Prince wa Saudi Arabia Salman: Mambo ya Palestine hayanihusu. Najihusisha zaidi ya Nchi yangu

Prince wa Saudi Arabia Salman: Mambo ya Palestine hayanihusu. Najihusisha zaidi ya Nchi yangu

Kuna siku hizo sentences zitamkosti.
Dunia iliyostarahabika na Nchi yake ambayo wenye Imani nadhifu ya Dini inayokataza mabaya anageuka kuwa ya wengine hayamuhusu.....
Hija zijazo yanaweza kujitokeza yaliyojificha yatakayo ushangaza ulimwengu kama yale ya P kiasi ya watu kuacha kwenda kuhiji...
Kuna wakati busara inaelekeza kukaa kimya hasa pale jibu litokalo kinywani laweza kuwa chukizo kwa wengine.
hahaha watu waache kwenda kuhiji kisa kauli yake

nipo Zanzibar kila muislam ndoto yake ni kwenda kuhiji macca wanasema ni nusu ya dini yao sada sioni kama kuna jambo

linaenda kuwafanya wasiende uko 😅😅😅
 
hahaha watu waache kwenda kuhiji kisa kauli yake

nipo Zanzibar kila muislam ndoto yake ni kwenda kuhiji macca wanasema ni nusu ya dini yao sada sioni kama kuna jambo

linaenda kuwafanya wasiende uko 😅😅😅
Kila jambo na nyakati zake,tuombe uzima lolote lawezekana chini ya Jua.
Hata ufalme was kale wa Nebuchadnezzar aliye waaminisha watu kuwa yeye ndiye Mungu leo umebaki History.
 
Yuko sawa wapambane na hali zaoo haiwezekan kenya na uganda wapigane sisi Tanzania 🇹🇿 tuingilie vinatuhusu nn
 
Kuna wabongo wanajikuta wana utu na wafia dini kuliko prince
Tunawaambia msilete udini hawaelew
 
Kuna siku hizo sentences zitamkosti.
Dunia iliyostarahabika na Nchi yake ambayo wenye Imani nadhifu ya Dini inayokataza mabaya anageuka kuwa ya wengine hayamuhusu.....
Hija zijazo yanaweza kujitokeza yaliyojificha yatakayo ushangaza ulimwengu kama yale ya P kiasi ya watu kuacha kwenda kuhiji...
Kuna wakati busara inaelekeza kukaa kimya hasa pale jibu litokalo kinywani laweza kuwa chukizo kwa wengine.
Kwenda kuhiji ni upuuzi na kupoteza mda tuu
 
Back
Top Bottom