THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Samia amewapa turufu wapinzani 2025
Wapinzani wenyewe wako wapi,mbowe??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samia amewapa turufu wapinzani 2025
sijataja mtu. usipomtaja huyo muwasho haukukatiki?Wapinzani wenyewe wako wapi,mbowe??
Sasa wewe na akili yako unaweza mpa nchi mbowe kweli??sijataja mtu. usipomtaja huyo muwasho haukukatiki?
OkMimi hizo akili sihitaji.
Mpingeni kwa hoja siyo kwa tuhuma hizo! Pamoja na kutumiwa na Kenya,je anachozungumza ni sahihi?Tibaijuka ni miongoni mwa watu wanaoota kwamba mwaka 2025, kuna watanzania wajinga watamchagua yeye awe raisi wa nchi yetu, ndio maana haoni hasara kutumiwa na adui (Kenya), pamoja na wakwepa kodi bandarini kupambana dhidi ya serikali yetu na maendeleo yetu.