Private life ya mzee Mengi: Kumbe alikuwa anahonga wadada wengi wa mjini maelfu ya Dola za Kimarekani

Private life ya mzee Mengi: Kumbe alikuwa anahonga wadada wengi wa mjini maelfu ya Dola za Kimarekani

Kuna kuhonga na kusaidia.

Kuhonga ni kitendo cha kutoa fedha kwa ajili ya kupata kitu fulani in return.

Kusaidia ni kutoa msaada na pasipokutegemea malipo ya aina yeyote.

Kwa kuwa sijaona popote wahusika uliowataja hapo kukiri kuwa walimpa Mzee Mengi chochote baada ya kugharamikiwa basi usiite Hongo. Bali MSAADA. Tena amesahau kwamba alishamsaidia mhusika.

Nakusihi ubadilishe heading ya uzi wako.
Msaada umeenda jinsia moja
 
Madam ritha anakwambia ametembea hii dunia amekula raha kisa mzee mengi. Hakuna la kumshangaza mengi alimpeleka kote.
Anasema mengi alimpenda madam kisa tu walikuwa wanakutana gym hapo madam katoka zimbabwe masomoni anashangaa watu wanamshobokea mengi wakati yeye hajui hata mengi ni nani.
Mzee akajisogeza kwa madam, na madam anakwambia alikuwa na bwanake huyo foreigner ana ela kinoma anasukuma.ndinga za maana na bwanake hataki afanye kazi.
Mzee eti akamuuliza unanijua mimi nani, madam akamwambia skujui hata [emoji1787][emoji1787]
To cut the story short, madam anadai hatowahi kuja mpenda mwanaume kama alivyompenda mzee. Na anadai anajua hata mzee alikuwa nampenda mpaka nyakati za mwisho.
Hii aliisemea wapi niitafute?? Inasemekana Jacky alkua rafiki wa madam, jaky akamwibia madam penzi lake
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] madam anazingua.
Ukute alienda kwenye hiyo gym purposely kwa ajili ya kumtega mzee wa watu..
Ila ndo hawezi kusema sasa....

wadada wa mujini wa late 90s to early 2000s hiyo ndio ilikuwa michongo yao.

wakisikia kuna international delegation imefikia kilimanjaro hotel,new afrika hotel au sheraton hotel(kama zilivyotambulika miaka ya zamani), na wao walikuwa wanajisogeza maeneo hayo kuweka kambi.

hizi ni hotel ambazo the elite class wa nchi waliovuma miaka hiyo, walikuwa wanapendelea kwenda kujipatia breakfast, lunch, dinner, coffee and drinks.

maeneo ambayo wadada wa mujini walikuwa wanajitegesha ni swimming pool za hotel, lounge/bar za hotel na eneo la hotel ambalo lina facility za mazoezi ya viungo(gym).

miaka ile kulikuwa hakuna social media, ili
ku-capture attention ya wazee kama akina mengi, ilikuwa ni lazima wadada wajigoze physically kwenye maeneo niliyotaja.
 
Mimi kama mwanaume siwezi leta Uzi km huu!!
Ila niseme tu mi niliwahi muhonga demu wangu chupi tu basi,hajanisahau hadi leo.
 
The way alivyokuwa anamzungumzia hadi akawa emotional na kutoa machozi design niliona labda kuna ukweli. Hadi alikumbushia mara ya mwisho kuonana naye na it seems alikuwa na salama mwenyewe maana salama ndiye alimkumbusha hilo tukio kuwa sijui walionana wakati wanamuaga ruge na madam alipoona mzee alivyodhoofu akalia siku nzima akawa anadai eti aliona death imemzunguka mzee.
She was so emotional wakati anamzungumzia kuliko hata wakati anazungumza alivyokuwa raped.
Watu wanapenda fedha kuliko jambo lingine. Kwahiyo huyo anayesema sijui Kiba ,aaaah wapi.
 
Nimeona video ya dokii YouTube alipelekwa na mzee Mengi hadi south Afrika kusomeshwa akapewa na u$d 8500 (tshs million 17) ya ada na matumizi achilia $2000(tshs milioni 4) au $4000(tshs milioni 8) zingine alizopewa kabla ya kupewa ada, baada ya kupewa izo hela dokii alisema mzee mengi alimsahau, hata walivokutana tena mzee mengi hakuMkumbuka dokii

Miriam odemba wa tangazo la revola naye alikiri kupelekwa uingereza na mzee mengi kwenda kusomeshwa, na alivyofanya tangazo la revola Mengi alimpa pesa Ndefu hadi akaanza kuitumia kujenga nyumba

Hapo sijaongea Na sijajua madam ritha, na Kyln washahongwaga tshs ngapi na huyu mzee..

Kuna watu wanachapisha hela si wengine twatafta hela ya kula Yani unamuhonga mdada million 20, hlf mwaka ujao humkumbuki tena? Looh Sky Eclat
Aliwahonga ama aliwapa??!!!! Halafu si pesa zake, hajaua mtu, kuua ndio kosa

Mind your faken business
 
Kama bilionea mmoja wa kikenya marehemu sahivi, anaitwa Chris kirubi, alikuwa bahili hatari, alikuwa hahongi wadada kihivyo, mdada akihongwa sana ni laki 2 DeepPond
The late CK na alikuaga na mpunga sio mchezo.Nilichomkubali Ni kuona kwny mirathi yake amewaweka na dada na Kaka Yale.Hajaweka watoto wake tu.
 
Kwa huu mwandiko, sijui hiyo tender ya USA ulishindaje tu.
Weye endelea kusugua tu na Mbagala yako!! na wotewa huko hamnaga akili kabisaaa!! sijui Mbagala yoote na maji matitu kuna nini vile??..... Daktari anaandika yasiyoeleweka lkn bado mtu unapona!!..sembuse mie??

sasa kwa taarifa yako km hujui!! wenye mwandiko mbaya ndo wanatusuaga Drsani!! bila shaka weye ulikuwaga failure mbaya!
 
Back
Top Bottom