Prof Anna Tibaijuka: Hili sakata la DP world litamuangusha Rais Samia na serikali yake

Prof Anna Tibaijuka: Hili sakata la DP world litamuangusha Rais Samia na serikali yake

Mbunge mstaafu Prof Anna Tibaijuka amepinga vikali mkataba walioingia Tanzania na Kampuni ya DP World amesema kuwa una vipengele vingi vya ovyo mf kifungu Cha 4:2 Amesema hayo akihojiwa na kipindi Cha Jana na Leo Cha Wasafi fm.

Prof amesema issue hiyo ni very sensitive na haikupaswa iendeshwe kwa haraka kama anavyopelekwa ametolea mfano hii Kampuni iliwahi kuingia mkataba na Marekani Mwaka 2006 kuendesha bandari ya Marekani lakini bunge la Marekani ndio likaja kuvunja huo mkataba kupitia kura za wabunge ambao wakapiga mmoja mmoja na kura la jumla zikawa 62 kwa walikataa kwa 2 tu ndio walikubali sio kama tunavyofanya sisi kwa kuangalia ndio na hapana tunaweka ushabiki kwenye jambo linalogusa Maslahi ya Taifa

Akaongeza kuwa anampenda Sana Rais Samia ila kwa Hili sikubaliani nae
Anafikiri mkombozi huyu?


Huyi mama mwanga.




Mama Samia anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Mbona yasemekana huyu mama amekula bilioni 2 ili atoe comments za kupinga huu mradi kwa sababu pale bandari kuna kampuni fulani DP world ikija wao watakosa kazi?
Yaani milioni elfu mbili ili atoe maoni? Kichwani kwako kumejaa kamasi
 
Mbona yasemekana huyu mama amekula bilioni 2 ili atoe comments za kupinga huu mradi kwa sababu pale bandari kuna kampuni fulani DP world ikija wao watakosa kazi?
Kupinga tu anapewa bilioni 2, kwani ana ushawishi gani nchini wakustahili ilo donge nono?.
Hata hivyo kwake hiyo ni hela ya mboga tu.
 
Haka kabibi kamekaa serikalini miaka zaidi ya 30 tulichoambulia watanzania ni kutuibia bilioni 10 za escrow leo kanakuja na upuuzi shenzi sana. Arudishe hela walizowaibiwa watanzania hawa ndo majizi wenyewe.
 
Hawezi kutuunga mkono na wakati anajua watanzania tunamdai.
Ndo hapo uone ujinga wa baadhi ya watanzania. Mtu kama Tibaijuka ambae amelitia hasara taifa kwa kuhongwa mamilioni ya shilingi.

Leo hii anahongwa tena ili aichafue serikali na raisi kwa masilahi yake ya kisiasa afu wajinga wanamuona mwokozi wao.
Jikite kwenye alichozungumza
 
Tibaijuka ni miongoni mwa watu wanaoota kwamba mwaka 2025, kuna watanzania wajinga watamchagua yeye awe raisi wa nchi yetu, ndio maana haoni hasara kutumiwa na adui (Kenya), pamoja na wakwepa kodi bandarini kupambana dhidi ya serikali yetu na maendeleo yetu.
Weka ushahidi hapa
 
Ama kweli JF imevamiwa!.
Mtu yuko huru kutoa maoni yake kama katiba inavyotaka, badala ya kujibu hoja zake unamporomoshea matusi mleta hoja.
Hoja ujibiwa kwa hoja si viroja yakhe.
Mbona weye yakhe hujaheshimu maoni yangu?yale ndio maoni na hoja zangu
Nawe sasa kanusha kama sio mwizi, kanusha kama sio mrundi na kanausha kama hataki kuleta fujo tanzania kwa hoja halafu tutajadili

Mie expert wewe senior sasa nani kavamia jf?
 
Mbona weye yakhe hujaheshimu maoni yangu?yale ndio maoni na hoja zangu
Nawe sasa kanusha kama sio mwizi, kanusha kama sio mrundi na kanausha kama hataki kuleta fujo tanzania kwa hoja halafu tutajadili

Mie expert wewe senior sasa nani kavamia jf?
Dhibitisha tuhuma zako dhidi yake,sio speculations ili nianzie hapo kuheshimu maoni yako.
 
Tibaijuka ni miongoni mwa watu wanaoota kwamba mwaka 2025, kuna watanzania wajinga watamchagua yeye awe raisi wa nchi yetu, ndio maana haoni hasara kutumiwa na adui (Kenya), pamoja na wakwepa kodi bandarini kupambana dhidi ya serikali yetu na maendeleo yetu.
Pimbi mkubwa.
 
Mbunge mstaafu Prof Anna Tibaijuka amepinga vikali mkataba walioingia Tanzania na Kampuni ya DP World amesema kuwa una vipengele vingi vya ovyo mf kifungu Cha 4:2 Amesema hayo akihojiwa na kipindi Cha Jana na Leo Cha Wasafi fm.

Prof amesema issue hiyo ni very sensitive na haikupaswa iendeshwe kwa haraka kama anavyopelekwa ametolea mfano hii Kampuni iliwahi kuingia mkataba na Marekani Mwaka 2006 kuendesha bandari ya Marekani lakini bunge la Marekani ndio likaja kuvunja huo mkataba kupitia kura za wabunge ambao wakapiga mmoja mmoja na kura la jumla zikawa 62 kwa walikataa kwa 2 tu ndio walikubali sio kama tunavyofanya sisi kwa kuangalia ndio na hapana tunaweka ushabiki kwenye jambo linalogusa Maslahi ya Taifa

Akaongeza kuwa anampenda Sana Rais Samia ila kwa Hili sikubaliani nae
Milioni 10 ya mboga! Pumbavu nshomile mkubwa huyo fisadi papa
 
Back
Top Bottom