Per Diem
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 2,189
- 3,724
Ukipotoshwa, tatizo ni aliyekupotosha au wewe?kapotoshwa kupitia fadhila mkuu
Time pesa kwa namba hii, alafu unatuma. hapo tatizo ni nani Kama sio wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukipotoshwa, tatizo ni aliyekupotosha au wewe?kapotoshwa kupitia fadhila mkuu
Sio hawajiamini bali wanaogopa. Kule insta wasafi waliweka clip yake akizungumzia ubovu wa mkataba, ghafla wakaifutaNilisikiliza kipindi hicho na alifadhaishwa (nami nilifadhaika mno) kuonda vijana, Edo na aka mzee wa Kaliua, wakiwa hawajiamini hasa katika kutetea Taifa.
Miaka mia moja hawawezi na watumie kanisa na mbinu zote chafu bado watapigwa chini, hata ccm wasimamishe chizi bado watashinda kama ilivyokua miaka michache nyumaKwamba wapinzani washinde kiti nchi hii!
Mimi nilimsikiliza kwa kiasi, kwenye mkataba mengi yamefichwa ambayo sisi wananchi wa kawaida hatujaambiwaTutajuaje kama labda mpaka sasa bado anatuibia kupitia mfumo mbovu wa bandari uliyopo sasa, kwahiyo anapambana ili mfumo huo usiondolewe?
Viko vyanzo fulani kwenye gazeti viliashiria hivyo nilisoma soma juz katiKupinga tu anapewa bilioni 2, kwani ana ushawishi gani nchini wakustahili ilo donge nono?.
Hata hivyo kwake hiyo ni hela ya mboga tu.
Halafu yeye mwenyewe ndio mwizi kupindukia
Halafu mrundi huyu, huyi ni adui wa tanzania tumpige vita
not neccessarily lakini wamepata ajenda ya kuuza kwa watuKwamba wapinzani washinde kiti nchi hii!
Crap from a low mind.
Ashukuru ule mfumo wa kipindi kile ndio uliombeba japo hakuwa na sifa zozote za kuwa kiongozi hata wa kata.Halafu yeye mwenyewe ndio mwizi kupindukia
Halafu mrundi huyu, huyi ni adui wa tanzania tumpige vita
Mkurugenzi wa uhamiaji aliwahi kuwa mrundi inchi hii tena mwanamke, usishangae wamepandikizwa sana hawa tangu awamu ya kwanza kwa kuwa namba moja nae hakuwa mtanzania, so hakuna ajabu ila sasa ni wakati wa kuwachuja kwa sana tuBashiru mrundi, anna nae mrundi?
Wewe mrundi hebu jifunze kwanza kuandika kiswahili. Hapa tunaongelea mambo ya Tanzania sio Bujumbura.Kwer wew ni Andazi
Mmmm, Mama wa vijisenti huyu tulishamshtukiaga kitaaaambo. Si alisema siasa ni vitina tupu, haitaki tena.Tibaijuka ni miongoni mwa watu wanaoota kwamba mwaka 2025, kuna watanzania wajinga watamchagua yeye awe raisi wa nchi yetu, ndio maana haoni hasara kutumiwa na adui (Kenya), pamoja na wakwepa kodi bandarini kupambana dhidi ya serikali yetu na maendeleo yetu.
Alichoongea ni kiroja tu, wala hakuna hoja hapo.Jikite kwenye alichozungumza
Hakika mkuu tena kwa 100%Tibaijuka ni mnafiki mkubwa huyo
Huyu mama kuna watu wanamdanganya kuwa akichukua fomu watamsaidia kupitishwa kuwa mgombea uraisi, ili wamlie vile vichenji vilivyobaki kwenye ile hela ya mboga mboga 🤣🤣🤣.Mmmm, Mama wa vijisenti huyu tulishamshtukiaga kitaaaambo. Si alisema siasa ni vitina tupu, haitaki tena.
Hawa wa EPA hatuwataki tena. Tujaribu mafisadi wengine.
Hakuna kilichofichwa mkuu, ni fitna tu at work ndio zinazofanyika sasa hivi ili kurahisisha kazi ya adui (kenya) ambae hapendi kuona bandari yetu inaenda kufanyiwa marekebisho makubwa ya kimfumo na kiutendaji.Mimi nilimsikiliza kwa kiasi, kwenye mkataba mengi yamefichwa ambayo sisi wananchi wa kawaida hatujaambiwa
Mimi hizo akili sihitaji.Wewe ndio unaona hii ni hoja, lkn sisi wenye akili tunaona hiki ni kiroja.
Mama Tinba umetoa tiba👍Akaongeza kuwa anampenda Sana Rais Samia ila kwa Hili sikubaliani nae