Private life ya mzee Mengi: Kumbe alikuwa anahonga wadada wengi wa mjini maelfu ya Dola za Kimarekani

Kabisa na moyo wa kuhonga wanao.
Nadhani iko ndani ya damu yao.
Motie ndo alikuwa anamuweka Sachko mjini na kumpa jina.
 
Hivi huyu Madame ana mtoto mkuu?
 
Hivi huyu Madame ana mtoto mkuu?
Anasema ana watoto wawili Ila Mimi nilimuona mmoja wa Kike. Ni mzuri Sana. Ila watoto wake ni nje ya Camera kabisa. Yani hutawadikia. Madam ana private life Sana siyo kama Yule Gold digger anataka kufilisi Mali za family. The Family fortune iliyopambaniwa decades ago anakuja Danga tu anataka kufilisi.
 
ndio umesema kweli,ameandika hili pia kwenye kitabu chake
🤣🤣🤣🤣 halafu leo hii Klyn anang'ang'ania mali zote anasahau kuna baraka na mikono ya watoto wa Mzee Mengi.
Aliyenieleza kuhusu hao wanafunzi alinieleza kuhusu wakina Mutie, walikuwa kila jioni wanafungiwa ndani kutengeneza peni za BIC(kujaza wino kwa kutumia sindano) wakati wenzao wanaenda kucheza basketball.
 
Hawa ndio wale wanaokuwa mabilionea alafu wanajaza magari ya kifahara kumi. Wewe honga ule mbususu....sii u aona jamaa kabadilisha maisha ya hao warembo...mabilionea wanatakiwa kuwa na wake wengi ili kunufaisha jamiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu khaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila ritha ashukuru kapata mtaji wa BSS.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] madam anazingua.
Ukute alienda kwenye hiyo gym purposely kwa ajili ya kumtega mzee wa watu..
Ila ndo hawezi kusema sasa....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimewaza hivyo pia mie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…