Private life ya mzee Mengi: Kumbe alikuwa anahonga wadada wengi wa mjini maelfu ya Dola za Kimarekani

Ss mtu mzima aka bilionea akikumiliki hataki uwe na mtu! Mi tuwe na mahusiano,unipe maisha nifanye yangu lkn ujue ipo siku nitataka kuwa na familia
[emoji3][emoji125]
Sasa kwani billionea atashindwa kukupea mtoto jamani?
 
Rest very Well Motie
 
Kwa huu mwandiko, sijui hiyo tender ya USA ulishindaje tu.
 
Kakweli raha ya pesa kwa mwanaume uwahonge wanawake mpaka waseme baaasi, sema usje honga kama dallas wa wolper
Akili za kipuuzi kutoka kwa kijana mweusi wa kiafrika huko Njombe ndani ndani mwenye ka exposure na jf
 
Amini nakuambia.
Wanaume wenye pesa na majina huwa wanategwa na kuwindwa sana ila hawajui kuwa wanawindwa.

Mwanaume anaingia king mwenyewe, anaanza mchakato kumbe mtu ametegwa akategeka.
Hyo ni mijanaume milofa
 
Amini nakuambia.
Wanaume wenye pesa na majina huwa wanategwa na kuwindwa sana ila hawajui kuwa wanawindwa.

Mwanaume anaingia king mwenyewe, anaanza mchakato kumbe mtu ametegwa akategeka.
Naunga mkono hoja yako hii
Ni kweli wenye pesa wanawindwa
Wanawake wanajichomeka,na kama mwanaume mwepesi kufungua zip lazima unase

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…