Day 1 gongs
JF-Expert Member
- Oct 5, 2022
- 392
- 758
Watamwaga mboga hawa SSH shtuka, kuanza upya si ujinga.watakuvuta Kwa kila pembe mwisho utajaa na vile huna chain kubwa bara utayumba sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo mtu akitoa maoni yake maana yake anatumiwa na nchi washindani....🤔Tibaijuka ni miongoni mwa watu wanaoota kwamba mwaka 2025, kuna watanzania wajinga watamchagua yeye awe raisi wa nchi yetu, ndio maana haoni hasara kutumiwa na adui (Kenya), pamoja na wakwepa kodi bandarini kupambana dhidi ya serikali yetu na maendeleo yetu.
Kama wameuza management Sio mbayaLete nondo mama! Na SGR nasikia nayo imeuzwa?
Sensitive kwa sababu muhaya mwenzie Karamagi wa TICS kaondolewa bandarini au?Mbunge mstaafu Prof Anna Tibaijuka amepinga vikali mkataba walioingia Tanzania na Kampuni ya DP World amesema kuwa una vipengele vingi vya ovyo mf kifungu Cha 4:2 Amesema hayo akihojiwa na kipindi Cha Jana na Leo Cha Wasafi fm.
Prof amesema issue hiyo ni very sensitive na haikupaswa iendeshwe kwa haraka kama anavyopelekwa ametolea mfano hii Kampuni iliwahi kuingia mkataba na Marekani Mwaka 2006 kuendesha bandari ya Marekani lakini bunge la Marekani ndio likaja kuvunja huo mkataba kupitia kura za wabunge ambao wakapiga mmoja mmoja na kura la jumla zikawa 62 kwa walikataa kwa 2 tu ndio walikubali sio kama tunavyofanya sisi kwa kuangalia ndio na hapana tunaweka ushabiki kwenye jambo linalogusa Maslahi ya Taifa
Akaongeza kuwa anampenda Sana Rais Samia ila kwa Hili sikubaliani nae
Tukiachana na swala la kukwamisha malori yetu mara kwa mara mipakani kwao, pamoja na kuzuia biashara zetu kuingia kwao mara kwa mara wakati wao za kwao zinaingia kwetu mara kwa mara.😂😂😂 Kama Unguja tu humuwezi ndio Kenya ahangaike na wewe?
Kwa utetezi huu mmekula hongo ya bure. Poleni kwa kuangukia puaSensitive kwa sababu muhaya mwenzie Karamagi wa TICS kaondolewa bandarini au?
Inshort....tushaingia cha kike!Mbunge mstaafu Prof Anna Tibaijuka amepinga vikali mkataba walioingia Tanzania na Kampuni ya DP World amesema kuwa una vipengele vingi vya ovyo mf kifungu Cha 4:2 Amesema hayo akihojiwa na kipindi Cha Jana na Leo Cha Wasafi fm.
Prof amesema issue hiyo ni very sensitive na haikupaswa iendeshwe kwa haraka kama anavyopelekwa ametolea mfano hii Kampuni iliwahi kuingia mkataba na Marekani Mwaka 2006 kuendesha bandari ya Marekani lakini bunge la Marekani ndio likaja kuvunja huo mkataba kupitia kura za wabunge ambao wakapiga mmoja mmoja na kura la jumla zikawa 62 kwa walikataa kwa 2 tu ndio walikubali sio kama tunavyofanya sisi kwa kuangalia ndio na hapana tunaweka ushabiki kwenye jambo linalogusa Maslahi ya Taifa
Akaongeza kuwa anampenda Sana Rais Samia ila kwa Hili sikubaliani nae
Tibaijuka ni miongoni mwa watu wanaoota kwamba mwaka 2025, kuna watanzania wajinga watamchagua yeye awe raisi wa nchi yetu, ndio maana haoni hasara kutumiwa na adui (Kenya), pamoja na wakwepa kodi bandarini kupambana dhidi ya serikali yetu na maendeleo yetu.
Nani ameangukia pua?Kwa utetezi huu mmekula hongo ya bure. Poleni kwa kuangukia pua
Kama wewe ndo wanakutumia kufanya utetezi, basi upande wenu wa Waarabu hakuna wenye akiliTukiachana na swala la kukwamisha malori yetu mara kwa mara mipakani kwao, pamoja na kuzuia biashara zetu kuingia kwao mara kwa mara wakati wao za kwao zinaingia kwetu mara kwa mara.
Ujenzi wa bomba la gesi kati ya Tanzania na Uganda waandamanaji wengi walikuwa wakenya.
Kuwaamisha wamasai kutoka Loliondo hadi Tanga, pia wandamanaji wengi walikuwa wakenya wakiongozwa na yule dada ambae bila shaka alikuwa anaitumia ardhi yetu kulishia maefu ya ng'ombe zake.
Cha kushangaza wakenya wanapokuwa na mambo yao hauwezi kukuta mtanzania anaingilia kuandamana.
Hao ni maadui wetu wa uchumi wa kudumu, na wapo tayari kufanya lolote ili kutukwamisha, but trust me safari hii wamegonga mwamba na tumewashika pabaya kweli kweli na vibara wao.
Mbona yasemekana huyu mama amekula bilioni 2 ili atoe comments za kupinga huu mradi kwa sababu pale bandari kuna kampuni fulani DP world ikija wao watakosa kazi?Mbunge mstaafu Prof Anna Tibaijuka amepinga vikali mkataba walioingia Tanzania na Kampuni ya DP World amesema kuwa una vipengele vingi vya ovyo mf kifungu Cha 4:2 Amesema hayo akihojiwa na kipindi Cha Jana na Leo Cha Wasafi fm.
Prof amesema issue hiyo ni very sensitive na haikupaswa iendeshwe kwa haraka kama anavyopelekwa ametolea mfano hii Kampuni iliwahi kuingia mkataba na Marekani Mwaka 2006 kuendesha bandari ya Marekani lakini bunge la Marekani ndio likaja kuvunja huo mkataba kupitia kura za wabunge ambao wakapiga mmoja mmoja na kura la jumla zikawa 62 kwa walikataa kwa 2 tu ndio walikubali sio kama tunavyofanya sisi kwa kuangalia ndio na hapana tunaweka ushabiki kwenye jambo linalogusa Maslahi ya Taifa
Akaongeza kuwa anampenda Sana Rais Samia ila kwa Hili sikubaliani nae
Huna akili kabisa.Tibaijuka ni miongoni mwa watu wanaoota kwamba mwaka 2025, kuna watanzania wajinga watamchagua yeye awe raisi wa nchi yetu, ndio maana haoni hasara kutumiwa na adui (Kenya), pamoja na wakwepa kodi bandarini kupambana dhidi ya serikali yetu na maendeleo yetu.
Hela ya mboga kama kawaida yake amekula tena ili apinge huu mradi haitasaidia bunge lishapitishaMtu akitoa maoni yake anaota urais.
Huyo amezoea upigaji ameona hapo hana mgawo, amemaliza vile vijisenti vya EPA?Mbunge mstaafu Prof Anna Tibaijuka amepinga vikali mkataba walioingia Tanzania na Kampuni ya DP World amesema kuwa una vipengele vingi vya ovyo mf kifungu Cha 4:2 Amesema hayo akihojiwa na kipindi Cha Jana na Leo Cha Wasafi fm.
Prof amesema issue hiyo ni very sensitive na haikupaswa iendeshwe kwa haraka kama anavyopelekwa ametolea mfano hii Kampuni iliwahi kuingia mkataba na Marekani Mwaka 2006 kuendesha bandari ya Marekani lakini bunge la Marekani ndio likaja kuvunja huo mkataba kupitia kura za wabunge ambao wakapiga mmoja mmoja na kura la jumla zikawa 62 kwa walikataa kwa 2 tu ndio walikubali sio kama tunavyofanya sisi kwa kuangalia ndio na hapana tunaweka ushabiki kwenye jambo linalogusa Maslahi ya Taifa
Akaongeza kuwa anampenda Sana Rais Samia ila kwa Hili sikubaliani nae
Hii ni aibu ya milele atastaafu nayo Samia.Hela ya mboga kama kawaida yake amekula tena ili apinge huu mradi haitasaidia bunge lishapitisha
aliyeuzwa ni mamako km bado hujasikiaLete nondo mama! Na SGR nasikia nayo imeuzwa?
Watanzania wanafkiWakati alipokuwa analiibia taifa yeye na wenzake chini ya serikali ya Kikwete, mbona hakuja kujitolea maoni?
Tangu lini Kenya amekuwa adui wa Tanganyika. Adui wa watanganyika ni uvivu wao wenyewe.Tibaijuka ni miongoni mwa watu wanaoota kwamba mwaka 2025, kuna watanzania wajinga watamchagua yeye awe raisi wa nchi yetu, ndio maana haoni hasara kutumiwa na adui (Kenya), pamoja na wakwepa kodi bandarini kupambana dhidi ya serikali yetu na maendeleo yetu.
Mbunge mstaafu Prof Anna Tibaijuka amepinga vikali mkataba walioingia Tanzania na Kampuni ya DP World amesema kuwa una vipengele vingi vya ovyo mf kifungu Cha 4:2 Amesema hayo akihojiwa na kipindi Cha Jana na Leo Cha Wasafi fm.
Prof amesema issue hiyo ni very sensitive na haikupaswa iendeshwe kwa haraka kama anavyopelekwa ametolea mfano hii Kampuni iliwahi kuingia mkataba na Marekani Mwaka 2006 kuendesha bandari ya Marekani lakini bunge la Marekani ndio likaja kuvunja huo mkataba kupitia kura za wabunge ambao wakapiga mmoja mmoja na kura la jumla zikawa 62 kwa walikataa kwa 2 tu ndio walikubali sio kama tunavyofanya sisi kwa kuangalia ndio na hapana tunaweka ushabiki kwenye jambo linalogusa Maslahi ya Taifa
Akaongeza kuwa anampenda Sana Rais Samia ila kwa Hili sikubaliani nae
Aanguke mara ngapi????Mbunge mstaafu Prof Anna Tibaijuka amepinga vikali mkataba walioingia Tanzania na Kampuni ya DP World amesema kuwa una vipengele vingi vya ovyo mf kifungu Cha 4:2 Amesema hayo akihojiwa na kipindi Cha Jana na Leo Cha Wasafi fm.
Prof amesema issue hiyo ni very sensitive na haikupaswa iendeshwe kwa haraka kama anavyopelekwa ametolea mfano hii Kampuni iliwahi kuingia mkataba na Marekani Mwaka 2006 kuendesha bandari ya Marekani lakini bunge la Marekani ndio likaja kuvunja huo mkataba kupitia kura za wabunge ambao wakapiga mmoja mmoja na kura la jumla zikawa 62 kwa walikataa kwa 2 tu ndio walikubali sio kama tunavyofanya sisi kwa kuangalia ndio na hapana tunaweka ushabiki kwenye jambo linalogusa Maslahi ya Taifa
Akaongeza kuwa anampenda Sana Rais Samia ila kwa Hili sikubaliani nae
Tibaijuka ni mtu wa ovyo sana. Huyu si ndiye aliyehongwa pesa za ESCROW halafu akajidai eti ni hela ya mboga tu? Mbona alipokuwa kwenye kundi la mafisadi hatukumsikia akiongea? Uzalendo na nchi hii huyu kautoa wapi?Wakati alipokuwa analiibia taifa yeye na wenzake chini ya serikali ya Kikwete, mbona hakuja kujitolea maoni?