Prof Anna Tibaijuka: Hili sakata la DP world litamuangusha Rais Samia na serikali yake

Prof Anna Tibaijuka: Hili sakata la DP world litamuangusha Rais Samia na serikali yake

Tibaijuka ni miongoni mwa watu wanaoota kwamba mwaka 2025, kuna watanzania wajinga watamchagua yeye awe raisi wa nchi yetu, ndio maana haoni hasara kutumiwa na adui (Kenya), pamoja na wakwepa kodi bandarini kupambana dhidi ya serikali yetu na maendeleo yetu.
Kwahiyo mtu akitoa maoni yake maana yake anatumiwa na nchi washindani....🤔
 
Mbunge mstaafu Prof Anna Tibaijuka amepinga vikali mkataba walioingia Tanzania na Kampuni ya DP World amesema kuwa una vipengele vingi vya ovyo mf kifungu Cha 4:2 Amesema hayo akihojiwa na kipindi Cha Jana na Leo Cha Wasafi fm.

Prof amesema issue hiyo ni very sensitive na haikupaswa iendeshwe kwa haraka kama anavyopelekwa ametolea mfano hii Kampuni iliwahi kuingia mkataba na Marekani Mwaka 2006 kuendesha bandari ya Marekani lakini bunge la Marekani ndio likaja kuvunja huo mkataba kupitia kura za wabunge ambao wakapiga mmoja mmoja na kura la jumla zikawa 62 kwa walikataa kwa 2 tu ndio walikubali sio kama tunavyofanya sisi kwa kuangalia ndio na hapana tunaweka ushabiki kwenye jambo linalogusa Maslahi ya Taifa

Akaongeza kuwa anampenda Sana Rais Samia ila kwa Hili sikubaliani nae
Sensitive kwa sababu muhaya mwenzie Karamagi wa TICS kaondolewa bandarini au?
 
😂😂😂 Kama Unguja tu humuwezi ndio Kenya ahangaike na wewe?
Tukiachana na swala la kukwamisha malori yetu mara kwa mara mipakani kwao, pamoja na kuzuia biashara zetu kuingia kwao mara kwa mara wakati wao za kwao zinaingia kwetu mara kwa mara.

Ujenzi wa bomba la gesi kati ya Tanzania na Uganda waandamanaji wengi walikuwa wakenya.

Kuwaamisha wamasai kutoka Loliondo hadi Tanga, pia wandamanaji wengi walikuwa wakenya wakiongozwa na yule dada ambae bila shaka alikuwa anaitumia ardhi yetu kulishia maelfu ya ng'ombe zake.

Cha kushangaza wakenya wanapokuwa na mambo yao, hauwezi kukuta mtanzania anaingilia kuandamana.

Hao ni maadui zetu wa uchumi wa kudumu, wapo tayari kufanya lolote ili kutukwamisha, but trust me safari hii wamegonga mwamba na tumewashika pabaya kweli kweli wao na vibara wao.
 
Mbunge mstaafu Prof Anna Tibaijuka amepinga vikali mkataba walioingia Tanzania na Kampuni ya DP World amesema kuwa una vipengele vingi vya ovyo mf kifungu Cha 4:2 Amesema hayo akihojiwa na kipindi Cha Jana na Leo Cha Wasafi fm.

Prof amesema issue hiyo ni very sensitive na haikupaswa iendeshwe kwa haraka kama anavyopelekwa ametolea mfano hii Kampuni iliwahi kuingia mkataba na Marekani Mwaka 2006 kuendesha bandari ya Marekani lakini bunge la Marekani ndio likaja kuvunja huo mkataba kupitia kura za wabunge ambao wakapiga mmoja mmoja na kura la jumla zikawa 62 kwa walikataa kwa 2 tu ndio walikubali sio kama tunavyofanya sisi kwa kuangalia ndio na hapana tunaweka ushabiki kwenye jambo linalogusa Maslahi ya Taifa

Akaongeza kuwa anampenda Sana Rais Samia ila kwa Hili sikubaliani nae
Inshort....tushaingia cha kike!
 

Attachments

  • Screenshot_20230620-104742.png
    Screenshot_20230620-104742.png
    37.5 KB · Views: 2
Tibaijuka ni miongoni mwa watu wanaoota kwamba mwaka 2025, kuna watanzania wajinga watamchagua yeye awe raisi wa nchi yetu, ndio maana haoni hasara kutumiwa na adui (Kenya), pamoja na wakwepa kodi bandarini kupambana dhidi ya serikali yetu na maendeleo yetu.

Na ni mwezi katika wezi
 
Tukiachana na swala la kukwamisha malori yetu mara kwa mara mipakani kwao, pamoja na kuzuia biashara zetu kuingia kwao mara kwa mara wakati wao za kwao zinaingia kwetu mara kwa mara.

Ujenzi wa bomba la gesi kati ya Tanzania na Uganda waandamanaji wengi walikuwa wakenya.

Kuwaamisha wamasai kutoka Loliondo hadi Tanga, pia wandamanaji wengi walikuwa wakenya wakiongozwa na yule dada ambae bila shaka alikuwa anaitumia ardhi yetu kulishia maefu ya ng'ombe zake.

Cha kushangaza wakenya wanapokuwa na mambo yao hauwezi kukuta mtanzania anaingilia kuandamana.

Hao ni maadui wetu wa uchumi wa kudumu, na wapo tayari kufanya lolote ili kutukwamisha, but trust me safari hii wamegonga mwamba na tumewashika pabaya kweli kweli na vibara wao.
Kama wewe ndo wanakutumia kufanya utetezi, basi upande wenu wa Waarabu hakuna wenye akili
 
Mbunge mstaafu Prof Anna Tibaijuka amepinga vikali mkataba walioingia Tanzania na Kampuni ya DP World amesema kuwa una vipengele vingi vya ovyo mf kifungu Cha 4:2 Amesema hayo akihojiwa na kipindi Cha Jana na Leo Cha Wasafi fm.

Prof amesema issue hiyo ni very sensitive na haikupaswa iendeshwe kwa haraka kama anavyopelekwa ametolea mfano hii Kampuni iliwahi kuingia mkataba na Marekani Mwaka 2006 kuendesha bandari ya Marekani lakini bunge la Marekani ndio likaja kuvunja huo mkataba kupitia kura za wabunge ambao wakapiga mmoja mmoja na kura la jumla zikawa 62 kwa walikataa kwa 2 tu ndio walikubali sio kama tunavyofanya sisi kwa kuangalia ndio na hapana tunaweka ushabiki kwenye jambo linalogusa Maslahi ya Taifa

Akaongeza kuwa anampenda Sana Rais Samia ila kwa Hili sikubaliani nae
Mbona yasemekana huyu mama amekula bilioni 2 ili atoe comments za kupinga huu mradi kwa sababu pale bandari kuna kampuni fulani DP world ikija wao watakosa kazi?
 
Tibaijuka ni miongoni mwa watu wanaoota kwamba mwaka 2025, kuna watanzania wajinga watamchagua yeye awe raisi wa nchi yetu, ndio maana haoni hasara kutumiwa na adui (Kenya), pamoja na wakwepa kodi bandarini kupambana dhidi ya serikali yetu na maendeleo yetu.
Huna akili kabisa.
 
Mbunge mstaafu Prof Anna Tibaijuka amepinga vikali mkataba walioingia Tanzania na Kampuni ya DP World amesema kuwa una vipengele vingi vya ovyo mf kifungu Cha 4:2 Amesema hayo akihojiwa na kipindi Cha Jana na Leo Cha Wasafi fm.

Prof amesema issue hiyo ni very sensitive na haikupaswa iendeshwe kwa haraka kama anavyopelekwa ametolea mfano hii Kampuni iliwahi kuingia mkataba na Marekani Mwaka 2006 kuendesha bandari ya Marekani lakini bunge la Marekani ndio likaja kuvunja huo mkataba kupitia kura za wabunge ambao wakapiga mmoja mmoja na kura la jumla zikawa 62 kwa walikataa kwa 2 tu ndio walikubali sio kama tunavyofanya sisi kwa kuangalia ndio na hapana tunaweka ushabiki kwenye jambo linalogusa Maslahi ya Taifa

Akaongeza kuwa anampenda Sana Rais Samia ila kwa Hili sikubaliani nae
Huyo amezoea upigaji ameona hapo hana mgawo, amemaliza vile vijisenti vya EPA?
 
Tibaijuka ni miongoni mwa watu wanaoota kwamba mwaka 2025, kuna watanzania wajinga watamchagua yeye awe raisi wa nchi yetu, ndio maana haoni hasara kutumiwa na adui (Kenya), pamoja na wakwepa kodi bandarini kupambana dhidi ya serikali yetu na maendeleo yetu.
Tangu lini Kenya amekuwa adui wa Tanganyika. Adui wa watanganyika ni uvivu wao wenyewe.
 
Mbunge mstaafu Prof Anna Tibaijuka amepinga vikali mkataba walioingia Tanzania na Kampuni ya DP World amesema kuwa una vipengele vingi vya ovyo mf kifungu Cha 4:2 Amesema hayo akihojiwa na kipindi Cha Jana na Leo Cha Wasafi fm.

Prof amesema issue hiyo ni very sensitive na haikupaswa iendeshwe kwa haraka kama anavyopelekwa ametolea mfano hii Kampuni iliwahi kuingia mkataba na Marekani Mwaka 2006 kuendesha bandari ya Marekani lakini bunge la Marekani ndio likaja kuvunja huo mkataba kupitia kura za wabunge ambao wakapiga mmoja mmoja na kura la jumla zikawa 62 kwa walikataa kwa 2 tu ndio walikubali sio kama tunavyofanya sisi kwa kuangalia ndio na hapana tunaweka ushabiki kwenye jambo linalogusa Maslahi ya Taifa

Akaongeza kuwa anampenda Sana Rais Samia ila kwa Hili sikubaliani nae

Mbunge mstaafu Prof Anna Tibaijuka amepinga vikali mkataba walioingia Tanzania na Kampuni ya DP World amesema kuwa una vipengele vingi vya ovyo mf kifungu Cha 4:2 Amesema hayo akihojiwa na kipindi Cha Jana na Leo Cha Wasafi fm.

Prof amesema issue hiyo ni very sensitive na haikupaswa iendeshwe kwa haraka kama anavyopelekwa ametolea mfano hii Kampuni iliwahi kuingia mkataba na Marekani Mwaka 2006 kuendesha bandari ya Marekani lakini bunge la Marekani ndio likaja kuvunja huo mkataba kupitia kura za wabunge ambao wakapiga mmoja mmoja na kura la jumla zikawa 62 kwa walikataa kwa 2 tu ndio walikubali sio kama tunavyofanya sisi kwa kuangalia ndio na hapana tunaweka ushabiki kwenye jambo linalogusa Maslahi ya Taifa

Akaongeza kuwa anampenda Sana Rais Samia ila kwa Hili sikubaliani nae
Aanguke mara ngapi????
Mpaka hatua hii lilipofikia suala hili, tayari limeshamwangusha, na hawezi tena kuinuka kwani tayari ameshachelewa. Hakupenda kusikiliza ushauri kutoka kwa wenzake mapema.

Mithali 29: 1
"Aonywaye mara nyingi, naye hushupaza shingo, huvunjika ghafla na hakuna dawa tena"
 
Wakati alipokuwa analiibia taifa yeye na wenzake chini ya serikali ya Kikwete, mbona hakuja kujitolea maoni?
Tibaijuka ni mtu wa ovyo sana. Huyu si ndiye aliyehongwa pesa za ESCROW halafu akajidai eti ni hela ya mboga tu? Mbona alipokuwa kwenye kundi la mafisadi hatukumsikia akiongea? Uzalendo na nchi hii huyu kautoa wapi?
 
Back
Top Bottom