Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Ministerial responsibility: collective and individual.
Huwezi kuwa ndani ya serikali halafu ukawa unaikosoa serikali hiyo hiyo.
Utakuwa huna akili kwa sababu kimaadili hairuhusiwi.
Kama ni hoja kinzani unaitoa kwenye kikao cha Baraza la Mawaziri na siyo nje.
Kwa hiyo, Tibaijuka yupo sahihi. Asingeweza kuukosoa msimamo wa serikali kwa wakati ule akiwa Waziri.
Huwezi kuwa ndani ya serikali halafu ukawa unaikosoa serikali hiyo hiyo.
Utakuwa huna akili kwa sababu kimaadili hairuhusiwi.
Kama ni hoja kinzani unaitoa kwenye kikao cha Baraza la Mawaziri na siyo nje.
Kwa hiyo, Tibaijuka yupo sahihi. Asingeweza kuukosoa msimamo wa serikali kwa wakati ule akiwa Waziri.