Prince wa Saudi Arabia Salman: Mambo ya Palestine hayanihusu. Najihusisha zaidi ya Nchi yangu

Ni katika kukumbushana.

Vita hivyo vilihusu kugombania ardhi ya mkoa wa
Kagera kati ya nchi ya Tanzania na Uganda.
Katika vita hivyo Tanzania, ikiongozwa na rais
Julius Nyerere iliibuka kidedea kwa kuwapiga7
vema majeshi ya gaidi Idd Amini Dadah
yaliyoungwa mkono wa Libya ya Muammar al-
Gaddafi na pia Palestina ya Yasser Arafat.
Vita hivyo viliua watu karibu 5,000 na wengine
kuachwa yatima .
 
Saudia ni sunni, Iran ni shia.
Sunni wanawa term shia kwamba ni kama wayahudi au christians, wanawaita makafiri, na wanasema shia ilianzishwa na wayahudi.

Huwa siongelei sana upande wa dini lakini nikiri kwamba, hawa waislamu wanao hangaika na masuala ya ushia na usunni ni upumbavu wa kiwango cha sgr.

Waarabu kwa waarabu wanasalitiana wao kwa wao kwa kigezo cha ushia na usunnj...ndio maana wayahudi na wazungu wanawaona hawana akili...

Yaani muiran ambaye ni sunni yupo radhi awauze shia... And that's what happens in Iran and Lebanon..

Sunni wanawachukia shia balaa...

Duniani kuna vituko..😂

Kingine huyo prince kuongea hivyo, Houthis wanaounga mkono Palestine walishaishambulia Saudia, Hivyo Houthis na Hamas ni allies ni brotherhood..
 
Unazungumzia article ya January ilivyoandikwa na gazeti la Atlantic la Marekani ambayo pia ilisema hakuna uhusiano na Israel bila suluhisho la Taifa la Palastine ( kama source yako ni hiyo unatudangaya)
 
Salman mjasiriamali. Kaangalia ishu kwa jicho la hela zinazoingia Kila mwaka kaona isije kupigwa Bomu na Israel
 
Hiyo Saudi ndio chimbuko la huu uzombi duniani, na kama wao wameanza kustaarabika, basi wengine wote hadi huku Uswahilini wastaarabike.
 
Msimamo wa Saudi Arabia ni kwamba Hamas wamejiteka.
Fantastic claim and yet haijakanushwa.
 
USA ni wanaharamu!

Hii picha maelezo yake hayatofautiani na Hades kwenye movie ya Clash of the Titans alichomwambia Cassiopeia, Queen wa Argos.

Hades:
You are specks of dust beneath our fingernails. Your very breath is a gift from Olympus. You have insulted powers beyond your comprehension.

Queen Cassiopeia:
Who are you?

Hades:
I am Hades. Kneel.

Hades:
What do you know of beauty? What is more beautiful than death? Gaze upon me, mortal queen.
---------------
Na ndicho alichofanya USA (Hades). Yeye ni mwanaye Kraken (Israel) makazi yao na underworld.

Huku wanafanya uharibifu.
 
U
simtukane,yuko sahihi.Uislam umeletwa na Muhammad mwaka 610 A.D mwezi wa 12 tarehe 17.Muhammad anatoka kabila la maquresh,na ndio hao wanaoiongoza Saudia ya sasa.MBS anatoka kabila la maquresh hilohilo.Sasa ukristo umeanzia Vatican?Yesu alikuwa mrumi?Mji wa Rumi imekuwa Yerusalemu?Papa ni myahudi?Anatoka kabila la Yuda?Mfano wako haufanani na hoja ya jamaa.Labda hata wewe hauufahamu ukristo.Na wewe unaamini ukristo umetokea ulaya.
 
Kahawa za siku hizi, khaa. Kali kweli utadhani tangawizi😏😏😬
 
Mwarabu anayechagua njia ya amani kuongoza nchi yake ataitwa Kafiri.

Kama Ukafiri ni amani bora ukafiri.

Ahah walianza kumuita kafir yeye mwenyewwe alipoanza kupuga marufuku kuvaa kininja wanafunzi wakienda shule na kuruhusu baadhi ya maeneo kuwa na vinywaji (pombe) kukaribisha matamasha ya Nje ya Nchi (western)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…