Weeee[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji26]Mimi nimeshtuka aliposema kauwa Taleban 25 wakati akiwa Afghanistan
Hii ndio safari yake kuzimu maana wanajeshi wameongea sana leo mpaka ma veterans kama sisi haha tuna hasira nae
Atayasemaje yaliyotokea front?
Hakuna mjeda anaeweza kusema kauwa wangapi hiyo ni siri mpaka kaburini
Watamuuwa hawa hawa
Ameandika na kuongea mengi sana sijui utapata soft copy ya kitabu [emoji1]Ebwana eeh ..ila Harry anatafuta hela kwa nguvu zote[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]
For sure....halafu Meghan daily kuiongelea RF sijui hanaga story zingine [emoji848]Hawana mda tutasikia mmoja kapotea
Huyo mke wake nae wale wale hawezi kuacha mengine yapite, kaingia kwenye Royal family angetulia tu
Wazungu ni wabaguzi ila angejibanza tu na kuendelea na maisha
Huyu Cressida si alilia wakati Harry kamintroduce Meg?Ameandika na kuongea mengi sana sijui utapata soft copy ya kitabu [emoji1]
Hebu angalia mtoto aliekuwa ana date nae ila msichana hakuwa tayari kuingia kwenye Royals
View attachment 2471344
Weusi tuna inferiority complex hilo tuFor sure....halafu Meghan daily kuiongelea RF sijui hanaga story zingine [emoji848]
[emoji38] [emoji23] nakuaminia mtu wanguHuyu Cressida si alilia wakati Harry kamintroduce Meg?
Hiki mi ntakipata tu job....ila Harry anadeka jamani
Yule anamuharibia vibaya vibaya asee!Weusi tuna inferiority complex hilo tu
Hqpo ilikuwa yeye ndio wa kumtuliza Harry badala yake anachimba kila neno
Hahaha[emoji38] [emoji23] nakuaminia mtu wangu
Atulize mshono na yeye kazidiWeeee[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji26]
Lakini RF si wamempa ulinzi shirikishi ( M16) au?
Wasituuliie Harry wetu jomoni[emoji848]
Sasa hata kama kulipiza ndio awachanganye wote jamaniYule anamuharibia vibaya vibaya asee!
Ila Harry nahisi analipiza kisasi cha mama ake[emoji848]
Kamzungumzia. Anadai kuwa Hewitt hawezi kuwa baba yake kwa sababu uhusiano wake na Princess Diana ulianza baada ya yeye Harry kuzaliwa.Hii ndio mbaya zaidi
Huku akisema eti willy alimpiga zamani
Anahuzunisha sana
Ila kwanini asimzungumzie baba yake halisi Hewitt?
Asili yake ndiyo inamponza huyu dada. Hawa Royal Family walimpokea kishingo upande tu. Katika hili suala la Harry kuharibu Royal family nao wana lawama zao nyingi tu.Hilo limwanamke atalikimbia au atamkimbia yeye!
Hawana muda hawa kabisa...dada ana gundu huyu daah!
Anaweza hata kumgharimu maisha ya mume wake huyu[emoji848]
Hata mimi nadhani ni hivyo. Na alianza kulipiza kisasi siku nyingi tu kabla hata hajamuoa Meghan.Yule anamuharibia vibaya vibaya asee!
Ila Harry nahisi analipiza kisasi cha mama ake[emoji848]