Prof Anna Tibaijuka: Hili sakata la DP world litamuangusha Rais Samia na serikali yake

Prof Anna Tibaijuka: Hili sakata la DP world litamuangusha Rais Samia na serikali yake

Aanguke mara ngapi????
Mpaka hatua hii lilipofikia suala hili, tayari limeshamwangusha, na hawezi tena kuinuka kwani tayari ameshachelewa. Hakupenda kusikiliza ushauri kutoka kwa wenzake mapema.

Mithali 29: 1
"Aonywaye mara nyingi, naye hushupaza shingo, huvunjika ghafla na hakuna dawa tena"
Endeleeni kujidanganya huko makanisani kwenu. Mtake msitake Mama tunaye hadi 2030 inshaallah.
 
Kwasababu hajaunga mkono sio
Hawezi kutuunga mkono na wakati anajua watanzania tunamdai.
Tibaijuka ni mtu wa ovyo sana. Huyu si ndiye aliyehongwa pesa za ESCROW halafu akajidai eti ni hela ya mboga tu? Mbona alipokuwa kwenye kundi la mafisadi hatukumsikia akiongea? Uzalendo na nchi hii huyu kautoa wapi?
Ndo hapo uone ujinga wa baadhi ya watanzania. Mtu kama Tibaijuka ambae amelitia hasara taifa kwa kuhongwa mamilioni ya shilingi.

Leo hii anahongwa tena ili aichafue serikali na raisi kwa masilahi yake ya kisiasa afu wajinga wanamuona mwokozi wao.
 
Hawezi kutuunga mkono na wakati anajua watanzania tunamdai.
Ndo hapo uone ujinga wa baadhi ya watanzania. Mtu kama Tibaijuka ambae amelitia hasara taifa kwa kuhongwa mamilioni ya shilingi.

Leo hii anahongwa tena ili aichafue serikali na raisi kwa masilahi yake ya kisiasa afu wajinga wanamuona mwokozi wao.
Mtu akisema ukweli basi atakuwa amehongwa au ni mpinzani!!???
Tukubali kukosolewa au kusikia yale ambayo hatupendi kuyasikia.
 

Attachments

  • Screenshot_20230620-095202.jpg
    Screenshot_20230620-095202.jpg
    49.4 KB · Views: 2
Nimsifie mtu anaekufuru kuwa M10 ni za kununua mboga, huku millions ya watanzania vijijini wanashindia uji usiokuwa na sukari?

Afu eti leo na yeye anajifanya anawapigania aliowadhihaki enzi zake!
Wewe tunakujua ni chawa wa serikali yeyote mbovu, leo Tibaijuka akigeuka kuusifia mkataba utaanza kumpamba
 
Tibaijuka ni miongoni mwa watu wanaoota kwamba mwaka 2025, kuna watanzania wajinga watamchagua yeye awe raisi wa nchi yetu, ndio maana haoni hasara kutumiwa na adui (Kenya), pamoja na wakwepa kodi bandarini kupambana dhidi ya serikali yetu na maendeleo yetu.
Nyie ni wajinga san na mmekubali ujinga wenu!! Yaan mtu akipinga mamb ya hovyo mnakimbilia kusema anatumiwa na watu flani!!! Jibuni hoja shubaamit!! Yaleyaleeee awamu ile ukisema ukwel na kukosoa unaambiwa unatumiwa na mabeberu!!
 
Wewe tunakujua ni chawa wa serikali yeyote mbovu, leo Tibaijuka akigeuka kuusifia mkataba utaanza kumpamba
Kwa vile mkataba una faida kubwa kuliko hasara, basi akiuunga mkono na mimi nitamsifia kwa hilo. Kumbuka hata Mungu ukimsifu atakupenda.

Ila kama ataendelea kutumiwa na wakenya, wakwepa kodi na wapitisha madawa ya kulevya bandarini kwa ahadi ya kupewa mamilioni mengine ya kununua mboga na kuungwa mkono 2025. Hapo nitapingana nae hadi mwisho.

Hiki ndio kipindi ambacho bandari za kenya zote zitageuka kuwa soko la kuuzia samaki tu, na sio bandari bora tena katika East Africa nzima kama wanavyotaka iwe.
 
These are distractors kumchanganya mwananchi wa kawaida ambaye ni mimi na wewe:

- kwanini hawakutoa maelezo kabla ya mkataba ili tuelewe tusipanic na kukurupuka.

- Hii mijadala inayofanyika sasa kwene media and all that ni brain washing tu kuwakamata masikio, contract imekua endorsed tangu oct 2022.And once signed miluzi na kelele hazibadili kiti, refer TICTS

- Mkataba huu HAUHUSU zanzibar

- Ni clear mpaka sasa kua duration ya mkataba iko open ended.
 
Tibaijuka ni miongoni mwa watu wanaoota kwamba mwaka 2025, kuna watanzania wajinga watamchagua yeye awe raisi wa nchi yetu, ndio maana haoni hasara kutumiwa na adui (Kenya), pamoja na wakwepa kodi bandarini kupambana dhidi ya serikali yetu na maendeleo yetu.
Maa wa Mboga ameshastaafu Sasa han mpango huo.Usimsingizie mam mboga
 
Back
Top Bottom