Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Nah your ain't black African, yo' black ass $hitI'm not a Black America, I'm Black Africa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nah your ain't black African, yo' black ass $hitI'm not a Black America, I'm Black Africa
Him against the world.Sijui tu kwa nin, ila mi mshkaji namkubali sana. Pamoja na yote haya nashangaa badala ya kukwazika, mi nimeumia kuona watu mnavo mdiss mwana.
Ameomba wamalize tofauti zao
Hehehe hapo patamu na kumekucha [emoji848]Baba yake sawa ila kuna mengi alimkatia ila hela anazo za kutosha
Analalamika kuwa baba yake hakumkumbatia wakati anampa habari ya kifo cha mama yake
Bado ana machungu ya mama yake
[emoji1] [emoji1787] umeona kwenye gazeti la leoHehehe hapo patamu na kumekucha [emoji848]
Naona Chalz kasarenda
Hakuna namna [emoji1]Ameomba wamalize tofauti zao
Huyu Meghan ajiangalie mweeh[emoji848][emoji1] [emoji1787] umeona kwenye gazeti la leo
Mzee atakufa na pressure
Wanatamani Meghan afe wamchukue mtoto wao
Kwakweli aseeHakuna namna [emoji1]
Au mmh hawa wana history ya kuuwana tangu mababu
Hehehe hapo patamu na kumekucha [emoji848]
Naona Chalz kasarenda
Scary huh [emoji15]Huyu Meghan ajiangalie mweeh[emoji848]
Kweli asee...ila Harry kapinda aseeeSasa kuna wa kuvumilia aibu za kila siku za kijana wake? Haukuona hata museven alivyotoka kumtetea kijana wake
Terrifying [emoji848]Scary huh [emoji15]
Na kweli huwezi kumvumilia mtoto anaekuvua nguoSasa kuna wa kuvumilia aibu za kila siku za kijana wake? Haukuona hata museven alivyotoka kumtetea kijana wake
Kabisa hatari sana.Kaongelea swala la kuua Taliban 25
Hii itamsababishia matatizo huko mbeleni
Watamtoa tu maana kwa sasa hana faida kwa familiaHehehe hapo patamu na kumekucha [emoji848]
Naona Chalz kasarenda
Niupdate mkuu[emoji16][emoji16]Na kweli huwezi kumvumilia mtoto anaekuvua nguo