [emoji1]
Hebu angalia mtoto aliekuwa ana date nae ila msichana hakuwa tayari kuingia kwenye Royals
View attachment 2471344
Mkuu yeye alikuwa anakwendwa nightclubs za London na kujirusha sana kwani hawakumjali sanaSasa hayo madawa yaliingiae kwenye jumba la ufalme
Tena kwa helicopter maana yeye ni gunnersYaani vitani kule afghanistan kauwa talebani 25. Anajiona kaua watu wengi mbona ni kawaida sana. Kama unamaliza vitani mwaka mzima ni watu wachache sana,
Taliban washamjibu huko
Nenda page ya abcnews twitterRusha hapa wamesemaje
Royal family na waliokuwa wanamuangalia ndio wenye makosa hawakumjali na kumuachia afanye analotakaHuyu kinachomsumbua ni matumizi ya coccaine tuuuu. Ni changamoto sana,
Ooh kumbeKamzungumzia. Anadai kuwa Hewitt hawezi kuwa baba yake kwa sababu uhusiano wake na Princess Diana ulianza baada ya yeye Harry kuzaliwa.
Wamesemaje mkuuTaliban washamjibu huko
Mkuu tung'atie kidogo basiNenda page ya abcnews twitter
Wamesema kuwa Harry aliua raia wasio na hatia kwa sababu kipindi anaserve Afghanistan katika eneo alilokuwepo hakukuwa na askari wa Kitaliban waliouawaMkuu tung'atie kidogo basi
Taliban wamesema kuwaMkuu tung'atie kidogo basi
Kwamba wakati Harry anaserve Afghan, Taliban hawakuwepo, hivyo kuna uwezekano hao 25 waliouliwa ni wananchi wa kawaida wasio na hatiaRusha hapa wamesemaje
Haswaaaaah.Mimi nadhani dhambi ya ubaguzi dhidi ya Meghan na watoto wao ndio imemtia hasira sana Prince Harry.
Wamemjibu kwa heshima sana ila wengine wamemlaani yeye na familiaRusha hapa wamesemaje
Hapana bhana witty, napenda harry na Meghan wadumu milele.Hilo limwanamke atalikimbia au atamkimbia yeye!
Hawana muda hawa kabisa...dada ana gundu huyu daah!
Anaweza hata kumgharimu maisha ya mume wake huyu[emoji848]