Prince wa Saudi Arabia Salman: Mambo ya Palestine hayanihusu. Najihusisha zaidi ya Nchi yangu

Prince wa Saudi Arabia Salman: Mambo ya Palestine hayanihusu. Najihusisha zaidi ya Nchi yangu

Ni katika kukumbushana.

Vita hivyo vilihusu kugombania ardhi ya mkoa wa
Kagera kati ya nchi ya Tanzania na Uganda.
Katika vita hivyo Tanzania, ikiongozwa na rais
Julius Nyerere iliibuka kidedea kwa kuwapiga7
vema majeshi ya gaidi Idd Amini Dadah
yaliyoungwa mkono wa Libya ya Muammar al-
Gaddafi na pia Palestina ya Yasser Arafat.
Vita hivyo viliua watu karibu 5,000 na wengine
kuachwa yatima .
 
Saudia ni sunni, Iran ni shia.
Sunni wanawa term shia kwamba ni kama wayahudi au christians, wanawaita makafiri, na wanasema shia ilianzishwa na wayahudi.

Huwa siongelei sana upande wa dini lakini nikiri kwamba, hawa waislamu wanao hangaika na masuala ya ushia na usunni ni upumbavu wa kiwango cha sgr.

Waarabu kwa waarabu wanasalitiana wao kwa wao kwa kigezo cha ushia na usunnj...ndio maana wayahudi na wazungu wanawaona hawana akili...

Yaani muiran ambaye ni sunni yupo radhi awauze shia... And that's what happens in Iran and Lebanon..

Sunni wanawachukia shia balaa...

Duniani kuna vituko..😂

Kingine huyo prince kuongea hivyo, Houthis wanaounga mkono Palestine walishaishambulia Saudia, Hivyo Houthis na Hamas ni allies ni brotherhood..
 
Saudi Arabia gave a big shock to Muslims!

Saudi Arabia's Crown Prince Mohammed bin Salman has made a big statement against Palestine!

"I don't care about the Palestinian issues; I don't care about Palestine."

Mecca and Medina are not a place for politics, we will not allow any activity in support of Palestine here.

We have completely banned putting up any posters or offering prayers in support of Palestine.

PIA SOMA
- Prince wa Saudi Arabia Salman: Mambo ya Palestine hayanihusu. Najihusisha zaidi ya Nchi yangu
Unazungumzia article ya January ilivyoandikwa na gazeti la Atlantic la Marekani ambayo pia ilisema hakuna uhusiano na Israel bila suluhisho la Taifa la Palastine ( kama source yako ni hiyo unatudangaya)
 
Saudi Arabia gave a big shock to Muslims!

Saudi Arabia's Crown Prince Mohammed bin Salman has made a big statement against Palestine!

"I don't care about the Palestinian issues; I don't care about Palestine."

Mecca and Medina are not a place for politics, we will not allow any activity in support of Palestine here.

We have completely banned putting up any posters or offering prayers in support of Palestine.

PIA SOMA
- Prince wa Saudi Arabia Salman: Mambo ya Palestine hayanihusu. Najihusisha zaidi ya Nchi yangu
Salman mjasiriamali. Kaangalia ishu kwa jicho la hela zinazoingia Kila mwaka kaona isije kupigwa Bomu na Israel
 
Msimamo wa Saudi Arabia ni kwamba Hamas wamejiteka.
Fantastic claim and yet haijakanushwa.
 
USA ni wanaharamu!

Hii picha maelezo yake hayatofautiani na Hades kwenye movie ya Clash of the Titans alichomwambia Cassiopeia, Queen wa Argos.

Hades:
You are specks of dust beneath our fingernails. Your very breath is a gift from Olympus. You have insulted powers beyond your comprehension.

Queen Cassiopeia:
Who are you?

Hades:
I am Hades. Kneel.

Hades:
What do you know of beauty? What is more beautiful than death? Gaze upon me, mortal queen.
---------------
Na ndicho alichofanya USA (Hades). Yeye ni mwanaye Kraken (Israel) makazi yao na underworld.

Huku wanafanya uharibifu.
 
U
Acha upumbavu Nani kakwambia Saudia Ndio mmiliki wa dini ya kiislamu wewe mpuuzi ?
Mimi sio muislamu ila ninyi wapumbavu mnakera sana na mnaandika upuuzi humu kwa vitu msivyovijua ,
Unajua kuna madhehebu mangapi ya kiislamu we zoba ?
Ni sawa na leo hii useme Vatican Ndio mmiliki wa ukristo ,
Hao Anglicans , Lutheran,Moravians ,Pespeterians,Baptists ,Pentecoste , Orthodox ,Coptics ,seventh day Adventists ,Mormons nk na Christian denominations nyingine nyingi asili ni mali ya Vatican ? , how stupid are you ?
Fools
simtukane,yuko sahihi.Uislam umeletwa na Muhammad mwaka 610 A.D mwezi wa 12 tarehe 17.Muhammad anatoka kabila la maquresh,na ndio hao wanaoiongoza Saudia ya sasa.MBS anatoka kabila la maquresh hilohilo.Sasa ukristo umeanzia Vatican?Yesu alikuwa mrumi?Mji wa Rumi imekuwa Yerusalemu?Papa ni myahudi?Anatoka kabila la Yuda?Mfano wako haufanani na hoja ya jamaa.Labda hata wewe hauufahamu ukristo.Na wewe unaamini ukristo umetokea ulaya.
 
Ni " Crypto Jews " ,sijui kama unaelewa historia na hili neno
Ungeelewa alichomaanisha , kuna serikali zinaongozwa na vibaraka waliopachikwa ili kulinda maslahi ya wazayuni na Marekani hapo middle east na Saudi Family ni moja wapo , wale si waarabu wa asili ni mamluki waliopachikwa hapo kwa maslahi ya west alliance na makampuni yao ya mafuta , Jordan pia ni similar situation , vibaraka wasio na asili ya uarabu ila wanajiita wafalme wa kiarabu na wanatawala kwa mkono wa chuma na kulindwa na majeshi ya nchi za magharibi ili kuzima upinzani wa raia maana wanajijua hawakubaliki kwa raia na ni mamluki
Kahawa za siku hizi, khaa. Kali kweli utadhani tangawizi😏😏😬
 
Mwarabu anayechagua njia ya amani kuongoza nchi yake ataitwa Kafiri.

Kama Ukafiri ni amani bora ukafiri.

Ahah walianza kumuita kafir yeye mwenyewwe alipoanza kupuga marufuku kuvaa kininja wanafunzi wakienda shule na kuruhusu baadhi ya maeneo kuwa na vinywaji (pombe) kukaribisha matamasha ya Nje ya Nchi (western)
 
Back
Top Bottom