Msaada umeenda jinsia mojaKuna kuhonga na kusaidia.
Kuhonga ni kitendo cha kutoa fedha kwa ajili ya kupata kitu fulani in return.
Kusaidia ni kutoa msaada na pasipokutegemea malipo ya aina yeyote.
Kwa kuwa sijaona popote wahusika uliowataja hapo kukiri kuwa walimpa Mzee Mengi chochote baada ya kugharamikiwa basi usiite Hongo. Bali MSAADA. Tena amesahau kwamba alishamsaidia mhusika.
Nakusihi ubadilishe heading ya uzi wako.
Ukitafuta kwake basi kubali uliwe huo utumbo mpana wa kutolea mavi.ndio natafuta kwake
ndio nawe huwa unakubali?? hapana asee usimpe bora ukoseUkitafuta kwake basi kubali uliwe huo utumbo mpana wa kutolea mavi.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kakweli raha ya pesa kwa mwanaume uwahonge wanawake mpaka waseme baaasi, sema usje honga kama dallas wa wolper
Hii aliisemea wapi niitafute?? Inasemekana Jacky alkua rafiki wa madam, jaky akamwibia madam penzi lakeMadam ritha anakwambia ametembea hii dunia amekula raha kisa mzee mengi. Hakuna la kumshangaza mengi alimpeleka kote.
Anasema mengi alimpenda madam kisa tu walikuwa wanakutana gym hapo madam katoka zimbabwe masomoni anashangaa watu wanamshobokea mengi wakati yeye hajui hata mengi ni nani.
Mzee akajisogeza kwa madam, na madam anakwambia alikuwa na bwanake huyo foreigner ana ela kinoma anasukuma.ndinga za maana na bwanake hataki afanye kazi.
Mzee eti akamuuliza unanijua mimi nani, madam akamwambia skujui hata [emoji1787][emoji1787]
To cut the story short, madam anadai hatowahi kuja mpenda mwanaume kama alivyompenda mzee. Na anadai anajua hata mzee alikuwa nampenda mpaka nyakati za mwisho.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] madam anazingua.
Ukute alienda kwenye hiyo gym purposely kwa ajili ya kumtega mzee wa watu..
Ila ndo hawezi kusema sasa....
Kiba malaya wa chini chini yule.Hiyo paragraph ya mwisho sio kweli, kipindi Mengi anakamua Kiba nae alikuwa ana msaidia, Madam alikuwa pale sababu ya hela ya mzee ila hajawahi kumpenda Mengi.
SahihiWanaume wote wanahonga tunazidiana viwango tu
Watu wanapenda fedha kuliko jambo lingine. Kwahiyo huyo anayesema sijui Kiba ,aaaah wapi.The way alivyokuwa anamzungumzia hadi akawa emotional na kutoa machozi design niliona labda kuna ukweli. Hadi alikumbushia mara ya mwisho kuonana naye na it seems alikuwa na salama mwenyewe maana salama ndiye alimkumbusha hilo tukio kuwa sijui walionana wakati wanamuaga ruge na madam alipoona mzee alivyodhoofu akalia siku nzima akawa anadai eti aliona death imemzunguka mzee.
She was so emotional wakati anamzungumzia kuliko hata wakati anazungumza alivyokuwa raped.
Hii aliisemea wapi niitafute?? Inasemekana Jacky alkua rafiki wa madam, jaky akamwibia madam penzi lake
Pole sana[emoji3][emoji3][emoji3]Huna hadhi ya kudate bilionea, labda mwenye pesa za majini
DuhNdio unakuwaga mwisho wao hamna jingine....
Yule ndiye aliye mfanya Kiba apotee kipindi cha nyuma, baada ya hapo zigo akachuku Hemed PhD anae akawa anajigongea.Kiba malaya wa chini chini yule.
Aliwahonga ama aliwapa??!!!! Halafu si pesa zake, hajaua mtu, kuua ndio kosaNimeona video ya dokii YouTube alipelekwa na mzee Mengi hadi south Afrika kusomeshwa akapewa na u$d 8500 (tshs million 17) ya ada na matumizi achilia $2000(tshs milioni 4) au $4000(tshs milioni 8) zingine alizopewa kabla ya kupewa ada, baada ya kupewa izo hela dokii alisema mzee mengi alimsahau, hata walivokutana tena mzee mengi hakuMkumbuka dokii
Miriam odemba wa tangazo la revola naye alikiri kupelekwa uingereza na mzee mengi kwenda kusomeshwa, na alivyofanya tangazo la revola Mengi alimpa pesa Ndefu hadi akaanza kuitumia kujenga nyumba
Hapo sijaongea Na sijajua madam ritha, na Kyln washahongwaga tshs ngapi na huyu mzee..
Kuna watu wanachapisha hela si wengine twatafta hela ya kula Yani unamuhonga mdada million 20, hlf mwaka ujao humkumbuki tena? Looh Sky Eclat
The late CK na alikuaga na mpunga sio mchezo.Nilichomkubali Ni kuona kwny mirathi yake amewaweka na dada na Kaka Yale.Hajaweka watoto wake tu.Kama bilionea mmoja wa kikenya marehemu sahivi, anaitwa Chris kirubi, alikuwa bahili hatari, alikuwa hahongi wadada kihivyo, mdada akihongwa sana ni laki 2 DeepPond
PHD bado anahangaika nalo au yupo mwingineYule ndiye aliye mfanya Kiba apotee kipindi cha nyuma, baada ya hapo zigo akachuku Hemed PhD anae akawa anajigongea.
Weye endelea kusugua tu na Mbagala yako!! na wotewa huko hamnaga akili kabisaaa!! sijui Mbagala yoote na maji matitu kuna nini vile??..... Daktari anaandika yasiyoeleweka lkn bado mtu unapona!!..sembuse mie??Kwa huu mwandiko, sijui hiyo tender ya USA ulishindaje tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]hapana yule nilichoogopa alitaka kunimiliki kabisa ,nyumba,bness nk...unafikiri angeniacha?thubutu?
Ndo yaleyale ya kupigwa risasi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ni mwanaume? Mbona unajua mambo ya udaku kiasi hiki? Nina mashaka na manhood yako