Prof. Anna Tibaijuka, ulikaa kimya wakati unahudumu katika Serikali kandamizi ya hiki unachokikemea sasa kulinda maslahi yako, na sasa kaa kimya!

Ministerial responsibility: collective and individual.

Huwezi kuwa ndani ya serikali halafu ukawa unaikosoa serikali hiyo hiyo.

Utakuwa huna akili kwa sababu kimaadili hairuhusiwi.

Kama ni hoja kinzani unaitoa kwenye kikao cha Baraza la Mawaziri na siyo nje.

Kwa hiyo, Tibaijuka yupo sahihi. Asingeweza kuukosoa msimamo wa serikali kwa wakati ule akiwa Waziri.
 
 
Retired huwa mpuzi puuzi fulani asiyejitambua
 
Yaani mtu asitumie haki yake ya kikatiba kweli??

Hivi humu ndani mbona kuna watu wana mawazo yenye mushkeli sana

Sasa mtu akiongea wewe unaumia nini?
 
Acha aongee, muhimu asivunje sheria.
Ni haki yake kidemokrasia(ambayo ndiyo tunaipambania sana iwepo hapa nchini).

Huenda ameshajua makosa yake, na njia pekee ya kutubu na kuupa moyo wake amani ni kuyasema hadharani yale anayoona hayako sawa.
Tutambue pia hii vita ya kupambana na wauaji na watesi ni ya watanzania wote wenye nia njema kwa taifa hili sasa bila kujali itikadi ya mtu wala historia yake.
 
Naunga mkono hoja Swali kwa Viongozi/Wanasiasa Wetu: Kama Waliuona Udhalimu wa Awamu Iliyopita, na Wakaunyamazia, Is it Right Kuusema Sasa au Waendelee Kunyamaza?.
P
 
Yaani mtu asitumie haki yake ya kikatiba kweli??

Hivi humu ndani mbona kuna watu wana mawazo yenye mushkeli sana

Sasa mtu akiongea wewe unaumia nini?
Anaongea na jamii, na sisi tunamjibu. Hakuna anayemkataza kuzungumza, azungumze lakini tutamjibu kuonesha undani wake na kuwa she is not talking to fools!! Asiji potray as mtetea haki wakati alishiriki kukandamiza haki! Never!
 
Naunga mkono hoja Tena si ndio aliyekuwa anasema ni vihela vya mboga
 
Mzee wa Msonga naye KIMYAAA
 
Je kama ameokoka siku za hivi karibuni?
 
Huyo mpuuzi ni apuuzwe tuu atasema mwisho atakachoka ataacha.
 
Mleta hoja hataki unafiki au double standard.Amelenga kumpa makavu mwana mpotevu aliyekula pesa za umma bila kunawa.
Prof Tibaijuka siku akirejesha bilioni za Lugemalila baada ya kufungwa jela miaka isiopungua 50 na kunyaganywa mali zake ndipo aje hapa kuzungumzia haki,demokrasia na utumbo mwingine.
n
 
Aliapa kuitetea kitumbua chake wakati huo,Sasa moyo unauma!Mwacha apasuke ni wakati wa ukweli kuuujua,Nape hakuwa muongo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…