Prof Anna Tibaijuka: Hili sakata la DP world litamuangusha Rais Samia na serikali yake

Prof Anna Tibaijuka: Hili sakata la DP world litamuangusha Rais Samia na serikali yake

Aisee siasa ni kitu cha ajabu. Nyuma ya pazia kuna kundi la watu lililokupa support kabla hujawa na hicho cheo.

Hawa watu mara nyingi huwa ni remote control kwako pale unapokuwa na cheo flani. Ndiyo maana Jpm aligombana na wapambe wengi sana pindi alipowabadilikia.

So kama Mama hana roho ngumu ya kukubali wapambe wamchukie kwa ajili ya wananchi huwezi mlazimisha.
Umezunguka, tofauti na hoja yangu. Raisi anapotoshwa vipi na yeye akakubali? Hapa ndio hoja yangu ilipo

Kama anakubali sababu ya fadhila kama unavyosema, basi hapo hajapotoshwa bali analipa fafhila. Hilo ni tatizo lake
 
Umezunguka, tofauti na hoja yangu. Raisi anapotoshwa vipi na yeye akakubali? Hapa ndio hoja yangu ilipo

Kama anakubali sababu ya fadhila kama unavyosema, basi hapo hajapotoshwa bali analipa fafhila. Hilo ni tatizo lake
kapotoshwa kupitia fadhila mkuu
 
Tibaijuka ni miongoni mwa watu wanaoota kwamba mwaka 2025, kuna watanzania wajinga watamchagua yeye awe raisi wa nchi yetu, ndio maana haoni hasara kutumiwa na adui (Kenya), pamoja na wakwepa kodi bandarini kupambana dhidi ya serikali yetu na maendeleo yetu.
Kaongea tu maoni yake km Mtz wa Kawaida tu km wewe.
Mpk hapo alipo hamna nafasi yoyote atagombea.
Pesa za mboga alipewa tu na kakaake.
 
Mbunge mstaafu Prof Anna Tibaijuka amepinga vikali mkataba walioingia Tanzania na Kampuni ya DP World amesema kuwa una vipengele vingi vya ovyo mf kifungu Cha 4:2 Amesema hayo akihojiwa na kipindi Cha Jana na Leo Cha Wasafi fm.

Prof amesema issue hiyo ni very sensitive na haikupaswa iendeshwe kwa haraka kama anavyopelekwa ametolea mfano hii Kampuni iliwahi kuingia mkataba na Marekani Mwaka 2006 kuendesha bandari ya Marekani lakini bunge la Marekani ndio likaja kuvunja huo mkataba kupitia kura za wabunge ambao wakapiga mmoja mmoja na kura la jumla zikawa 62 kwa walikataa kwa 2 tu ndio walikubali sio kama tunavyofanya sisi kwa kuangalia ndio na hapana tunaweka ushabiki kwenye jambo linalogusa Maslahi ya Taifa

Akaongeza kuwa anampenda Sana Rais Samia ila kwa Hili sikubaliani nae
Tibaijuka kaongea ukweli woote, na ni jambo litakalotrend sana kwenye kampeni. ningekuwa ni mimi sa100 ningesubiri nishinde uchaguzi ujao ndio niwalete waarabu. hii ni tiketi nzuri sana kwa chadema, labda wabadilishe terms za mkataba. na hata hivyo hatujaona mikataba mingine 31 waliyoingia na waarabu. ila kuna siku tutaiona tu.hii dunia ni ndogo sana.
 
Mbunge mstaafu Prof Anna Tibaijuka amepinga vikali mkataba walioingia Tanzania na Kampuni ya DP World amesema kuwa una vipengele vingi vya ovyo mf kifungu Cha 4:2 Amesema hayo akihojiwa na kipindi Cha Jana na Leo Cha Wasafi fm.

Prof amesema issue hiyo ni very sensitive na haikupaswa iendeshwe kwa haraka kama anavyopelekwa ametolea mfano hii Kampuni iliwahi kuingia mkataba na Marekani Mwaka 2006 kuendesha bandari ya Marekani lakini bunge la Marekani ndio likaja kuvunja huo mkataba kupitia kura za wabunge ambao wakapiga mmoja mmoja na kura la jumla zikawa 62 kwa walikataa kwa 2 tu ndio walikubali sio kama tunavyofanya sisi kwa kuangalia ndio na hapana tunaweka ushabiki kwenye jambo linalogusa Maslahi ya Taifa

Akaongeza kuwa anampenda Sana Rais Samia ila kwa Hili sikubaliani nae
Nilisikiliza kipindi hicho na alifadhaishwa (nami nilifadhaika mno) kuonda vijana, Edo na aka mzee wa Kaliua, wakiwa hawajiamini hasa katika kutetea Taifa.
 
Mbunge mstaafu Prof Anna Tibaijuka amepinga vikali mkataba walioingia Tanzania na Kampuni ya DP World amesema kuwa una vipengele vingi vya ovyo mf kifungu Cha 4:2 Amesema hayo akihojiwa na kipindi Cha Jana na Leo Cha Wasafi fm.

Prof amesema issue hiyo ni very sensitive na haikupaswa iendeshwe kwa haraka kama anavyopelekwa ametolea mfano hii Kampuni iliwahi kuingia mkataba na Marekani Mwaka 2006 kuendesha bandari ya Marekani lakini bunge la Marekani ndio likaja kuvunja huo mkataba kupitia kura za wabunge ambao wakapiga mmoja mmoja na kura la jumla zikawa 62 kwa walikataa kwa 2 tu ndio walikubali sio kama tunavyofanya sisi kwa kuangalia ndio na hapana tunaweka ushabiki kwenye jambo linalogusa Maslahi ya Taifa

Akaongeza kuwa anampenda Sana Rais Samia ila kwa Hili sikubaliani nae
 

Attachments

  • 198CAC07-08CF-4016-9CB6-2AD07D0DB30E.jpeg
    198CAC07-08CF-4016-9CB6-2AD07D0DB30E.jpeg
    50.6 KB · Views: 1
Mbunge mstaafu Prof Anna Tibaijuka amepinga vikali mkataba walioingia Tanzania na Kampuni ya DP World amesema kuwa una vipengele vingi vya ovyo mf kifungu Cha 4:2 Amesema hayo akihojiwa na kipindi Cha Jana na Leo Cha Wasafi fm.

Prof amesema issue hiyo ni very sensitive na haikupaswa iendeshwe kwa haraka kama anavyopelekwa ametolea mfano hii Kampuni iliwahi kuingia mkataba na Marekani Mwaka 2006 kuendesha bandari ya Marekani lakini bunge la Marekani ndio likaja kuvunja huo mkataba kupitia kura za wabunge ambao wakapiga mmoja mmoja na kura la jumla zikawa 62 kwa walikataa kwa 2 tu ndio walikubali sio kama tunavyofanya sisi kwa kuangalia ndio na hapana tunaweka ushabiki kwenye jambo linalogusa Maslahi ya Taifa

Akaongeza kuwa anampenda Sana Rais Samia ila kwa Hili sikubaliani nae


Majibu ya zenji hadi raha kiongozi mkubwa ameongea leo.
Dakika ya 9.15 hadi 12
 
Mbunge mstaafu Prof Anna Tibaijuka amepinga vikali mkataba walioingia Tanzania na Kampuni ya DP World amesema kuwa una vipengele vingi vya ovyo mf kifungu Cha 4:2 Amesema hayo akihojiwa na kipindi Cha Jana na Leo Cha Wasafi fm.

Prof amesema issue hiyo ni very sensitive na haikupaswa iendeshwe kwa haraka kama anavyopelekwa ametolea mfano hii Kampuni iliwahi kuingia mkataba na Marekani Mwaka 2006 kuendesha bandari ya Marekani lakini bunge la Marekani ndio likaja kuvunja huo mkataba kupitia kura za wabunge ambao wakapiga mmoja mmoja na kura la jumla zikawa 62 kwa walikataa kwa 2 tu ndio walikubali sio kama tunavyofanya sisi kwa kuangalia ndio na hapana tunaweka ushabiki kwenye jambo linalogusa Maslahi ya Taifa

Akaongeza kuwa anampenda Sana Rais Samia ila kwa Hili sikubaliani nae
Viongozi wengi kama siyo wote wanatabia ya uchama.
Wao hata kama jambo ni baya kiasi gani ilimladi nimeletwa na chama chao wao ni kulitetea kwa nguvu zote.
 
Mbunge mstaafu Prof Anna Tibaijuka amepinga vikali mkataba walioingia Tanzania na Kampuni ya DP World amesema kuwa una vipengele vingi vya ovyo mf kifungu Cha 4:2 Amesema hayo akihojiwa na kipindi Cha Jana na Leo Cha Wasafi fm.

Prof amesema issue hiyo ni very sensitive na haikupaswa iendeshwe kwa haraka kama anavyopelekwa ametolea mfano hii Kampuni iliwahi kuingia mkataba na Marekani Mwaka 2006 kuendesha bandari ya Marekani lakini bunge la Marekani ndio likaja kuvunja huo mkataba kupitia kura za wabunge ambao wakapiga mmoja mmoja na kura la jumla zikawa 62 kwa walikataa kwa 2 tu ndio walikubali sio kama tunavyofanya sisi kwa kuangalia ndio na hapana tunaweka ushabiki kwenye jambo linalogusa Maslahi ya Taifa

Akaongeza kuwa anampenda Sana Rais Samia ila kwa Hili sikubaliani nae
Asante prof!
 
Tibaijuka ni miongoni mwa watu wanaoota kwamba mwaka 2025, kuna watanzania wajinga watamchagua yeye awe raisi wa nchi yetu, ndio maana haoni hasara kutumiwa na adui (Kenya), pamoja na wakwepa kodi bandarini kupambana dhidi ya serikali yetu na maendeleo yetu.
Crap from a low mind.
 
Tibaijuka ni miongoni mwa watu wanaoota kwamba mwaka 2025, kuna watanzania wajinga watamchagua yeye awe raisi wa nchi yetu, ndio maana haoni hasara kutumiwa na adui (Kenya), pamoja na wakwepa kodi bandarini kupambana dhidi ya serikali yetu na maendeleo yetu.
Halafu yeye mwenyewe ndio mwizi kupindukia
Halafu mrundi huyu, huyi ni adui wa tanzania tumpige vita
 
Tibaijuka ni miongoni mwa watu wanaoota kwamba mwaka 2025, kuna watanzania wajinga watamchagua yeye awe raisi wa nchi yetu, ndio maana haoni hasara kutumiwa na adui (Kenya), pamoja na wakwepa kodi bandarini kupambana dhidi ya serikali yetu na maendeleo yetu.
Kwer wew ni Andazi
 
Mbunge mstaafu Prof Anna Tibaijuka amepinga vikali mkataba walioingia Tanzania na Kampuni ya DP World amesema kuwa una vipengele vingi vya ovyo mf kifungu Cha 4:2 Amesema hayo akihojiwa na kipindi Cha Jana na Leo Cha Wasafi fm.

Prof amesema issue hiyo ni very sensitive na haikupaswa iendeshwe kwa haraka kama anavyopelekwa ametolea mfano hii Kampuni iliwahi kuingia mkataba na Marekani Mwaka 2006 kuendesha bandari ya Marekani lakini bunge la Marekani ndio likaja kuvunja huo mkataba kupitia kura za wabunge ambao wakapiga mmoja mmoja na kura la jumla zikawa 62 kwa walikataa kwa 2 tu ndio walikubali sio kama tunavyofanya sisi kwa kuangalia ndio na hapana tunaweka ushabiki kwenye jambo linalogusa Maslahi ya Taifa

Akaongeza kuwa anampenda Sana Rais Samia ila kwa Hili sikubaliani nae
Porojo za mitandaoni zisikutishe
 
Back
Top Bottom