Mzee Kikowapi
Member
- Sep 21, 2024
- 97
- 245
Sisi watu wa Liwale tumekukosea nini?Halafu jitu jingine jeusi tiiii kutoka liwale linakosa usingizi sababu ya Hamas na Hezbollah. Jinga kabsa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi watu wa Liwale tumekukosea nini?Halafu jitu jingine jeusi tiiii kutoka liwale linakosa usingizi sababu ya Hamas na Hezbollah. Jinga kabsa
Nisamehe ndugu yangu basi ngoja niseme jitu kutoka kahamaSisi watu wa Liwale tumekukosea nini?
kobazi mu akitumia akili anaitwa kenge?Kenge tu huyo. yaani jamaa Yako anachezea kichapo we unasema haikuhusu!
Angekuwa hapa Tz ningemtafuta mke wake
Cheo chake rasmi "The Custodian of the Two Holiest Mosques"; ikirejea misikiti mitukufu zaidi duniani. Halafu kuna kenge toka Matombo wanajifanya kuijua dini kuliko huyu mwamba!Huyo Kobaz naona ndiye muimini pekee asiyesukumwa na misimamo ya allah
Hakuna lolote,Mwana hataki fujo nchini kwake,ingawa wapo watakao ichukulia kauli yake kwa angle tofauti.
Umeuliza majibu kwa mtindo wa maswali! Yes; in short, hiyo ndio njia rahisi zaidi ya kukutana na makahaba ya peponi.Hivi ukitaka short kati yakupata hao mabikira 72 unafanyaje? Au lazima niwe muislamu halafu niwe gaidi?
hahaha watu waache kwenda kuhiji kisa kauli yakeKuna siku hizo sentences zitamkosti.
Dunia iliyostarahabika na Nchi yake ambayo wenye Imani nadhifu ya Dini inayokataza mabaya anageuka kuwa ya wengine hayamuhusu.....
Hija zijazo yanaweza kujitokeza yaliyojificha yatakayo ushangaza ulimwengu kama yale ya P kiasi ya watu kuacha kwenda kuhiji...
Kuna wakati busara inaelekeza kukaa kimya hasa pale jibu litokalo kinywani laweza kuwa chukizo kwa wengine.
Kila jambo na nyakati zake,tuombe uzima lolote lawezekana chini ya Jua.hahaha watu waache kwenda kuhiji kisa kauli yake
nipo Zanzibar kila muislam ndoto yake ni kwenda kuhiji macca wanasema ni nusu ya dini yao sada sioni kama kuna jambo
linaenda kuwafanya wasiende uko 😅😅😅
Hahaha nimecheka ukaona liwale kakaHalafu jitu jingine jeusi tiiii kutoka liwale linakosa usingizi sababu ya Hamas na Hezbollah. Jinga kabsa
Sio vita ya dini ni mipaka wanagombeaKuna wabongo wanajikuta wana utu na wafia dini kuliko prince
Tunawaambia msilete udini hawaelew
Kwenda kuhiji ni upuuzi na kupoteza mda tuuKuna siku hizo sentences zitamkosti.
Dunia iliyostarahabika na Nchi yake ambayo wenye Imani nadhifu ya Dini inayokataza mabaya anageuka kuwa ya wengine hayamuhusu.....
Hija zijazo yanaweza kujitokeza yaliyojificha yatakayo ushangaza ulimwengu kama yale ya P kiasi ya watu kuacha kwenda kuhiji...
Kuna wakati busara inaelekeza kukaa kimya hasa pale jibu litokalo kinywani laweza kuwa chukizo kwa wengine.
Yesu ni naniYesu hakuvaa kobazi,hakua na akili?