Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
[emoji3]hapana yule nilichoogopa alitaka kunimiliki kabisa ,nyumba,bness nk...unafikiri angeniacha?thubutu?Nyie ndio udhaifu wenu...mnataka already made hamuangalii potential. Wee tulia tuu maumivu yaingie vizuri
Sasa inakuje usitake kumilikiwa na wakati wewe ni mwanamke na kumilikiwa na mwanaume ndio furaha yako...au wewe independent woman[emoji3]hapana yule nilichoogopa alitaka kunimiliki kabisa ,nyumba,bness nk...unafikiri angeniacha?thubutu?
Ndo yaleyale ya kupigwa risasi!
Ss mtu mzima aka bilionea akikumiliki hataki uwe na mtu! Mi tuwe na mahusiano,unipe maisha nifanye yangu lkn ujue ipo siku nitataka kuwa na familiaSasa inakuje usitake kumilikiwa na wakati wewe ni mwanamke na kumilikiwa na mwanaume ndio furaha yako...au wewe independent woman
Sasa kwani billionea atashindwa kukupea mtoto jamani?Ss mtu mzima aka bilionea akikumiliki hataki uwe na mtu! Mi tuwe na mahusiano,unipe maisha nifanye yangu lkn ujue ipo siku nitataka kuwa na familia
[emoji3][emoji125]
Rest very Well MotieMotie ndie alimpa vifaa vya digital masterjay.
Masterjay anasema motie alikuja studio akawa anatazama anafanya production, akamuuliza hivi vifaa vya ksasa bei gani, master akamwambia pesa ndefu, motie akataka kukua uktaka kufungua inahtajika ninj na nini, master akataja. Ikapita muda, siku moja akamwita ofsini kwake, master kufika pale anaona mzigo wa vifaa akawaza huyu kumbe alitaka fungua studio ya kisasa atufunike. Wakapiga story master ikafika muda wa kuaga, motie ndo akasema halafu kidogo nisahau, nimekuita ili uchukue mzigo wako huu.
Master anasema hakuamini.
Walikuwa na moyo wa kutoa hao jama mtu na baba yake
Who does it help you to deal with the rising inflation in our dear country ?BADO TUNASUBIRI NA ALIYOFANYA KANUMBA NYUMA YA PAZIA. NI MWENDO WA KUFUKUA MAKABURI
Sleep that soothes away all our worries. Sleep that puts each day to rest.Rest very Well Motie
Mo mtu wa kujichanganya mitandaoni fresh kabisa mimi namkubali full kujibizana kaka elon muskBilionea bahili ni MO anahonga laki
👍Ni kweli aseee
Ni yake, wewe tafuta yako.Halafuuu kuna limtu elf 10 tu linakua lichoyo
Wewe ni mwanaume? Mbona unajua mambo ya udaku kiasi hiki? Nina mashaka na manhood yakoMadam wakati anakwambia alikuwa na bwana ana maela punda habebi
Kwa huu mwandiko, sijui hiyo tender ya USA ulishindaje tu.wewe unasema million 20tu!! mie nilihonga kiwanda chote cha kufyatua karatasi zimbabwe!! kwa kuwa tu nilitembea na kijana mmoja mwenye kismati hatare!! huyu baada ya mambo yetu yale ghafla nilipata tender ya kuiuzia serikali ya USA Maligahafi za Nuclear!
Advance nikapewa cash $USD tirion kumi na tano!...sasa kwa nini nisihonge na mie?? Mleta Mada inaonekana hujawahi kuhongwa/wala kuhonga damu mbaya hiyo!! yamkini ukoo wenu hamuhongwi!! Basi nakushauri usizae Binti!...atateseka mnoo!!
tena haka kadokii siju kako wapi siku hizi??
Akili za kipuuzi kutoka kwa kijana mweusi wa kiafrika huko Njombe ndani ndani mwenye ka exposure na jfKakweli raha ya pesa kwa mwanaume uwahonge wanawake mpaka waseme baaasi, sema usje honga kama dallas wa wolper
Endelea kuwa na mashaka maana wewe ni mtu wa mashaka mashaka.Wewe ni mwanaume? Mbona unajua mambo ya udaku kiasi hiki? Nina mashaka na manhood yako
Uko sawa kabisa hujakosea msomi wa kizungu...Akili za kipuuzi kutoka kwa kijana mweusi wa kiafrika huko Njombe ndani ndani mwenye ka exposure na jf
Hyo ni mijanaume milofaAmini nakuambia.
Wanaume wenye pesa na majina huwa wanategwa na kuwindwa sana ila hawajui kuwa wanawindwa.
Mwanaume anaingia king mwenyewe, anaanza mchakato kumbe mtu ametegwa akategeka.
Naunga mkono hoja yako hiiAmini nakuambia.
Wanaume wenye pesa na majina huwa wanategwa na kuwindwa sana ila hawajui kuwa wanawindwa.
Mwanaume anaingia king mwenyewe, anaanza mchakato kumbe mtu ametegwa akategeka.